Natafuta mganga wa kienyeji konki

Natafuta mganga wa kienyeji konki

Habari zenu wana jf, natumaini mko poa. Mungu aendelee kutushushia neema. Ndugu zangu wana jf nimekuja na mada kama title inavosema hapo juu. Nia na madhumuni ya kuja na hii topic. Kuwajuza watu kuwa kuwa uchawi upo na kwa jinsi gani unaweza kumkamata mchawi ambae amekuja kimazingara kwa nia ya kukuloga kwani hakuna linalo shindikana chini ya jua. Hii inawahusu kwa watu wanao amini kuwa uchawi upo wasio amini basi waendelee kubaki na imani yao pasi kulazimishwa. Twende sambamba wanao amini uchawi upo.

MAZINGATIO

*Hakikisha mwili wako una kinga, kwa maana kinga za kuukinga mwili wako zidi ya wachawi zipo za aina nyingi mfano; kinga za miti(hii ni mchanganyiko ya baadhi ya miti ambazo hutumika kama kinga mfano;usembe utokanao na mti wa mmbuyu, mla ngamia), kinga itokanayo na vitabu(kuna vitabu vimeelezea kinga, ambazo kinga zake zinatokana na visomo maalum ndani ya hivo visomo mara nyingi ubani huwa aukosi). Na hizi kinga zimetofautiana kuna kinga nyepesi; ambazo zikigongwa kitogo tu na kombora la wachawi bs aiwezi kuimili mishindo hvo utazurika kwa wepesi na kuna kinga konki;Ambazo zinaweza kuimili mishindo yeyote. Kwa ushauri tu akikisha kinga yako inakuwa konki maana mchawi atokubali umkamate umuwazibu kwa kumpiga vibao afu nae asitake kulipa kisasi, yan hapo utakuwa umetangaza vita, hivo ukiwa mwepesi basi umeisha jiandae kwa makombora.

*Uwe jasiri watoto wa sasa hivi unasemaga UWE JESHI, kwa maana mchawi anapokuja kukuwangia haji kwenye hali ya ubinadam wa kawaida, wengine uja utupu(uchi bila mavazi) pia wengne uja wakiwa wamevaa kaniki uku usoni wakiwa wanejipaka madawa meupe. Hivo usipokuwa jeshi utazimia au kupiga kelele pengne hata kuweuka.

NAWEZAJE KUMKAMATA MCHAWI WANGU?

Aya mambo yashapamba moto, me si mchoyo kukupatia mbinu ya kumkamata kigagura, utamkamata kwahyo wewe mwenyewe utaamua umchagulie azabu ambayo utakayo mpatia. Ndugu zangu wana jf naomba nielekeze kitu hapa si lazima umpe azabu, unaweza kumkamata alafu ukamuacha aende zake. Au ukajifanya kama ulikuwa unaota nia na madhumuni kuepusha shari. Hii dawa ndio itakayo kuamsha ghafla kutoka usingizini na kumkamata uyo kigagula,hvo ukijiona ushamkamata tu basi unaweza kujifanya kuwa ulikuwa unaota hivo mchawi atafikili ulikuwa unaota na yeye utampa home work ya kufikilia wapi alipokosea kwenye madawa ake.

NAMNA YA KUTUMIA DAWA ILI NIWEZE KUMKAMATA MCHAWI WANGU

*Ndugu mwana jf hapa ndipo pakutuliza akili, utapaswa kufuata maelekezo ili uweze kupata matokeo bora au watoto wa mjini wanasemaga utaona kitu live bila ya chenga. Kama ulikuwa unaongopewa na waganga kuwa mtu fulani ndio anae kuloga basi hapo ndio utajua uyo mganga wako ni mkweli au ni muongo,chai nyingi.

