tajiri wa baadae
New Member
- Sep 9, 2024
- 2
- 5
Habari zenu wana jf, natumaini mko poa. Mungu aendelee kutushushia neema. Ndugu zangu wana jf nimekuja na mada kama title inavosema hapo juu. Nia na madhumuni ya kuja na hii topic. Kuwajuza watu kuwa kuwa uchawi upo na kwa jinsi gani unaweza kumkamata mchawi ambae amekuja kimazingara kwa nia ya kukuloga kwani hakuna linalo shindikana chini ya jua. Hii inawahusu kwa watu wanao amini kuwa uchawi upo wasio amini basi waendelee kubaki na imani yao pasi kulazimishwa. Twende sambamba wanao amini uchawi upo.
MAZINGATIO
*Hakikisha mwili wako una kinga, kwa maana kinga za kuukinga mwili wako zidi ya wachawi zipo za aina nyingi mfano; kinga za miti(hii ni mchanganyiko ya baadhi ya miti ambazo hutumika kama kinga mfano;usembe utokanao na mti wa mmbuyu, mla ngamia), kinga itokanayo na vitabu(kuna vitabu vimeelezea kinga, ambazo kinga zake zinatokana na visomo maalum ndani ya hivo visomo mara nyingi ubani huwa aukosi). Na hizi kinga zimetofautiana kuna kinga nyepesi; ambazo zikigongwa kitogo tu na kombora la wachawi bs aiwezi kuimili mishindo hvo utazurika kwa wepesi na kuna kinga konki;Ambazo zinaweza kuimili mishindo yeyote. Kwa ushauri tu akikisha kinga yako inakuwa konki maana mchawi atokubali umkamate umuwazibu kwa kumpiga vibao afu nae asitake kulipa kisasi, yan hapo utakuwa umetangaza vita, hivo ukiwa mwepesi basi umeisha jiandae kwa makombora.
*Uwe jasiri watoto wa sasa hivi unasemaga UWE JESHI, kwa maana mchawi anapokuja kukuwangia haji kwenye hali ya ubinadam wa kawaida, wengine uja utupu(uchi bila mavazi) pia wengne uja wakiwa wamevaa kaniki uku usoni wakiwa wanejipaka madawa meupe. Hivo usipokuwa jeshi utazimia au kupiga kelele pengne hata kuweuka.
NAWEZAJE KUMKAMATA MCHAWI WANGU?
Aya mambo yashapamba moto, me si mchoyo kukupatia mbinu ya kumkamata kigagura, utamkamata kwahyo wewe mwenyewe utaamua umchagulie azabu ambayo utakayo mpatia. Ndugu zangu wana jf naomba nielekeze kitu hapa si lazima umpe azabu, unaweza kumkamata alafu ukamuacha aende zake. Au ukajifanya kama ulikuwa unaota nia na madhumuni kuepusha shari. Hii dawa ndio itakayo kuamsha ghafla kutoka usingizini na kumkamata uyo kigagula,hvo ukijiona ushamkamata tu basi unaweza kujifanya kuwa ulikuwa unaota hivo mchawi atafikili ulikuwa unaota na yeye utampa home work ya kufikilia wapi alipokosea kwenye madawa ake.
NAMNA YA KUTUMIA DAWA ILI NIWEZE KUMKAMATA MCHAWI WANGU
*Ndugu mwana jf hapa ndipo pakutuliza akili, utapaswa kufuata maelekezo ili uweze kupata matokeo bora au watoto wa mjini wanasemaga utaona kitu live bila ya chenga. Kama ulikuwa unaongopewa na waganga kuwa mtu fulani ndio anae kuloga basi hapo ndio utajua uyo mganga wako ni mkweli au ni muongo,chai nyingi.
•1 step (Hatua ya kwanza): Chukua ndimu ya maji moja baada ya hapo chukua sindano zako saba pasipo kupunguza wala kuongeza,usije ukaharibu mambo mashart yafuatwe. Baada ya kuwa na ndimu na sindano zako saba. Chukua sindano zako saba zichomeke kwenye iyo ndimu hadi zote zienee kwenye iyo ndimu.
•2 step(Hatua ya pili): Chukua jivu ambalo litokanalo na kuungua kwa kuni au mkaa (Ni end product baada ya kuungua kwa kuni au mkaa), lichekeche lile jivu lako kwa uzuri kabisa pasi na kuwa na vijiwe wala mchanga, baada ya hapo lichukue liweke kwenye chombo chako kilicho safi kabsa pasi na makandokando mengne.
•3 step (Hatua ya tatu): Chukua jivu lako jipake kwenye pacha pacha ya mapaja, weka likolee usigusishe ili mradi tu. Kwa wale ambao neno la pachapacha ya mapaja linawachanganya basi naomba niwaelekeze kwa namna nyingne, paka jivu lako pembezoni mwa sehemu yako ya siri na mapaja pande zote mbili kwenye zile pachupachu. Natumaini mtakuwa mmenielewa vya kutosha.
•4 step(Hatua ya nne): Chukua ndimu yako ulizochomeka sindano saba weka kwenye mto wako (mto wa kulalia), weka kwa namna mzuri ambapo utakapo lalia sindano zisikuchome
•5 step(Hatua ya tano): Lala ukiwa umejipaka jivu lako sehem nilipokuelekeza pia ulalie mto wako ulioweka ile ndimu na sindano. Mazingatio iwe usiku maana masaa ya wachawi ni matatu tu saa nane usiku, tisa na saa kumi tu.
