kinyamkela mahaba
JF-Expert Member
- May 4, 2022
- 1,178
- 1,596
Kaka Mukubwa. Sikupingi!Kwanza pole kwa matatizo, nenda Kimara Temboni, ulizia Ngomeni, nenda kamuone Kuhani Musa, utapatiwa vifaa vya kiroho matatizo yako yote yatakwisha!.
P
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kaka Mukubwa. Sikupingi!Kwanza pole kwa matatizo, nenda Kimara Temboni, ulizia Ngomeni, nenda kamuone Kuhani Musa, utapatiwa vifaa vya kiroho matatizo yako yote yatakwisha!.
P
Poa.km Yuko serious atakuja.pa1Mwambie aje kwenye pm yangu mara ya tatu naagiza.
Ataendaje kuzimu bill connection,toeni ramani yauhakika.Kama waganga wameshindwa kukusaidia si uende kuzimu moja kwa moja kwa baba lusifer mwenyewe akusaidie, hawa wengine ni maajent wake watu
Wapo maajentAtaendaje kuzimu bill connection,toeni ramani yauhakika.
PoaPoa.km Yuko serious atakuja.pa1
WaTanzania Kwa Waganga hatujambo! Badala ya kuwajibika na kumwomba Mungu/Allah unakimbikia kwa mganga wa kutaka Hela.Wakuu mambo vp?
Nina ishu serious sana inanisumbua nahitaji mganga mwenye uwezo wa kunitatulia tatizo langu. Maana wengi nilioenda hawana suluhisho la muda mrefu ni kama wanakutibu ndani ya muda mfupi tatizo linarudi tena!
Nipo Dar akipatikana aliye Dar itapendeza zaidi.
N.B: Wale wa chumvi ya mawe, mara sijui nimwombe Mungu yote hayo nayajua lakini siyataki kwenye uzi huu. Nataka watu wenye miamba konki ya kutatua tatizo langu.
Aisee...hajafika tu.Mwambie aje kwenye pm yangu mara ya tatu naagiza.
🤣🤣Jaribu huyu atakusaidia
🤣🤣KUNA MZEE mmoja ila galama zake ndo kubwa ila huwa anafanya kazi bila maipo yoyote na tatizo lako likiisha ndo umlipe yy kauli nmbiu yake anasemaga kuwa ''PESA YA DAWA HAIDHULUMIWI. Sasa jichanganye usilipe na huwa anasema mda ukifika dawa zitakukumbusha kuwa tayari na tatzo lako limeisha ila usipolipa hanaga msamaha yule mzee keshamaliza matapeli wengi sana wanaojifanya bkudhurum kazi zale ila huyu ni uhakiika hata ukitaka kwenda mbingu ya akina zumaridi na geodavii anakupa nauli unaenda na kurudi
Kaka kuhani mussa ni mganga aliyejivika kivuli Cha diniKwanza pole kwa matatizo, nenda Kimara Temboni, ulizia Ngomeni, nenda kamuone Kuhani Musa, utapatiwa vifaa vya kiroho matatizo yako yote yatakwisha!.
P
Ulozi unavuma kwa stories za kutunga kama hiziSasa Mkuu kwenye Kampuni kunakuwa na watu wenye imani tofauti na kila mtu na fikra zake. Mbona Uswazi juzi kati hapa kuna Dryer za Saloon ziliibiwa likatolewa tangazo siku 3 vifaa virudishwe lasivyo tusije laumiana. Siku 3 zikapita hakuna kilichorudi baada ya siku mbili wale Wezi walirudisha wenyewe vile vitu huku wakiwa Wamechakaa wamekuwa na manyonya kama Mbwa. Usicheze na Imani Mkuu.
Mshana hatangazi kilinge chake kilipo
Kaokoka saivi.Mshana hatangazi kilinge chake kilipo
Sasa mapembe yake amemuachia naniKaokoka saivi.
Hahaha[emoji23]Jaribu huyu atakusaidia
Kaka eti nikweli umekimbia kilinge umeachana na uloziHahaha[emoji23]