Natafuta mganga wa kienyeji konki

Natafuta mganga wa kienyeji konki

Poleni na majukumu ya kila siku
Nimekuja na ID yangu hii sina haja ya kujificha

Moja kwa moja kwenye mada,nahitaji msaada kama kuna mtu anamjua mganga wa uhakika anifanyie kazi yangu, kuna waganga huwa nasikia wanatoa watu mabusha, wanatuma majini au kumpa mtu ugonjwa nahitaji mganga wa hivyo

Hii dunia ina mengi,na ikifika kipindi cha vita unaambiwa usichague silaha,nahitaji jambo langu likamilike kwasababu kuna watu wanaweza kukukosea heshima mpaka wakapitiliza, ukimya na subira ni muhimu lakini kuna watu huwa wanaona kama umezubaa

Nikifanikiwa kazi yangu nitakupa ya shukrani sina hiyana
Watu wa mahubiri hapa sio sehemu yake.

Nawashukuruni naamini nitapata msaada wenu
Vita ya nguvu za giza ni mbaya sana, ikitokea umemkosakosa akafight back basi lazima mmoja wenu achungulie kaburi au ateketeze uzao wake.

Isije kuwa ni hasira tu zinakusukuma hivyo zikiisha ukajutia.
 
Mzee Mwandulami yule alifariki mwaka jana ambapo alikuwa amejijengea kaburi la billion 1? Sema Yule mzee alikuwa sio poa, kwahiyo kijiti kapewa mtoto wake?
Uje pm kesho ili nitafute.
Ni mtoto wa yule mwandulami mganga maarufu njombe. Alitibu hadi waliologwa wakawa vichaa. Niliona kwa macho yangu
 
Vita ya nguvu za giza ni mbaya sana, ikitokea umemkosakosa akafight back basi lazima mmoja wenu achungulie kaburi au ateketeze uzao wake.

Isije kuwa ni hasira tu zinakusukuma hivyo zikiisha ukajutia.

Hapana sio hasira ndugu,maana ingekuwa hasira huwa sikai nayo miezi

Ukiona nimeamua hii njia nime risk tayari,mwishoni wote tutakufa lakini tukiwa hapa duniani unyonge ni mwiko
 
Back
Top Bottom