Natafuta mganga wa kienyeji konki

Natafuta mganga wa kienyeji konki

Ametolea mfano,wewe darasani ilikuaje?
Mwalimu alikua akitoa mfano,jibu lake unalijaza kwenye maswali yote atakayotoa?
Si bure itakuwa una busha la kike wewe. Maana sioni nini hasa kilichokuuma kiasi cha kuhoji uelewa wangu.

Chief maisha ni mafupi sana kuchukulia kila kitu serious. Stress zako za maisha usiletee wengine. Kuharibu siku yangu hakutofanya yako iwe nzuri zaidi.

Siku nyingine ukiona jibu linakukera pita kimya kimya maana kujifanya unahoji kunaweza pelekea kupewa jibu ambalo litaharibu mood yako kabisa.
 
Poleni na majukumu ya kila siku
Nimekuja na ID yangu hii sina haja ya kujificha

Moja kwa moja kwenye mada,nahitaji msaada kama kuna mtu anamjua mganga wa uhakika anifanyie kazi yangu, kuna waganga huwa nasikia wanatoa watu mabusha, wanatuma majini au kumpa mtu ugonjwa nahitaji mganga wa hivyo

Hii dunia ina mengi,na ikifika kipindi cha vita unaambiwa usichague silaha,nahitaji jambo langu likamilike kwasababu kuna watu wanaweza kukukosea heshima mpaka wakapitiliza, ukimya na subira ni muhimu lakini kuna watu huwa wanaona kama umezubaa

Nikifanikiwa kazi yangu nitakupa ya shukrani sina hiyana
Watu wa mahubiri hapa sio sehemu yake.

Nawashukuruni naamini nitapata msaada wenu
Dada nakuunga mkono
Ukipata nisaidie na mimi.
Nimedhulumiwa mil 5.4 walionidhulumu wanadunda tu mjini na wanajibu kunya.

Ninaweza kuwafata front ila nahofia matokeo yake maana nina familia, haitapendeza wanangu na mke wangu kuja kuniona jela, majukumu yangu atatimiza nani.

Tafadhali ukipata usinisahau.
 
Dada nakuunga mkono
Ukipata nisaidie na mimi.
Nimedhulumiwa mil 5.4 walionidhulumu wanadunda tu mjini na wanajibu kunya.

Ninaweza kuwafata front ila nahofia matokeo yake maana nina familia, haitapendeza wanangu na mke wangu kuja kuniona jela, majukumu yangu atatimiza nani.

Tafadhali ukipata usinisahau.

Duh pole sana...haya ndio mambo walimwengu wanakujaribu....
 
uko seriouse? kuna vitu vitahitajika kama udi aina ya saphlora+kaniki nyeusi+ chungu kidogo +mafuta ya mzaituni+ubani wa mashitaka+ maji ya zamda +maji ya maiti(aliyooshewa maiti) + ubani wa marka+ chungu kidogo .Italetwa sura ya huyo mtesi wako /mbaya wako kwenye beseni / kioo .sasa utaamua wewe unataka umfanyaje!? kama uchukue wembe ukate ni wewe tu nk.
 
Comment yangu imekuja kwa mfumo wa kuuliza ndio maana kuna question mark,jifunze kusoma comment na kuielewa kuliko kukurupuka.

Unaniuliza maswali ya kiwaki ndio maana unaonekana kituko,nimeshasema sitaki mahubiri unaniletea maswali,punguza shobo pita kushoto,niandike mimi alafu nikurupuke mimi au umekurupuka wewe ambae unaleta maswali ya mahubiri hapa?
 
Back
Top Bottom