Natafuta mganga wa kienyeji konki

Natafuta mganga wa kienyeji konki

Aisee
Halafu halipi kodi hata penny
Kweli sidhani kama ntanunua kupitia dalali hata awe padri au ustadh
Ukisikia mtu katengeneza 3m kwa saa moja ndio huu sasa
Halafu mtu atabisha aseme kwa biashara gani? Kumbe mdomo tu
Madalali ni wachawi sana mkuu. Sema wanajua kuipamba kazi yao.
 
Mganga WA uhakika hanaga Namba ya simu, Kwa kifupi Hana mawasiliano kabisaaa, pia mganga WA ukweli hajawahi kujitangaza ukifika anakupiga mkwara kwanza umepata wapi taarifa zake.... Anamalizie labda tunaweza kujaribu
Sure
 
Msaada wa mtaalamu wa kurudisha mtu aliebebwa (msukule)au nin kifanyike ile mtu wetu asiteswe waliohusika wapate tabu please bado siku 10 to 40 days

Kama kichwa kinavyosema jamani nahitaj msaada wa hilo jambo
 
Msaada wa mtaalamu wa kurudisha mtu aliebebwa (msukule)au nin kifanyike ile mtu wetu asiteswe waliohusika wapate tabu please bado siku 10 to 40 days

Kama kichwa kinavyosema jamani nahitaj msaada wa hilo jambo
Acha imani za kipumbavu na kimaskini.
 
Nicheki PM

Huyo anarudi fasta tu,
Unataka arudi akiwa amesha kula au awe hajala ili upate nae mlo pamoja?
 
Back
Top Bottom