•1 step (Hatua ya kwanza): Chukua ndimu ya maji moja baada ya hapo chukua sindano zako saba pasipo kupunguza wala kuongeza,usije ukaharibu mambo mashart yafuatwe. Baada ya kuwa na ndimu na sindano zako saba. Chukua sindano zako saba zichomeke kwenye iyo ndimu hadi zote zienee kwenye iyo ndimu.

•2 step(Hatua ya pili): Chukua jivu ambalo litokanalo na kuungua kwa kuni au mkaa (Ni end product baada ya kuungua kwa kuni au mkaa), lichekeche lile jivu lako kwa uzuri kabisa pasi na kuwa na vijiwe wala mchanga, baada ya hapo lichukue liweke kwenye chombo chako kilicho safi kabsa pasi na makandokando mengne.

•3 step (Hatua ya tatu): Chukua jivu lako jipake kwenye pacha pacha ya mapaja, weka likolee usigusishe ili mradi tu. Kwa wale ambao neno la pachapacha ya mapaja linawachanganya basi naomba niwaelekeze kwa namna nyingne, paka jivu lako pembezoni mwa sehemu yako ya siri na mapaja pande zote mbili kwenye zile pachupachu. Natumaini mtakuwa mmenielewa vya kutosha.

•4 step(Hatua ya nne): Chukua ndimu yako ulizochomeka sindano saba weka kwenye mto wako (mto wa kulalia), weka kwa namna mzuri ambapo utakapo lalia sindano zisikuchome

•5 step(Hatua ya tano): Lala ukiwa umejipaka jivu lako sehem nilipokuelekeza pia ulalie mto wako ulioweka ile ndimu na sindano. Mazingatio iwe usiku maana masaa ya wachawi ni matatu tu saa nane usiku, tisa na saa kumi tu.

Ndugu zangu wana jf, kama utataka kumkamata mchawi wako basi fanya ayo niliokuambia naimani utapata matokeo mazuri, unaweza ukazarau kwa izo zana tatu ambazo ni ndimu,jivu na sindano lakini nikuakikishie utapata matokeo makubwa sana kupitia hizo zana.
* MWISHO****
 
Poleni na majukumu ya kila siku, nimekuja na ID yangu hii sina haja ya kujificha.

Moja kwa moja kwenye mada, nahitaji msaada kama kuna mtu anamjua mganga wa uhakika anifanyie kazi yangu, kuna waganga huwa nasikia wanatoa watu mabusha, wanatuma majini au kumpa mtu ugonjwa nahitaji mganga wa hivyo.

Hii Dunia ina mengi, na ikifika kipindi cha vita unaambiwa usichague silaha, nahitaji jambo langu likamilike kwasababu kuna watu wanaweza kukukosea heshima mpaka wakapitiliza. Ukimya na subira ni muhimu lakini kuna watu huwa wanaona kama umezubaa.

Nikifanikiwa kazi yangu nitakupa ya shukrani sina hiyana. Watu wa mahubiri hapa sio sehemu yake.

Nawashukuruni naamini nitapata msaada wenu.
.
 
LIMBWATA YA MATE

ANDAA ASALI MBICH (ISIYO CHAKACHULIWA HUKO) , ANDAA KOPO DOGO , MATE YAKO YA ASUBUHI UNAPOTOKA KUAMKA PALE (KABLA HUJAPIGA MSWAKI ,

CHUKUA CHUPA NDOGO TU WEKA MATE YAKO YA ASUBUH KIAC AFU MIMINA ASALI NYINGI SANA KWENYE HIKO KICHUPA BAADA YA HAPO CHANGANYA HUO MCHANGANYIKO WA ASALI NA MATE KWENYE HIO CHUPA AFU IACHE ILALE NDANI YA MASAA KUMI NA MBILI BAADA YA HAPO ANZA KUMUEKEA KIDOGO KIDOGO KWENYE CHAI KWA MUDA WA SIKU TATU MFULULIZO UNAPUMZIKA MBILI AFU UNAMALIZIA TENA SIKU MBILI (JUMLA ZIWE SIKU TANO) ...

