Mr Pixel3a
JF-Expert Member
- Sep 15, 2021
- 5,710
- 8,579
Ngoja wakupe miongozo..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kukaza roho kivipi ? Mana me kafara za kumtoa binadamu mwenzangu kwaajiri tu ya mafanikio siiwezi.kama unauwezo nenda mwanza , hapo stendi ya mabasi waulize bodaboda kuhusu eneo linaolitwa kilifi , hapo kilifi stendi muulizie mzee anaitwa John ,anajulikana sana, ila jipange kukaza roho chochote utapata
ndo maana nimeelezea na kabisa , kazi huwa nikulingana na unachotaka , kile utakacho kule utakipata , akikupenda akuingize kwa hilo pori lake utaona dunia nyingine na mambo ambayo nikielezea hapa utaona kama chai vile , ila sharti kuu mtakacho kubaliana usikiuke hata nuktaKukaza roho kivipi ? Mana me kafara za kumtoa binadamu mwenzangu kwaajiri tu ya mafanikio siiwezi.
Waganga wasafi hawa ndio tunawahitaji! naomba PM hata contact zake au nielekeze tu mpaka mahali husika!Niliwahi kuwa mhanga wa kutafuta wa ganga kama ulivyo wewe ,nilifanikiwa ila nilipoteza pesa nyingi. Kawaida uganga ni fani pana sana,wapo waganga wabobezi wa kitu kimoja na wengine wanatibu mambo mengi kwa pamoja ,Ila kundi hili
mashariti ya kiwaki hayando maana nimeelezea na kabisa , kazi huwa nikulingana na unachotaka , kile utakacho kule utakipata , akikupenda akuingize kwa hilo pori lake utaona dunia nyingine na mambo ambayo nikielezea hapa utaona kama chai vile , ila sharti kuu mtakacho kubaliana usikiuke hata nukta
Hamna mganga asiyekuwa na masharti ,kwa mfano utakuta kijana anataka utajiri wa fasta , aamke kesho akiwa don pale lazima atalipia sana tu , ila kwa tiba yupo sawa yule jamaa , one time nikiwa kule kulikuja mvuvi alitaka dawa , aliitishwa kitu kidogo cha kawaida ila jamaa alipofika kwa ziwa , nlishuhudia boti mara 5 kwa siku ilirudi imejaamashariti ya kiwaki haya
Naomba namba zake inboxNiliwahi kuwa mhanga wa kutafuta wa ganga kama ulivyo wewe ,nilifanikiwa ila nilipoteza pesa nyingi. Kawaida uganga ni fani pana sana,wapo waganga wabobezi wa kitu kimoja na wengine wanatibu mambo mengi kwa pamoja ,Ila kundi hili ndio na waganga wa mchongo wako wengi sana.Dada yangu alipatwa na ugonjwa wa macho ghafla akawa kipofu tuliangahika sana mahospitalini bila mafanikio, mpka Dr mmoja mtaalam wa macho ndio alitupa ushauri huo wa kusaka waganga wa kienyeji ,hapo ndio kazi ilianza.Ilitugharimu kamilioni kwa waganga makanjanja kabla kumpata mganga sahihi wa tatizo letu,hakika waganga wapo .tulienda morogoro vijijini sehemu inaitwa kolelo mpaka kufika huko tulitumia Sikh nzima,dar Moro na Moro kolelo mpaka tunafika kwa mganga tukifika SAA kumi jioni.Na tiba ilianza nusu SAA baada ya kufika tulieleza masahibu yote na kuttangatanga koote mpaka kumpata mganga mkarimu ndio akatusaidia kukupata. Jamaa akatupa lisaa limoja mgonjwa ataona tena,wakati huo mgonjwa ana miezi mi4 haoni Ila ilikua hajabu mpaka SAA mbili usiku wa Sikh hiohio mgonjwa aliweza kuona tena japo kwa tabu na kizunguzungu kika mkumba ila kesho yake FIBA ziliendelea mpaka jioni ya Siku ya pili alionavizuri kabisa kwa ukamilifu na SAA moja usiku tulianza safari kurudi Moro town kesho kutwa yake tukawa home mapema .had I naandika hapa sister yupo fiti .nimeeleza machache ili upate mwangaza wa waganga wakienyeji jinsi walivyo gawanyika,matapeli wapo mjini .
😂😂Hapana mkuu. Ni Brother wangu mimi hua namsaidia kazi hivyo najua masharti yake ya dawa.Kwa hiyo we ndugu yetu hapo upo chepe chepe!
