Natafuta mganga wa kienyeji konki

Tena ukimpata mganga mwambie amtundike miguu za kuku wa kienyeji kabisa 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Jusi nilivyozulumiwa pesa zangu nillikukumbuka Sana had nikakutumia pm naona imefungwa mnk hasira nilikuwa nayo siyo mchezo mtu kaniibia mm them kanibadioishia kesi hvhhv
 
Afu Uko kuna ule wa radi asee😄
 
Jusi nilivyozulumiwa pesa zangu nillikukumbuka Sana had nikakutumia pm naona imefungwa mnk hasira nilikuwa nayo siyo mchezo mtu kaniibia mm them kanibadioishia kesi hvhhv
 
Watu tunaombea mbuyu ulioa kilinge cha waganga na unaanguka vita waisarenda wenyewe wanahama kilinge wenyewem[emoji12], mbuyu unadondoka bila kuukata huo ni ukuu wa Mungu, Mungu sio wakumjalibu, vita ni vya bwana wewe kuingilia kati ni kwamba Mungu humuamini,

Hivi unajua mara zote watu wanaoenda kwa waganga na yale manuizi ni lazima yaje kukutesa lazima yaje kudai damu mbeleni yani linakua kama deni baada ya kukusaidia stuka achana na waganga hujachelewa
 

Asante kwa mahubiri,ukishtuka wewe inatosha
Wana wa Mungu huu sio uzi wenu[emoji1431]
 
Asante kwa mahubiri,ukishtuka wewe inatosha
Wana wa Mungu huu sio uzi wenu[emoji1431]
Usipoelewa wewe wapo watakaoelewa, maana sio lazima kila atake sikia neno la Mungu na likamuingia maana shetani pia yupo kazini ila wapo litakaowaingia na kulielewa wewe pia usiyasome mahubiri pita pembeni uzi upo hapa kuchangia kuna kila aina ya watu humu, so wewe pambana
 

Rejea comment yako uliniandikia mimi na nimeshasema sitaki USHAURI
Kama ulitaka wasome wengine ungeweka iwe general comment
Uzi ni wa waganga na connections zao sipiti pembeni nipo hapa
Kuna jukwaa la dini peleka mahubiri huko tuletee link hapa watakao penda watafata huko kusoma ujumbe wako
 
Dada achana nae
 
mimi nipo hapa njombe, hii sehem mbona mpya? nipo makumbusho ya njombe ktk kivutio kipya kabuli la hela mingi...
 
sasa mbona timu yetu ya taifa haishindi ina shinda simba tu?
 
Ila dea jaman. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…