Ndugu zangu wana jf, kama utataka kumkamata mchawi wako basi fanya ayo niliokuambia naimani utapata matokeo mazuri, unaweza ukazarau kwa izo zana tatu ambazo ni ndimu,jivu na sindano lakini nikuakikishie utapata matokeo makubwa sana kupitia hizo zana.
* MWISHO****
MAZINGATIO
*Hakikisha mwili wako una kinga, kwa maana kinga za kuukinga mwili wako zidi ya wachawi zipo za aina nyingi mfano; kinga za miti(hii ni mchanganyiko ya baadhi ya miti ambazo hutumika kama kinga mfano;usembe utokanao na mti wa mmbuyu, mla ngamia), kinga itokanayo na vitabu(kuna vitabu vimeelezea kinga, ambazo kinga zake zinatokana na visomo maalum ndani ya hivo visomo mara nyingi ubani huwa aukosi). Na hizi kinga zimetofautiana kuna kinga nyepesi; ambazo zikigongwa kitogo tu na kombora la wachawi bs aiwezi kuimili mishindo hvo utazurika kwa wepesi na kuna kinga konki;Ambazo zinaweza kuimili mishindo yeyote. Kwa ushauri tu akikisha kinga yako inakuwa konki maana mchawi atokubali umkamate umuwazibu kwa kumpiga vibao afu nae asitake kulipa kisasi, yan hapo utakuwa umetangaza vita, hivo ukiwa mwepesi basi umeisha jiandae kwa makombora.
*Uwe jasiri watoto wa sasa hivi unasemaga UWE JESHI, kwa maana mchawi anapokuja kukuwangia haji kwenye hali ya ubinadam wa kawaida, wengine uja utupu(uchi bila mavazi) pia wengne uja wakiwa wamevaa kaniki uku usoni wakiwa wanejipaka madawa meupe. Hivo usipokuwa jeshi utazimia au kupiga kelele pengne hata kuweuka.
NAWEZAJE KUMKAMATA MCHAWI WANGU?
Aya mambo yashapamba moto, me si mchoyo kukupatia mbinu ya kumkamata kigagura, utamkamata kwahyo wewe mwenyewe utaamua umchagulie azabu ambayo utakayo mpatia. Ndugu zangu wana jf naomba nielekeze kitu hapa si lazima umpe azabu, unaweza kumkamata alafu ukamuacha aende zake. Au ukajifanya kama ulikuwa unaota nia na madhumuni kuepusha shari. Hii dawa ndio itakayo kuamsha ghafla kutoka usingizini na kumkamata uyo kigagula,hvo ukijiona ushamkamata tu basi unaweza kujifanya kuwa ulikuwa unaota hivo mchawi atafikili ulikuwa unaota na yeye utampa home work ya kufikilia wapi alipokosea kwenye madawa ake.
NAMNA YA KUTUMIA DAWA ILI NIWEZE KUMKAMATA MCHAWI WANGU
*Ndugu mwana jf hapa ndipo pakutuliza akili, utapaswa kufuata maelekezo ili uweze kupata matokeo bora au watoto wa mjini wanasemaga utaona kitu live bila ya chenga. Kama ulikuwa unaongopewa na waganga kuwa mtu fulani ndio anae kuloga basi hapo ndio utajua uyo mganga wako ni mkweli au ni muongo,chai nyingi.
•1 step (Hatua ya kwanza): Chukua ndimu ya maji moja baada ya hapo chukua sindano zako saba pasipo kupunguza wala kuongeza,usije ukaharibu mambo mashart yafuatwe. Baada ya kuwa na ndimu na sindano zako saba. Chukua sindano zako saba zichomeke kwenye iyo ndimu hadi zote zienee kwenye iyo ndimu.
•2 step(Hatua ya pili): Chukua jivu ambalo litokanalo na kuungua kwa kuni au mkaa (Ni end product baada ya kuungua kwa kuni au mkaa), lichekeche lile jivu lako kwa uzuri kabisa pasi na kuwa na vijiwe wala mchanga, baada ya hapo lichukue liweke kwenye chombo chako kilicho safi kabsa pasi na makandokando mengne.
•3 step (Hatua ya tatu): Chukua jivu lako jipake kwenye pacha pacha ya mapaja, weka likolee usigusishe ili mradi tu. Kwa wale ambao neno la pachapacha ya mapaja linawachanganya basi naomba niwaelekeze kwa namna nyingne, paka jivu lako pembezoni mwa sehemu yako ya siri na mapaja pande zote mbili kwenye zile pachupachu. Natumaini mtakuwa mmenielewa vya kutosha.
•4 step(Hatua ya nne): Chukua ndimu yako ulizochomeka sindano saba weka kwenye mto wako (mto wa kulalia), weka kwa namna mzuri ambapo utakapo lalia sindano zisikuchome
•5 step(Hatua ya tano): Lala ukiwa umejipaka jivu lako sehem nilipokuelekeza pia ulalie mto wako ulioweka ile ndimu na sindano. Mazingatio iwe usiku maana masaa ya wachawi ni matatu tu saa nane usiku, tisa na saa kumi tu.
Ndugu zangu wana jf, kama utataka kumkamata mchawi wako basi fanya ayo niliokuambia naimani utapata matokeo mazuri, unaweza ukazarau kwa izo zana tatu ambazo ni ndimu,jivu na sindano lakini nikuakikishie utapata matokeo makubwa sana kupitia hizo zana.
* MWISHO****