Natafuta mganga wa kienyeji konki

Natafuta mganga wa kienyeji konki

Sinywi pombe,sio mtu wa shughuli yani kifupi sina mambo mengi,wacha hii iwe hobby yangu mpya,nimejipanga na kazi zangu zinaendelea kama kawaida hakuna umaskini wala nini..!
Mafanikio yapo pale pale na mambo mengine yataendelea mpaka kieleweke
Mpige pigo zito zaidi ukimpiga pigo jepesi siku akija kushtuka tambua utamalizwa mazima
 
Mpige pigo zito zaidi ukimpiga pigo jepesi siku akija kushtuka tambua utamalizwa mazima

Ni kweli ndio maana na mimi nimeamua niwe very serious kuhusu hili,nipo very serious na sina huruma kwasababu hata yeye hatokua na huruma na mimi...
 
Bado unabishana na mtu mwenye IQ ndogo[emoji23][emoji23][emoji23]wenye IQ kubwa ni wanaopita kimya kimya,you stoop so low kujibishana na mimi mwenye IQ ndogo
Huna point una ruka ruka ka popcorn Mara IQ mara tabia hebu endelea nataka ujibu mpaka siku ukiona umemaliza ntakuwa hapa kukujibu,huwa sikimbii uzi nilioanzisha mimi mwenyewe,we ulisikia wapiii!
Sikujibu wewe bali nazuwia usiambukize upuuzi wako na kwa wengine,endelea tu kutafuta waganga ila tambua kua ndio imetoka hiyo.
 
Huu ni mwezi wa tatu dhamira yangu ipo pale pale,huwa sikurupuki ndio maana bado nafanya utafiti wa mtu wa uhakika,wawili hata watatu ili nikishaanza kazi ni kazi tu
Sina hasira nina nia na dhumuni huwezi kunibadilisha hapo
Sasa kama una msaada weka hapa
Wahenga wakisema
"Ukiwa na hasira Sana kabla hujajibu au kusema kitu, hesabu mpaka kumi Kisha chukua maji kwenye glasi unywe' by the time unamaliza kunywa maji, sanity itakua imerudi kichwani.
Now if you have waited three months, give them another month, ukiona bado nibeep.
Otherwise sioni sababu ya wewe kuchuma dhambi ilhali maisha haya yanaweza kukatika hata jioni ya leo.
 
Sikujibu wewe bali nazuwia usiambukize upuuzi wako na kwa wengine,endelea tu kutafuta waganga ila tambua kua ndio imetoka hiyo.

Endelea kuzuia ni sawa na kudeki bahari,uzi ndio Kwanza unatembea.....
Yani unanionea gere matatizo yangu au nini hueleweki [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Unateseka ukiwa pande zipi
Boya wewe huwezi kunizuia mimi,unajimwambafiy ila kwa kujibaraguza tu kwa aibu maana umeshushuka mbele ya watu mpaka basi hapo unanyatia kujibu kwa aibu....mi ntakujibu mpaka umalize maneno yoteeeeeee
Next
 
Wahenga wakisema
"Ukiwa na hasira Sana kabla hujajibu au kusema kitu, hesabu mpaka kumi Kisha chukua maji kwenye glasi unywe' by the time unamaliza kunywa maji, sanity itakua imerudi kichwani.
Now if you have waited three months, give them another month, ukiona bado nibeep.
Otherwise sioni sababu ya wewe kuchuma dhambi ilhali maisha haya yanaweza kukatika hata jioni ya leo.

Hahah kuchuma dhambi ndio nini,mbona dhambi nyingi tunachuma tafakari hii ndio iwe big deal
Mpaka mwezi kazi itakuwa imeisha niamini mimi
 
Wahenga wakisema
"Ukiwa na hasira Sana kabla hujajibu au kusema kitu, hesabu mpaka kumi Kisha chukua maji kwenye glasi unywe' by the time unamaliza kunywa maji, sanity itakua imerudi kichwani.
Now if you have waited three months, give them another month, ukiona bado nibeep.
Otherwise sioni sababu ya wewe kuchuma dhambi ilhali maisha haya yanaweza kukatika hata jioni ya leo.
Huyo hamnazo hawezi kukuelewa,much know wakati ni empty set tu huyo.
 
Endelea kuzuia ni sawa na kudeki bahari,uzi ndio Kwanza unatembea.....
Yani unanionea gere matatizo yangu au nini hueleweki [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Unateseka ukiwa pande zipi
Boya wewe huwezi kunizuia mimi,unajimwambafiy ila kwa kujibaraguza tu kwa aibu maana umeshushuka mbele ya watu mpaka basi hapo unanyatia kujibu kwa aibu....mi ntakujibu mpaka umalize maneno yoteeeeeee
Next
Hakuna cha maana ulichokipata hapa zaidi ya kugeuka na kua kituko cha JF.
 
Back
Top Bottom