Natafuta mganga wa kienyeji konki

Natafuta mganga wa kienyeji konki

Huyu jamaa alisema eneo lake linauzwa 18M tumtafutie mteja aisee sisi tumepata mteja wa 39M Leo saa Tano asubuhi ilikua tumalize biashara mteja kashakubali kulipia lenyewe kusikia eti tunataka kuchukua 21m aisee huyu mbwa kaghairi kasema hafanyi biashara na sababu zake hazieleweki aisee huyu jamaa sijui tumfanyaje aisee mwenye namba ya mganga mtaalamu naomba anisaidie pm huu ujinga aisee hajui huyu jamaa tumemtoa mbali Ili kuja kununua Hilo eneo lake analeta masihara na hela
NIlifikiri ulimwengu huu wa AI,ungekuwa unawaza kitechnolojia,bado unatafuta mganga?
 
Huyu jamaa alisema eneo lake linauzwa 18M tumtafutie mteja aisee sisi tumepata mteja wa 39M Leo saa Tano asubuhi ilikua tumalize biashara mteja kashakubali kulipia lenyewe kusikia eti tunataka kuchukua 21m aisee huyu mbwa kaghairi kasema hafanyi biashara na sababu zake hazieleweki aisee huyu jamaa sijui tumfanyaje aisee mwenye namba ya mganga mtaalamu naomba anisaidie pm huu ujinga aisee hajui huyu jamaa tumemtoa mbali Ili kuja kununua Hilo eneo lake analeta masihara na hela
Lingekuwa eneo lako ungekubali...
 
Mganga WA uhakika hanaga Namba ya simu, Kwa kifupi Hana mawasiliano kabisaaa, pia mganga WA ukweli hajawahi kujitangaza ukifika anakupiga mkwara kwanza umepata wapi taarifa zake.... Anamalizie labda tunaweza kujaribu
 
Ungekuwa rasmi unalipa na kodi ungekuwa na uhalali wa kufungua kesi ya madai ya usumbufu kwa mwenye mali kughairi biashara wakati keshakupa kazi ya kutafuta mteja ila sababu hautambuliki kisheria upo unatafuta waganga.
Aisee kweli
 
  • Masikitiko
Reactions: Tsh
Huyu jamaa alisema eneo lake linauzwa 18M tumtafutie mteja aisee sisi tumepata mteja wa 39M Leo saa Tano asubuhi ilikua tumalize biashara mteja kashakubali kulipia lenyewe kusikia eti tunataka kuchukua 21m aisee huyu mbwa kaghairi kasema hafanyi biashara na sababu zake hazieleweki aisee huyu jamaa sijui tumfanyaje aisee mwenye namba ya mganga mtaalamu naomba anisaidie pm huu ujinga aisee hajui huyu jamaa tumemtoa mbali Ili kuja kununua Hilo eneo lake analeta masihara na hela
Mswahili huyo,ila udalali wa ivyo na kama hampo kisheria zaidi,inakuwa ngumu hata angekubari kuuza nakugoma kuwapa cha juu chenu msingekuwa na lakumfanya
 
Back
Top Bottom