WAKATI UNAMUEKEA HUO MCHANGANYKO WAKO KWENYE CHAI LAZIMA UWE UNAONGEA MANENO YAFUATAYO (“KAMA MATE YANAKAUKA KWENYE MDOMO BAC NA MIMI FLANI BINT FLAN (AMINA BINT JUMA) NKAUKE KWENYE MOYO WAKO , NA KAMA HAYAKAUKI BAC NA MIMI NISIKAUKE UWE UNANIFIKIRIA KILA UTAKAPOKUA , KAMA ASALI NI CHUNGU BAC NA MIMI AMINA NIWE MCHUNGU KWAKO LAKINI KAMA ASALI TAMU BAC NA MIMI NIWE MTAMU KWAKO”

FANYA KWA SIKU TANO (TATU MFULULIZO UNAPUMZIKA MBILI AFU UNAMALIZIA MBILI ZINGINE JUMLA ZIWE SIKU TANO TUUUU) UKIMALIZA ACHA SUBIRIA MAJIBU

Sio lazima uwe unakaa nae , Ila lazima uhakikisha utampkia wewe chai hzo cku za DawA !

NB: Limbwata sio chumv ulisema ufanye leo ikolee uisikie, kuwen wa vumilivu , fanyen limbwata kutokana na mazingira yanavoruhusu, usichanganye wanaume weng kwenye limbwata moja , hakikisha msafi Yan toa nuksi kwa majibu ya haraka (KUTOA NUKS OGEA CHUMV NA MCHAICHAI MAELEZO NISHAELEZEA POST ZA NYUMA)

#limbwata #limbwatalamate #mapenzi
 
Leo kwenye live tiktok nazkmhakia tofauti si najua unasukuma juu yaje ingine

Sasa ikaja ya kideo love na madude madude na tungwuli

Nikaposi nisikilize as ni mara ya kwanza naona account ya huyo anajiita.... Followers digit 4 kwenda kati

Akawa anaongelea nyota za watu anataka majina, sasa ni kaanza soma comments kumbe kuna majina ya kike yanaandika majina ya wanaume na surname zao na huyo anatabiri kila Jina nasoma juu ya nyota moja kati ya anasema 12 zilizopo

Si kuelewa haikuhihusu na yupo Dad namba na eneo anaishi anataja na kwa profile ip

Nika endelea kuperuzi mengine
Nikaingia kikaoni

@Mshana Jr hayo ya nyota 12 kwa majina tu amewaonaje hapo hapo kuwa fahamu yao?
Una uzi wa hayo ya nyota? Kama hauna utaandika lini? Tag me please
 
KUTOKA KATIKA KITABU CHA WAKUSHI

UKURASA WA KWANZA

tambua kwamba chochote kinachofanywa hapo juu,pia kinafanywa hapa chini.

kazi zozote zinatekelezwa ndani
Ya ulimwengu wa roho, basi uigwa katika ulimwengu wa kimwili.

hii ni sheria.

wale walioishi kabla yako wameacha alama zao za maumbile ndani yako.

mwili wako wa nyama unaonyesha sifa zao za maumbile.

tabia yako inaakisi sifa hizi.

Je unajua wewe ni nani?

Jibu fupi tu ,wewe ni mhenga uliyezaliwa upya hivyo unapaswa basi kuonyesha sifa, na kujihusisha kwa uangalifu katika tabia, ambayo nitafakari ya mzazi wako, roho kuu ya mababu

Hivyo utamaduni huu unapaswa kuuzingatia na kuumbatiana ukifanya hivyo basi njia iko wazi kwa muungano.

afurakanu/afuraitkaitnut ni warithi wa kiroho,

hivyo urithi wako ni ule wa sheria na utamaduni wa nguvu kuu ya asili.

Na utakufa pale ambapo NGUVU hii itapotea.

