Natafuta mganga wa kienyeji konki

Natafuta mganga wa kienyeji konki

Niliwahi kuwa mhanga wa kutafuta wa ganga kama ulivyo wewe ,nilifanikiwa ila nilipoteza pesa nyingi. Kawaida uganga ni fani pana sana,wapo waganga wabobezi wa kitu kimoja na wengine wanatibu mambo mengi kwa pamoja ,Ila kundi hili ndio na waganga wa mchongo wako wengi sana.

Dada yangu alipatwa na ugonjwa wa macho ghafla akawa kipofu tuliangahika sana mahospitalini bila mafanikio, mpka Dr mmoja mtaalam wa macho ndio alitupa ushauri huo wa kusaka waganga wa kienyeji ,hapo ndio kazi ilianza.Ilitugharimu kamilioni kwa waganga makanjanja kabla kumpata mganga sahihi wa tatizo letu,hakika waganga wapo .tulienda morogoro vijijini sehemu inaitwa kolelo mpaka kufika huko tulitumia Sikh nzima,dar Moro na Moro kolelo mpaka tunafika kwa mganga tukifika SAA kumi jioni.

Na tiba ilianza nusu SAA baada ya kufika tulieleza masahibu yote na kuttangatanga koote mpaka kumpata mganga mkarimu ndio akatusaidia kukupata. Jamaa akatupa lisaa limoja mgonjwa ataona tena,wakati huo mgonjwa ana miezi mi4 haoni Ila ilikua hajabu mpaka SAA mbili usiku wa Sikh hiohio mgonjwa aliweza kuona tena japo kwa tabu na kizunguzungu kika mkumba ila kesho yake FIBA ziliendelea mpaka jioni ya Siku ya pili alionavizuri kabisa kwa ukamilifu na SAA moja usiku tulianza safari kurudi Moro town kesho kutwa yake tukawa home mapema .

Had I naandika hapa sister yupo fiti .nimeeleza machache ili upate mwangaza wa waganga wakienyeji jinsi walivyo gawanyika,matapeli wapo mjini .
Huyu wa kolero ni yule bwanamdogo mmoja ivi jina lake linaanzia na S...ana hatar yule nae
 
Naombeni msaada kuelekezwa NDENDE

Mtoto wadada yangu anasumbuliwa sana (hospitalini tatizo halionekani) tumehangaika kwa waganga nako bado

Nimeskia huko Ndende Kusini wako vizuri waganga wahuko so naomba mwenye kupajua huko vizuri aniekeze plz naomba msaada wako
 
Ni hapo Lindi-wilaya ya LIWALE,
ufikapo Liwale mjini Panda magari ya kuelekea kijiji kinaitwa Ngongowele toka hapo waweza chukua boda tu masaa kadhaa
 
 
Naombeni msaada kuelekezwa NDENDE
__mtoto wadada yangu anasumbuliwa sana (hospitalini tatizo halionekani) tumehangaika kwa waganga nako bado __nimeskia huko ngende kusini wako vizury waganga wahuko so naomba mwenye kupajua huko vizury aniekeze plz naomba msaada wako
Elezea kwanza anasumbuliwa na nini?

Wagonjwa wengi wamekufa kwa uwezo Mdogo wa hospital zetu kugunduwa tatizo la mgonjwa.

Jitahidi kufanya kipimo cha MRI ndio kipimo cha juu kwa Bongo kutafuta tatizo la mgonjwa.

Halafu huko ngende kuna sofa ya uchawi na siyo Tiba.

Sifa ya Tiba IPO Lushoto Tanga huko ndio kuna waganga wa kutibu magonjwa na siyo mambo ya kuroga.
 
Elezea kwanza anasumbuliwa na nini?

Wagonjwa wengi wamekufa kwa uwezo Mdogo wa hospital zetu kugunduwa tatizo la mgonjwa.

Jitahidi kufanya kipimo cha MRI ndio kipimo cha juu kwa Bongo kutafuta tatizo la mgonjwa.

Halafu huko ngende kuna sofa ya uchawi na siyo Tiba.

