BIG DOGG
JF-Expert Member
- Sep 15, 2024
- 1,869
- 2,707
Ulifanya la maana na sometime wana haribu baishara nyumba za watuWapuuzi sana, kitambo nilikuwa napangisha nyumba nikawapa na bei yangu, basi wanakuja na watu wakijua kabisa hawamudu bei ya hapo, ila wanawadai ya usumbufu na ya kuona nyumba...pumbavu nikawatimua.