Kashaija72
JF-Expert Member
- May 18, 2020
- 2,225
- 5,258
Ujifunze kuwa na kiasi (hasa kwenye baadhi ya Biashara).Huyu jamaa alisema eneo lake linauzwa 18M tumtafutie mteja aisee sisi tumepata mteja wa 39M Leo saa Tano asubuhi ilikua tumalize biashara mteja kashakubali kulipia lenyewe kusikia eti tunataka kuchukua 21m aisee huyu mbwa kaghairi kasema hafanyi biashara na sababu zake hazieleweki aisee huyu jamaa sijui tumfanyaje aisee mwenye namba ya mganga mtaalamu naomba anisaidie pm huu ujinga aisee hajui huyu jamaa tumemtoa mbali Ili kuja kununua Hilo eneo lake analeta masihara na hela
Hata kama n mm sifanyi hiyo biashara. Yupo sahihi na mteja atampata kwa njia nyingine na hamataambulia hata kitu. Madalali wangese nyie. Unataka ule pakubwa kumzidi mwenye eneo tena mkataba wa mauzio aundike hizo milions. Anaakili sana mwamba.Huyu jamaa alisema eneo lake linauzwa 18M tumtafutie mteja aisee sisi tumepata mteja wa 39M Leo saa Tano asubuhi ilikua tumalize biashara mteja kashakubali kulipia lenyewe kusikia eti tunataka kuchukua 21m aisee huyu mbwa kaghairi kasema hafanyi biashara na sababu zake hazieleweki aisee huyu jamaa sijui tumfanyaje aisee mwenye namba ya mganga mtaalamu naomba anisaidie pm huu ujinga aisee hajui huyu jamaa tumemtoa mbali Ili kuja kununua Hilo eneo lake analeta masihara na hela
Kaka sisi jamaa baada ya kumpanga mteja atatoa 39m kama alikua kichaa mda huo huo akasema sifanyi biashara tena anatuambia tokeni kwangu yaani kama kawa chizi mpaka mteja akawa anashangaaUjifunz kuwa na kiasi (hasa kwenye baadhi ya Biashara).
Ungekubaliana na muuzaji akuachie 30%, asingebadili mawazo.
Ilo eneo lake hatouza mpaka anaingia kaburini ajiandae kulilima Kila sikuHata kama n mm sifanyi hiyo biashara. Yupo sahihi na mteja atampata kwa njia nyingine na hamataambulia hata kitu. Madalali wangese nyie. Unataka ule pakubwa kumzidi mwenye eneo tena mkataba wa mauzio aundike hizo milions. Anaakili sana mwamba.
DuuhMkuu kama una hela ya kuchezea basi kheri ipeleke kwa watoto yatima na siyo wapiga ramli. Please!
Moto mwingine utauweza maana nicheke kwanza. Mali ya mtu ukairoge si unatafuta kuzikwa bure. Sio rizikiIlo eneo lake hatouza mpaka anaingia kaburini ajiandae kulilima Kila siku
Mnunuzi hawezi Rudi tutamuambia eneo la mgogoro wa kifamilia na kesi Iko mahakamani shughuli imeisha sababu anatuamini sana sisiKatika akili ya kawaida ni ngumu kukubali kirahisi na mmezingua mngemuongezea hata apate 25m iliyobaki iwe yenu asione mmekula zaidi.
Yeye tayari ameshaamini kuwa thamani ya kiwanja chake ni kubwa hivyo bora apambane na mtu mwingine amwambie hata 30m.
Hiyo ni mali yake na hapo huyo mnunuzi anaweza kurudi mwenyewe akampa 25 na mchezo ukaisha au yeye muuzaji akatafuta dalali mwingine akapandisha thamani ya kiwanja.
HahahahahhhahahahahhahahaKumbe jana ulivyokua unatukana wanaofanya kazi viwandani, kum be udalali ndo unakupa jeuri
Jamaa anadhani kiurahisi tu wata make 20+M kizembe sana. Na anataka akaroge aisee. Aangalie asije jiroga yeye.Katika akili ya kawaida ni ngumu kukubali kirahisi na mmezingua mngemuongezea hata apate 25m iliyobaki iwe yenu asione mmekula zaidi.
Yeye tayari ameshaamini kuwa thamani ya kiwanja chake ni kubwa hivyo bora apambane na mtu mwingine amwambie hata 30m.
Hiyo ni mali yake na hapo huyo mnunuzi anaweza kurudi mwenyewe akampa 25 na mchezo ukaisha au yeye muuzaji akatafuta dalali mwingine akapandisha thamani ya kiwanja.
Tushacheza sana hii michezo yeye sio wa kwanza na anabahati mganga wetu ameshafarikiMoto mwingine utauweza maana nicheke kwanza. Mali ya mtu ukairoge si unatafuta kuzikwa bure. Sio riziki
Hatumii akili mkuu.Muwe mnatumia akili muda mwingine.
Mnasema mteja mmemtoa mbali ,, ndio mstahili mapato Zaid ya mwenye Mali?
Mnafahamu alilipataje hilo eneo?
Kama mngekuwa na akili mngenunua kwake Kwa hiyo m 18 kisha nanyi ndio muuze .. sio Mpo pumbu tupu mifukoni afu ghafla mpate m21
hoja haina nguvu, yani awaamini alafu mtake kumuuzia sehemu yenye mgogoro? Atajua tu kuna mchezo haujaenda sawa.Mnunuzi hawezi Rudi tutamuambia eneo la mgogoro wa kifamilia na kesi Iko mahakamani shughuli imeisha sababu anatuamini sana sisi
Lakini karma is a motherf@<£# jiandae yata kurudia yote hayo mliyo yachezaTushacheza sana hii michezo yeye sio wa kwanza na anabahati mganga wetu ameshafariki