Natafuta mganga wa kienyeji konki

Ujifunze kuwa na kiasi (hasa kwenye baadhi ya Biashara).
Ungekubaliana na muuzaji akuachie 30%, asingebadili mawazo.
 
Hata kama n mm sifanyi hiyo biashara. Yupo sahihi na mteja atampata kwa njia nyingine na hamataambulia hata kitu. Madalali wangese nyie. Unataka ule pakubwa kumzidi mwenye eneo tena mkataba wa mauzio aundike hizo milions. Anaakili sana mwamba.
 
Ujifunz kuwa na kiasi (hasa kwenye baadhi ya Biashara).
Ungekubaliana na muuzaji akuachie 30%, asingebadili mawazo.
Kaka sisi jamaa baada ya kumpanga mteja atatoa 39m kama alikua kichaa mda huo huo akasema sifanyi biashara tena anatuambia tokeni kwangu yaani kama kawa chizi mpaka mteja akawa anashangaa
 
Hata kama n mm sifanyi hiyo biashara. Yupo sahihi na mteja atampata kwa njia nyingine na hamataambulia hata kitu. Madalali wangese nyie. Unataka ule pakubwa kumzidi mwenye eneo tena mkataba wa mauzio aundike hizo milions. Anaakili sana mwamba.
Ilo eneo lake hatouza mpaka anaingia kaburini ajiandae kulilima Kila siku
 
Katika akili ya kawaida ni ngumu kukubali kirahisi na mmezingua mngemuongezea hata apate 25m iliyobaki iwe yenu asione mmekula zaidi.

Yeye tayari ameshaamini kuwa thamani ya kiwanja chake ni kubwa hivyo bora apambane na mtu mwingine amwambie hata 30m.

Hiyo ni mali yake na hapo huyo mnunuzi anaweza kurudi mwenyewe akampa 25 na mchezo ukaisha au yeye muuzaji akatafuta dalali mwingine akapandisha thamani ya kiwanja.
 
Kumbe jana ulivyokua unatukana wanaofanya kazi viwandani, kum be udalali ndo unakupa jeuri
 
Mnunuzi hawezi Rudi tutamuambia eneo la mgogoro wa kifamilia na kesi Iko mahakamani shughuli imeisha sababu anatuamini sana sisi
 
Jamaa anadhani kiurahisi tu wata make 20+M kizembe sana. Na anataka akaroge aisee. Aangalie asije jiroga yeye.
 
Hatumii akili mkuu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…