Sifa ya Tiba IPO Lushoto Tanga huko ndio kuna waganga wa kutibu magonjwa na siyo mambo ya kuroga.
Tatizo lake kubwa ni tumbo yan mara tumbo linajaa kama linataka kupasuka mara linapungua
 
Habari zenu wana JF.

Nina shida, mama yangu amechanganyikiwa gafla, anasikia sauti na kuongea na watu ambao hatuwaoni, tumeshahangaika kila mahali, hospitali na makanisani bila mafanikio.

Naomba mwenye connection ya mganga wa kweli kabisaa na sio mbabaishaji anisaidie. Yani nguli haswa.
 
Habari zenu wana JF.

Nina shida, mama yangu amechanganyikiwa gafla, anasikia sauti na kuongea na watu ambao hatuwaoni, tumeshahangaika kila mahali, hospitali na makanisani bila mafanikio.

Naomba mwenye connection ya mganga wa kweli kabisaa na sio mbabaishaji anisaidie. Yani nguli haswa.
Nenda kwa Mwamposa, utakutana na Mtendaji miujiza Yesu.
 
Habari zenu wana JF.

Nina shida, mama yangu amechanganyikiwa gafla, anasikia sauti na kuongea na watu ambao hatuwaoni, tumeshahangaika kila mahali, hospitali na makanisani bila mafanikio.

Naomba mwenye connection ya mganga wa kweli kabisaa na sio mbabaishaji anisaidie. Yani nguli haswa.
Hajachanganyikiwa huyo ni mizimu ya uganga inamtaka afanye kazi zake

Akatambikie kwenye makaburi ya Babu yake mkuu na bibi yake mkuu
 
Naombeni msaada kuelekezwa NDENDE

Mtoto wadada yangu anasumbuliwa sana (hospitalini tatizo halionekani) tumehangaika kwa waganga nako bado

Nimeskia huko Ndende Kusini wako vizuri waganga wahuko so naomba mwenye kupajua huko vizuri aniekeze plz naomba msaada wako
Hata mtoto wa mdgo wangu alikuwa na hilo tatzo hadi tulipokutana na mtaalam wa TANGA. Ndan ya sku 2 mtoto alikuwa vizur. Hiyo ilikuw mwaka 2021 hadi leo yuko poah Strong25
 
Jamani mkuje huku mnisaidie, nimeibiwa mume na mchepuko, nimetelekezwa na wanangu. Nataka mganga konki atakaetuma komboraa kwa ajili ya kumzindua mume wangu alikotorokea. Nielekezeni, kwa unae mtambua sehemu yoyote nikiwa na uwezo nitafika, Natafuta mganga mchawi au wa jini kwa simiyu, shinyanga; singida, bariadi, Tanga, Morogoro etc. Nafatilia koment, Walokole leo mnipishe tu yamenikuta. Maisha ina mitihani mingi.

Asante kwa watakaotoa konekshen
Ulikuwa unamletea mumeo madharau au? Mpaka kachepuka na kukukimbia!! Ebu tufafanulie ili tukusaidie
 
Habari zenu wana JF.

Nina shida, mama yangu amechanganyikiwa gafla, anasikia sauti na kuongea na watu ambao hatuwaoni, tumeshahangaika kila mahali, hospitali na makanisani bila mafanikio.

Naomba mwenye connection ya mganga wa kweli kabisaa na sio mbabaishaji anisaidie. Yani nguli haswa.
0689120019
 
Jamani mkuje huku mnisaidie, nimeibiwa mume na mchepuko, nimetelekezwa na wanangu. Nataka mganga konki atakaetuma komboraa kwa ajili ya kumzindua mume wangu alikotorokea. Nielekezeni, kwa unae mtambua sehemu yoyote nikiwa na uwezo nitafika, Natafuta mganga mchawi au wa jini kwa simiyu, shinyanga; singida, bariadi, Tanga, Morogoro etc. Nafatilia koment, Walokole leo mnipishe tu yamenikuta. Maisha ina mitihani mingi.

Asante kwa watakaotoa konekshen
0689120019
 
Back
Top Bottom