Shooter Again
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 5,603
- 9,263
KwaniniMadalali warasimishwe, walipe kodi maana hakuna namna.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
KwaniniMadalali warasimishwe, walipe kodi maana hakuna namna.
Aisee katukera
NIlifikiri ulimwengu huu wa AI,ungekuwa unawaza kitechnolojia,bado unatafuta mganga?Huyu jamaa alisema eneo lake linauzwa 18M tumtafutie mteja aisee sisi tumepata mteja wa 39M Leo saa Tano asubuhi ilikua tumalize biashara mteja kashakubali kulipia lenyewe kusikia eti tunataka kuchukua 21m aisee huyu mbwa kaghairi kasema hafanyi biashara na sababu zake hazieleweki aisee huyu jamaa sijui tumfanyaje aisee mwenye namba ya mganga mtaalamu naomba anisaidie pm huu ujinga aisee hajui huyu jamaa tumemtoa mbali Ili kuja kununua Hilo eneo lake analeta masihara na hela
We ulipigwa pipe na huyo mganga?Mganga yupo sharti lake kwanza upigwe pipe ndo dawa nyengine ziendelee
HujielewiNIlifikiri ulimwengu huu wa AI,ungekuwa unawaza kitechnolojia,bado unatafuta mganga?
Situmi hela mtandaoni tunakutana live unatupelekaTuma kwanza 100,000/= nimfuate kijijini nimlete awamalizie kazi
Ungekuwa rasmi unalipa na kodi ungekuwa na uhalali wa kufungua kesi ya madai ya usumbufu kwa mwenye mali kughairi biashara wakati keshakupa kazi ya kutafuta mteja ila sababu hautambuliki kisheria upo unatafuta waganga.Kwanini
Lingekuwa eneo lako ungekubali...Huyu jamaa alisema eneo lake linauzwa 18M tumtafutie mteja aisee sisi tumepata mteja wa 39M Leo saa Tano asubuhi ilikua tumalize biashara mteja kashakubali kulipia lenyewe kusikia eti tunataka kuchukua 21m aisee huyu mbwa kaghairi kasema hafanyi biashara na sababu zake hazieleweki aisee huyu jamaa sijui tumfanyaje aisee mwenye namba ya mganga mtaalamu naomba anisaidie pm huu ujinga aisee hajui huyu jamaa tumemtoa mbali Ili kuja kununua Hilo eneo lake analeta masihara na hela
Aisee kweliUngekuwa rasmi unalipa na kodi ungekuwa na uhalali wa kufungua kesi ya madai ya usumbufu kwa mwenye mali kughairi biashara wakati keshakupa kazi ya kutafuta mteja ila sababu hautambuliki kisheria upo unatafuta waganga.
Wee jamaa alafu kuna watu walikua wanakutafuta ujueMganga yupo sharti lake kwanza upigwe pipe ndo dawa nyengine ziendelee
NdioLingekuwa eneo lako ungekubali...
Ndio malipo baada ya kaziMganga WA uhakika
Mswahili huyo,ila udalali wa ivyo na kama hampo kisheria zaidi,inakuwa ngumu hata angekubari kuuza nakugoma kuwapa cha juu chenu msingekuwa na lakumfanyaHuyu jamaa alisema eneo lake linauzwa 18M tumtafutie mteja aisee sisi tumepata mteja wa 39M Leo saa Tano asubuhi ilikua tumalize biashara mteja kashakubali kulipia lenyewe kusikia eti tunataka kuchukua 21m aisee huyu mbwa kaghairi kasema hafanyi biashara na sababu zake hazieleweki aisee huyu jamaa sijui tumfanyaje aisee mwenye namba ya mganga mtaalamu naomba anisaidie pm huu ujinga aisee hajui huyu jamaa tumemtoa mbali Ili kuja kununua Hilo eneo lake analeta masihara na hela
Ajikute ameshauza lile eneo laki 5Unataka jamaa apigwe pigo gani
Dah majangaMswahili huyo,ila udalali wa ivyo na kama hampo kisheria zaidi,inakuwa ngumu hata angekubari kuuza nakugoma kuwapa cha juu chenu msingekuwa na lakumfanya