HEe...yaani Dk akawashauri mtafte mganga wa kienyeji!? Aise..hongera kwa kuponaNiliwahi kuwa mhanga wa kutafuta wa ganga kama ulivyo wewe ,nilifanikiwa ila nilipoteza pesa nyingi. Kawaida uganga ni fani pana sana,wapo waganga wabobezi wa kitu kimoja na wengine wanatibu mambo mengi kwa pamoja ,Ila kundi hili ndio na waganga wa mchongo wako wengi sana.Dada yangu alipatwa na ugonjwa wa macho ghafla akawa kipofu tuliangahika sana mahospitalini bila mafanikio, mpka Dr mmoja mtaalam wa macho ndio alitupa ushauri huo wa kusaka waganga wa kienyeji ,hapo ndio kazi ilianza.Ilitugharimu kamilioni kwa waganga makanjanja kabla kumpata mganga sahihi wa tatizo letu,hakika waganga wapo .tulienda morogoro vijijini sehemu inaitwa kolelo mpaka kufika huko tulitumia Sikh nzima,dar Moro na Moro kolelo mpaka tunafika kwa mganga tukifika SAA kumi jioni.Na tiba ilianza nusu SAA baada ya kufika tulieleza masahibu yote na kuttangatanga koote mpaka kumpata mganga mkarimu ndio akatusaidia kukupata. Jamaa akatupa lisaa limoja mgonjwa ataona tena,wakati huo mgonjwa ana miezi mi4 haoni Ila ilikua hajabu mpaka SAA mbili usiku wa Sikh hiohio mgonjwa aliweza kuona tena japo kwa tabu na kizunguzungu kika mkumba ila kesho yake FIBA ziliendelea mpaka jioni ya Siku ya pili alionavizuri kabisa kwa ukamilifu na SAA moja usiku tulianza safari kurudi Moro town kesho kutwa yake tukawa home mapema .had I naandika hapa sister yupo fiti .nimeeleza machache ili upate mwangaza wa waganga wakienyeji jinsi walivyo gawanyika,matapeli wapo mjini .
Siamini ktk kuutegemea ushirikina ila dawa za asili ambazo hazihusishi ushirikina naweza kutumia.Niliwahi kuwa mhanga wa kutafuta wa ganga kama ulivyo wewe ,nilifanikiwa ila nilipoteza pesa nyingi. Kawaida uganga ni fani pana sana,wapo waganga wabobezi wa kitu kimoja na wengine wanatibu mambo mengi kwa pamoja ,Ila kundi hili ndio na waganga wa mchongo wako wengi sana.Dada yangu alipatwa na ugonjwa wa macho ghafla akawa kipofu tuliangahika sana mahospitalini bila mafanikio, mpka Dr mmoja mtaalam wa macho ndio alitupa ushauri huo wa kusaka waganga wa kienyeji ,hapo ndio kazi ilianza.Ilitugharimu kamilioni kwa waganga makanjanja kabla kumpata mganga sahihi wa tatizo letu,hakika waganga wapo .tulienda morogoro vijijini sehemu inaitwa kolelo mpaka kufika huko tulitumia Sikh nzima,dar Moro na Moro kolelo mpaka tunafika kwa mganga tukifika SAA kumi jioni.Na tiba ilianza nusu SAA baada ya kufika tulieleza masahibu yote na kuttangatanga koote mpaka kumpata mganga mkarimu ndio akatusaidia kukupata. Jamaa akatupa lisaa limoja mgonjwa ataona tena,wakati huo mgonjwa ana miezi mi4 haoni Ila ilikua hajabu mpaka SAA mbili usiku wa Sikh hiohio mgonjwa aliweza kuona tena japo kwa tabu na kizunguzungu kika mkumba ila kesho yake FIBA ziliendelea mpaka jioni ya Siku ya pili alionavizuri kabisa kwa ukamilifu na SAA moja usiku tulianza safari kurudi Moro town kesho kutwa yake tukawa home mapema .had I naandika hapa sister yupo fiti .nimeeleza machache ili upate mwangaza wa waganga wakienyeji jinsi walivyo gawanyika,matapeli wapo mjini .
Mkuu, Biblia imesema amelaaniwa mtu awaye yoyote yule amtegemeaye mwanadamu, amfanyaye mwanadamu kuwa kinga yake, na moyoni mwake amemwacha Bwana. Achana na ulozi mkuu. Mwisho wake ni mbaya sana.Habari
Nahitaji kufahamishwa mganga mzuri wa kienyeji ambae anapatikana maeneo ya Bagamoyo
Kama kuna yeyote unamfahamu naomba unisaidie mawasiliano yake
Ahsante
SawaMkuu, Biblia imesema amelaaniwa mtu awaye yoyote yule amtegemeaye mwanadamu, amfanyaye mwanadamu kuwa kinga yake, na moyoni mwake amemwacha Bwana. Achana na ulozi mkuu. Mwisho wake ni mbaya sana.
Upo sahihi watu wana changanua ushirikina na waganga ,Tokea dunia kuumbwa dawa za mitishamba zimetumika hata sasa dawa zinazotumika hspl ni zile za mitishamba ila zimepita kiwandani na maabara, ila ukiwa mboshi afrika utakufa kizembe kama utazikimbia dawa za asili.Kwa nini nasema hivyo? Tafiti nyingi zimehusisha ulaya nk:tafiti nyingi zime hussha kwa wanayo pata changamoto zao huko huko ,sisi tuna rithiswa kutoka huko ulaya ili hali tulikua na dawa zetu. Nakupa mfano mmoja.Siamini ktk kuutegemea ushirikina ila dawa za asili ambazo hazihusishi ushirikina naweza kutumia.
Nasikitika kusema kwamba kuna mtu wangu wa karibu sana alikumbwa na dhahama hii ya upofu baada ya kuwa mke mwenza. Alikaa nao upofu huo zaidi ya miaka mitano, hospitali kubwa zote hawaoni tatizo katika macho.
Ninachosikitika zaidi taarifa hii ya leo nimeipata baada ya miezi mitatu sasa tangu afariki dunia 😭😭😭