Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sitaki ushauri wako wakimaskin kama huna tuliaAcha imani za kipumbavu na kimaskini.
MaMbo mengine ndio kaam haya sasaMtaibiwa; amefariki tayari, fanyeni mambo mengine
Seriously?!Nicheki PM
Huyo anarudi fasta tu,
Unataka arudi akiwa amesha kula au awe hajala ili upate nae mlo pamoja?
Sitak auwawe mtu n arudshw tuh na muhusika apate cha motoHuko mkoani Lindi kuna Bwana mmoja ame-specialize kwenye hiyo habari ya kurudisha misukule..
Mganga mwenyewe ni wale ambao wanaua kabisa, mfano jina lako likienda kushitakiwa kilingeni kwake kama leo , basi kesho unazikwa
Yes anarudishwa without a doubtSitak auwawe mtu n arudshw tuh na muhusika apate cha moto
Na wanao salitiwa hakupewa penzi na wapenzi wao?Mwanadamu anadhibitiwa kwa mapenzi tu.
Ukitaka kumdhibiti mtu mpe penzi.
Njoo unidhibiti mkuu...😋Mwanadamu anadhibitiwa kwa mapenzi tu.
Ukitaka kumdhibiti mtu mpe penzi.
NAMNA YA KUMCONTROL MTU
View attachment 3191421
Chukua udongo wa kaburini,na kipande cha samaki chewa aliyekaushwa kisha funga pamoja na karatasi ngumu iliyoandikwa jina la mtu unayetaka umcontrol ,ufunge na uzi mweupe kisha choma
Njia ya pili shona kakimfuko kadogo weka udongo wa kaburini weka na kipande cha samaki chewa choma na sarafu ya silver
Utakuwa unachoma mara KWA mara
Zipo nyingi mno mkuuDawa ya biashara kuvuta wateja ni ipi??