Dejane
JF-Expert Member
- Jan 1, 2014
- 50,587
- 71,492
Ndio kula yake hana namna ila yule mama ana vituko kweli.
Anatafuta kuwekwa ndani unajua anapotosha watu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio kula yake hana namna ila yule mama ana vituko kweli.
Uhuru umepitiliza analewa sifa baada ya kuachiwa huruAnatafuta kuwekwa ndani unajua anapotosha watu
Heheee em ngoja kwanza nitarudi🤣🤣Vina gharama zake
Kuna watu hupenda kuona wenzao wanataseka tu, imagine mtoto mdogo wa miezi 2 wanataka kumfanya awe hazijaenea alafu aanguke kifafa. Alafu Mama yake ziwa lichafuke asinyonyeshe mtotoDah..ila watu🤔
Kafie mbeleMimi sio best yako
Nikupeleke na wewe ukachukue utajiri?🙈🏃🏃
Nipeleke 😄Nikupeleke na wewe ukachukue utajiri?🙈🏃🏃
Tatizo Gani?Wakuu mambo vp?
Nina ishu serious sana inanisumbua nahitaji mganga mwenye uwezo wa kunitatulia tatizo langu. Maana wengi nilioenda hawana suluhisho la muda mrefu ni kama wanakutibu ndani ya muda mfupi tatizo linarudi tena!
Nipo Dar akipatikana aliye Dar itapendeza zaidi.
N.B: Wale wa chumvi ya mawe, mara sijui nimwombe Mungu yote hayo nayajua lakini siyataki kwenye uzi huu. Nataka watu wenye miamba konki ya kutatua tatizo langu.
Ndio.. usicheze nao kabisa 😂Umefanya nicheke kwa sauti, kumbe watu wa hivyo wanakuwaga wameaga kwao.
Ngoja nione, mwezi ujao nataka nimtumie hela kumvuta, akija tu namfungia ndani siku mbili baadaye mtanisoma nami nimekuwa Bilionea 🤗
Wewe una mbele nije nifie hapo?Kafie mbele
Sawa, twende mwezi April, lazima ufikie level ya Bill Gates 😅Nipeleke 😄
SinaWewe una mbele nije nifie hapo?
Yule nimeshampima, maji yake ni ya Kina kifupi.Ndio.. usicheze nao kabisa 😂
Usiache kuleta mrejesho
Nimekaa hapa nasubiria vile utakuja kusema madawa yako yamegonga ukuta yakakurudia
ApiaYule nimeshampima, maji yake ni ya Kina kifupi.
Ndoano lazima itoke na Samaki 🙈🏃🏃
😄😄Twende uzeewote hu u sina hata kapikipikSawa, twende mwezi April, lazima ufikie level ya Bill Gates 😅
Kwa kweli, mwenyewe nimeona saivi nimegonga 86 na sina maisha si bora kujilipua tu 🤪😄😄Twende uzeewote hu u sina hata kapikipik