Natafuta mganga wa kienyeji konki

NIlifikiri ulimwengu huu wa AI,ungekuwa unawaza kitechnolojia,bado unatafuta mganga?
 
Lingekuwa eneo lako ungekubali...
 
Mganga WA uhakika hanaga Namba ya simu, Kwa kifupi Hana mawasiliano kabisaaa, pia mganga WA ukweli hajawahi kujitangaza ukifika anakupiga mkwara kwanza umepata wapi taarifa zake.... Anamalizie labda tunaweza kujaribu
 
Ungekuwa rasmi unalipa na kodi ungekuwa na uhalali wa kufungua kesi ya madai ya usumbufu kwa mwenye mali kughairi biashara wakati keshakupa kazi ya kutafuta mteja ila sababu hautambuliki kisheria upo unatafuta waganga.
Aisee kweli
 
Reactions: Tsh
Mswahili huyo,ila udalali wa ivyo na kama hampo kisheria zaidi,inakuwa ngumu hata angekubari kuuza nakugoma kuwapa cha juu chenu msingekuwa na lakumfanya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…