........ITAENDELEA WHATSUP....
1737748947067.jpg
 
KUTOKA KATIKA KITABU CHA WAKUSHI

UKURASA WA KWANZA

tambua kwamba chochote kinachofanywa hapo juu,pia kinafanywa hapa chini.

kazi zozote zinatekelezwa ndani
Ya ulimwengu wa roho, basi uigwa katika ulimwengu wa kimwili.

hii ni sheria.

wale walioishi kabla yako wameacha alama zao za maumbile ndani yako.

mwili wako wa nyama unaonyesha sifa zao za maumbile.

tabia yako inaakisi sifa hizi.

Je unajua wewe ni nani?

Jibu fupi tu ,wewe ni mhenga uliyezaliwa upya hivyo unapaswa basi kuonyesha sifa, na kujihusisha kwa uangalifu katika tabia, ambayo nitafakari ya mzazi wako, roho kuu ya mababu

Hivyo utamaduni huu unapaswa kuuzingatia na kuumbatiana ukifanya hivyo basi njia iko wazi kwa muungano.

afurakanu/afuraitkaitnut ni warithi wa kiroho,

hivyo urithi wako ni ule wa sheria na utamaduni wa nguvu kuu ya asili.

Na utakufa pale ambapo NGUVU hii itapotea.

........ITAENDELEA WHATSUP....
View attachment 3213008

Acha ujinga mkuu, hatutaki hadithi n ngonjera humu.

Tunataka madude kama haya
 

Attachments

  • Screenshot_20250120-161102.jpg
    Screenshot_20250120-161102.jpg
    33.3 KB · Views: 5
Msaada wa mtaalamu wa kurudisha mtu aliebebwa (msukule)au nin kifanyike ile mtu wetu asiteswe waliohusika wapate tabu please bado siku 10 to 40 days

Kama kichwa kinavyosema jamani nahitaj msaada wa hilo jambo
Hilo mkuu hata akimaliza siku 40 kama ni kweli kachukuliwa ki mazingara ana rudi ila tuu una moyo mkuu na uvumilivu ? Uelekezwe pa kwenda?
 
Ilo eneo lake hatouza mpaka anaingia kaburini ajiandae kulilima Kila siku
Niliwahi tishiwa na jamaa mmoja kama hivi! Eneo M27 yeye anataka apige M 47 halafu akupe 25 ale za kwangu za udalali na za kwa mteja. Nikamgomea kwa mwanasheria.
Baada ya siku 2 eneo hilohilo liliuzwa kwa 52 M na mauchawi yake ya hauuzi kamwee hayakufanikiwa
 
Usisemee mioyo ya watu,pengine na mimi nimesharogwa sana tu,usiyoyajua yasikupe shida
Hapa jambo ni moja tu na lazima likamilike hakuna ushauri wa kurudi nyuma
Dunia ndio hii na sisi ndio walimwengu
kama kumpoteza, kwanini usipitie wimbi la utekeji ili serikali ilaumiwe,
 
Jihadharini na nishati yako! 🙏

Wakati wowote tunapochagua kujibu vibaya au kubishana na mtu, tunaunda kamba hasi za nishati kutoka kwenye mishipa ya fahamu ya jua na mtu huyo.

Wakati wowote tunapofanya ngono na mshirika thabiti au abiria, tunabadilishana nishati, habari, kubadilishana kiwewe, na kuunda kamba za nishati.

Na hali inakuwa mbaya zaidi wakati hatujui maelezo haya na tunafanya uchaguzi kwa kutojua bila kutambua hatari tunayochukua.
Ikiwa una hisia kali kuhusu watu usiowapenda na kuwaona kama maadui zako, unaunda kamba za nishati zenye sumu ambazo huondoa nishati muhimu kutoka kwenye mishipa ya fahamu ya jua.

Siku unapopoteza nguvu muhimu hudhoofisha mwili wako na kukufanya uhisi kuchoka au bila shauku ya maisha.
Kadiri watu unavyosumbua au kuwasumbua kwa maneno yako, kwa matendo yako, ndivyo watu wachache watakavyounganishwa nawe vyema.

