Natafuta mganga wa kienyeji konki

Natafuta mganga wa kienyeji konki

kiroho, pembe mara nyingi huhusishwa na nguvu, na uwezo wa kutoa umakini, kuashiria uhusiano na nguvu kuu ya asili,
1738658798134.jpg

Pia mara nyingi huwakilisha Pembe ya Wokovu inayoashiria ulinzi, ushindi, na wito wa kuamsha ufahamu katika tamaduni zote duniani

Hivyo Kuinua Pembe ni mfano wa kuinuliwa na ushindi.
 
kiroho, pembe mara nyingi huhusishwa na nguvu, na uwezo wa kutoa umakini, kuashiria uhusiano na nguvu kuu ya asili,
View attachment 3224805
Pia mara nyingi huwakilisha Pembe ya Wokovu inayoashiria ulinzi, ushindi, na wito wa kuamsha ufahamu katika tamaduni zote duniani

Hivyo Kuinua Pembe ni mfano wa kuinuliwa na ushindi.
Na pembe ya ndovu je?
 
PETE ZA KUJILINDA
1738658822243.jpg

✍️Pete hizi zimetengenezwa kwa kwa sarafu za kikoloni za zamani.

✍️Pete hii yenye sanduku ambalo linawekwa dawa yenye nguvu, ambayo iinakusudiwa kumlinda mtu dhidi ya wachawi,mapepo,majini na watu waovu

🎥Asili kweli imejaa mafumbo.



🗣️kutafuta asili ni ujasiri🤕
 
WHEN BUILDING YOUR OWN HOUSE

If you buy or own a plot of land that you want to build your house but you don't have any hope of getting Money to build it as soon as you should.

Get a big snail with strong mouth (strong mouth shell )
Big coconut that has lots of water
One bottle of original honey.

Go to the center of the plot, dig a very deep hole in the center of the plot, put the snail inside and say this....👇👇👇👇

"NO MATTER HOW BIG OR SMALL A SNAIL IS, SNAIL CAN NEVER RENT A HOUSE, SNAIL HAS A HOUSE SO THEREFORE, I (Your name ) THE SON OR THE DAUGHTER OF (Your father's name ) WANT TO BUILD AND OWN MY OWN HOUSE".

Break the coconut and pour the water inside and say this....👇👇👇👇

" AS LONG AS NOBODY KNOWS HOW WATER GET INTO COCONUT, LET NO MAN OR WOMAN KNOW MY SOURCE OF INCOME AND HOW I GET MONEY TO BUILD ON THIS LAND ". Don't eat the coconut, throw it away.

Pour all the one bottle of the original honey into it and say this.....👇👇👇👇

"AS HONEY DO ATTRACKS BEES,ANTS AND OTHER INSECTS, LET MY HANDWORK, BUSINESS, HUSTLE ATTRACTS MONEY, WEALTH, RICHES, CONTRACTS FROM FAR AND NEAR, LET GOOD THINGS THAT WILL FETCH ME MONEY TO BUILD ON THIS LAND COME TO ME FROM ALL THE FOUR CORNERS OF THE WORLD"

Pray seriously on it and spit your saliva 3 times into the hole and cover the hole and go your way, you will be surprised how you are able to get money and build on that land very fast but if you do this on someone's land that is not legally yours, it will never work for you.

Showing appreciation for my teachings will really encourage me to do more if you enjoy my teachings...
 
Hello, nina 30yrs (girl) naish kwetu(nawish kutoka), natafuta kazi sipati, nina kabiashara kadogo kutwa nikifungua asubuh nakutana na kinyesi nje ya frem so biashara yenyew haitoki, sina mahusiano ya kueleweka mtu ananiacha bila sababu yan ghafla tu, inshort nothing is okay with me na nimechoka sana, anaejua mganga wa kweli naomba msaada plz ninashida na mganga, nisaidieni.
 
Hello, nina 30yrs (girl) naish kwetu(nawish kutoka), natafuta kazi sipati, nina kabiashara kadogo kutwa nikifungua asubuh nakutana na kinyesi nje ya frem so biashara yenyew haitoki, sina mahusiano ya kueleweka mtu ananiacha bila sababu yan ghafla tu, inshort nothing is okay with me na nimechoka sana, anaejua mganga wa kweli naomba msaada plz ninashida na mganga, nisaidieni.
Mganga Yuko Sengerema Mwanza je utaweza kuja?
 
Hello, nina 30yrs (girl) naish kwetu(nawish kutoka), natafuta kazi sipati, nina kabiashara kadogo kutwa nikifungua asubuh nakutana na kinyesi nje ya frem so biashara yenyew haitoki, sina mahusiano ya kueleweka mtu ananiacha bila sababu yan ghafla tu, inshort nothing is okay with me na nimechoka sana, anaejua mganga wa kweli naomba msaada plz ninashida na mganga, nisaidieni.
Uko wapi?
 
Kuna maradhi mengine hayatibiki Hospitali, ila wao wanaweza hasa maradhi ya Viini macho.

Kuna mgonjwa anakuwa anaumwa ile serious kabisa, lakini kila kipimo atapimwa na ugonjwa hautaonekana.

Baadhi ya Madaktari ikifika stage hii atawaita ndugu wa Mgonjwa atawaambia Ugonjwa huu sio wa Hospitalini, kwahiyo ndugu mtatikiwa kujiongeza either muende Mkakanyage Mafuta au Muende huko kwingine
HUJAMBO KAKA NAOMBA MSAADA TAFADHALI NATESEKA UZI HUU UNA MDA MREFU SASA HAUKUANZA LEO JUZI WALA JANA YANI DAH USISEME HAKUNA UCHAWI SEMA HUJAROGWA KWAKWELI
 
Back
Top Bottom