Unataka mganga amuoteshe mbususu kwenye komwe lake niniš¤£š¤£š¤£š¤£Usiniharibie uzi sio mambo ya mapenzi bwashee
Hili ni jambo jingine Mbona unaweka meme kama vile nateseka na mapenzi weuwee [emoji3][emoji3]
Mlengwa wangu ni wa kike
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unataka mganga amuoteshe mbususu kwenye komwe lake niniš¤£š¤£š¤£š¤£Usiniharibie uzi sio mambo ya mapenzi bwashee
Hili ni jambo jingine Mbona unaweka meme kama vile nateseka na mapenzi weuwee [emoji3][emoji3]
Mlengwa wangu ni wa kike
Si bure itakuwa una busha la kike wewe. Maana sioni nini hasa kilichokuuma kiasi cha kuhoji uelewa wangu.Ametolea mfano,wewe darasani ilikuaje?
Mwalimu alikua akitoa mfano,jibu lake unalijaza kwenye maswali yote atakayotoa?
Dada nakuunga mkonoPoleni na majukumu ya kila siku
Nimekuja na ID yangu hii sina haja ya kujificha
Moja kwa moja kwenye mada,nahitaji msaada kama kuna mtu anamjua mganga wa uhakika anifanyie kazi yangu, kuna waganga huwa nasikia wanatoa watu mabusha, wanatuma majini au kumpa mtu ugonjwa nahitaji mganga wa hivyo
Hii dunia ina mengi,na ikifika kipindi cha vita unaambiwa usichague silaha,nahitaji jambo langu likamilike kwasababu kuna watu wanaweza kukukosea heshima mpaka wakapitiliza, ukimya na subira ni muhimu lakini kuna watu huwa wanaona kama umezubaa
Nikifanikiwa kazi yangu nitakupa ya shukrani sina hiyana
Watu wa mahubiri hapa sio sehemu yake.
Nawashukuruni naamini nitapata msaada wenu
Dada nakuunga mkono
Ukipata nisaidie na mimi.
Nimedhulumiwa mil 5.4 walionidhulumu wanadunda tu mjini na wanajibu kunya.
Ninaweza kuwafata front ila nahofia matokeo yake maana nina familia, haitapendeza wanangu na mke wangu kuja kuniona jela, majukumu yangu atatimiza nani.
Tafadhali ukipata usinisahau.
Ametolea mfano,wewe darasani ilikuaje?
Mwalimu alikua akitoa mfano,jibu lake unalijaza kwenye maswali yote atakayotoa?
Kwa lipi baya niliokufanyia? Nimekutongoza umenikatalia sasa wataka kuniloga tenaKama ukipata mganga wa uhakika kaloge mwaya... akikusaidia na mimi uniambie nikamloge mzabzab apunguze mademu wote awaone kama dad's zake tu
Unataka mganga amuoteshe mbususu kwenye komwe lake niniš¤£š¤£š¤£š¤£
Daslam
Ukimpata huyo mganga nipigie panda na mie nataka nirudishe penzi la mrembo mmoja[emoji23][emoji23][emoji23]ewaaa,nipo serious ujue
Hakika Uchawi Upo: Nimeutumia kwenye Kesi yangu mahakamani na Nimeshinda
Eeh bwana eeh ni yule yule Mr. Liverpool A.K.A bingwa wa EPL na bingwa wa NBC PL (Mwananchi). NB:- Naleta uzi huu si kwa lengo la kutangaza biashara au vipi ila ni KUTOA USHUHUDA WA MAMBO YA DUNIA..!! FLACK BACK āMwaka jana mwezi wa 4 nililetewa idea ya biashara na bosi fulani hivi wa huku...www.jamiiforums.com
Huyu hakustahili KUROGWA?
#YNWA
Kama upo series kabisaa.
Panda basi nenda hapo Liwale, kuna kijiji kinaitwa Ngende.
Angalia asijekubadilisha mbuzi, mara unaanza meeeh meeeh meeeeeh, me simoComment yangu imekuja kwa mfumo wa kuuliza ndio maana kuna question mark,jifunze kusoma comment na kuielewa kuliko kukurupuka.
Hahahaha utani bwana weweKwa lipi baya niliokufanyia? Nimekutongoza umenikatalia sasa wataka kuniloga tena
Comment yangu imekuja kwa mfumo wa kuuliza ndio maana kuna question mark,jifunze kusoma comment na kuielewa kuliko kukurupuka.