Kwa mfano:

Iwapo ulikopa pesa na ukaahidi kuzirejesha na hukuzirudisha kwa tarehe iliyotajwa, utaendelea kushikamana na mtu huyo kupitia moyo wenye nguvu kwa maana mbaya.

Na wakati wowote mtu huyo anapokumbuka kwamba una deni lake, moyo huo unakuwa mzito na kubana nguvu ya maisha kutoka kwako.
Nguvu unayopoteza kwa sababu ya ujinga na ujinga itakugharimu sana siku zijazo, na hutakuwa tena na nguvu ya kupigania maisha yako na afya yako.

Kila wakati unaposengenya au kuhukumu mtu unajiumiza sana kwa mara ya kwanza, kamba za nishati zitatoka kwenye plexus yako ya jua hadi kwa mtu ambaye anaweza kuwa mtu yeyote, na unaweza kuharibu aura yako ya nishati ikiwa mtu huyo hana ulinzi maalum. .

Na ikiwa mtu huyo anaishi kwa uzuri katika ushirika na Mungu na kupatana na watu na Ulimwengu, athari ya boomerang itakuwa kubwa mara mbili kwa mtu anayetoa maneno mabaya na kukumbatiana. Kama vile msemo unavyoenda ... usichimbe shimo la mtu ili usitumbukie mwenyewe.
 
Kuwa sumaku
Siri ya wewe kuwa sumaku ni kujitoa kwenye minyororo uliyofungwa ya namna ya kuishi, ishi maisha yako, amini nguvu iliyomo mdani yako

Ulimwengu unakutambua wewe unaishi sasa.

Achana na yaliyo pita yapite ili yasikuzuiye kwenda mbele ,Kadri unavyo achia vitu moyoni mwako ndiyo upokeaji uwongezeka .

Achia uruhusu vitu vipya kuja kwenye maisha yako na mwaka mpya ukiwa na moyo mpya mtazamo na fikra mpya

Ulimwengu umeshakupa kila kitu unachokihitaji jambo la msingi ni wewe kujiunganisha na ulimwengu.

Endelea
1737789308799.jpg
kuangaza .
 
Hakuna kinachopumzika; kila kitu kinasonga, kila kitu kinatetemeka."

Sheria ya Mtetemo inafundisha kwamba kila kitu katika ulimwengu ni nishati katika mwendo wa mara kwa mara.

Hisia zako, mawazo, na vitendo vinabeba masafa.

Jipange na mitetemo chanya ili kuvutia ustawi, upendo na ustawi. Rekebisha mzunguko wako na ubadilishe ukweli wako leo!

Kila sababu ina athari yake; kila athari ina sababu yake."

Sheria ya Sababu na Athari inaonyesha kwamba hakuna kinachotokea kwa bahati. Matendo yako yanaleta matokeo, yawe chanya au hasi.
Fanya maamuzi makini ili kuvutia kile unachotamani.

Panda mbegu nzuri leo na uvune ukweli uliofani
1737789357779.jpg
kiwa kesho
 
Ulimwengu hujibu mitetemo yako tu

Haujui sura yako wala kitu unachokitaka

Ila unaelewa mitetemo tu

Kwamfano kama una mitetemo ya hofu na wasiwasi utaipata hiyo hiyo

Kama una mitetemo ya utajiri,upendo,furaha utapata hivyo hivyo.

Mitetemo yako ndio uamua uwe nani ukutane na nani na uweje kutokana na Aina ya mitetemo ya uyo mto.

Chagua mitetemo kutokana na kule unapotaka kwenda watu wenye mitetemo ufanana .

Ni sawa na redio kama ukitaka tune muziki au tune taarifa ya habari

Changua mitetemo sahihi

Utajiri sio pesa Bali ni nguvu iliyo ndani ya mtu.
1737789395139.jpg
 
Back
Top Bottom