Natafuta mganga wa kienyeji konki

Natafuta mganga wa kienyeji konki

Poleni na majukumu ya kila siku, nimekuja na ID yangu hii sina haja ya kujificha.

Moja kwa moja kwenye mada, nahitaji msaada kama kuna mtu anamjua mganga wa uhakika anifanyie kazi yangu, kuna waganga huwa nasikia wanatoa watu mabusha, wanatuma majini au kumpa mtu ugonjwa nahitaji mganga wa hivyo.

Hii Dunia ina mengi, na ikifika kipindi cha vita unaambiwa usichague silaha, nahitaji jambo langu likamilike kwasababu kuna watu wanaweza kukukosea heshima mpaka wakapitiliza. Ukimya na subira ni muhimu lakini kuna watu huwa wanaona kama umezubaa.

Nikifanikiwa kazi yangu nitakupa ya shukrani sina hiyana. Watu wa mahubiri hapa sio sehemu yake.

Nawashukuruni naamini nitapata msaada wenu.
NendaTanga Lushoto halmshauri ya Bumbuli kata mbelei ulizia Mganga kipofu shda yako itakua imepata suluhu
 
Unaishi wapi,

tatizo limeanza lini,

Zamani imewahi kukutokea

hali huwa inakuaje
Naishi dar es Salaam. Ni miaka mitatu linanishawiahi eti nikawe mfalme mbinguni. Limenionesha mbingu na linasema niende huko siku zote nimeligomea.
 
Mkuu hilo Jitu linatumia tumia zana gani kutaka kukutoa roho ?

Limepitia wapi usiku huu, mlangoni au dirishani ?

Linakudai nini ?

Fafanua Hoja
Sijui linanidai nini ila nahisi halitaki nifanikiwe
 
Umesema upo dar, nenda mnazi mmoja hapo stendi ,Kuna duka kubwa kiasi linacanvas ya coca cola , Kuna jamaa hapo aka tunamuita makavu , yule mkinga mwambie akupe namba ya makamba,huyo mwamba ukifika kwake nenda na Hela ya kuku tu ,shukrani utaampa baadaye .
Ila uwe umeamua kabisa hana matani yule .
Ana aina mbili tu ya ndagu, ya kwanza utapewa mawe meusi mengi utaambiwa uyale kulingana na uwezo wako ,hakikisha unakula mengi ,ukila machache utajua mwenyewe.
Pili utapewa ua ukapande ulitunze na utapewa begi limejaa Hela tu ya kuanzia mengine hilo ua utajulia mbele.
Yote mawili hayo yaitaji moyo mgumu Sana ukiwa mwoga hata mwaka umalizi .
Kazi kwako Sasa ,nipe mrejesho .kila kitu kinafanyika hapa dar .
 
Umesema upo dar, nenda mnazi mmoja hapo stendi ,Kuna duka kubwa kiasi linacanvas ya coca cola , Kuna jamaa hapo aka tunamuita makavu , yule mkinga mwambie akupe namba ya makamba,huyo mwamba ukifika kwake nenda na Hela ya kuku tu ,shukrani utaampa baadaye .
Ila uwe umeamua kabisa hana matani yule .
Ana aina mbili tu ya ndagu, ya kwanza utapewa mawe meusi mengi utaambiwa uyale kulingana na uwezo wako ,hakikisha unakula mengi ,ukila machache utajua mwenyewe.
Pili utapewa ua ukapande ulitunze na utapewa begi limejaa Hela tu ya kuanzia mengine hilo ua utajulia mbele.
Yote mawili hayo yaitaji moyo mgumu Sana ukiwa mwoga hata mwaka umalizi .
Kazi kwako Sasa ,nipe mrejesho .kila kitu kinafanyika hapa dar .
Aise hiyo ya kula mawe mbona inatisha!
 
Umesema upo dar, nenda mnazi mmoja hapo stendi ,Kuna duka kubwa kiasi linacanvas ya coca cola , Kuna jamaa hapo aka tunamuita makavu , yule mkinga mwambie akupe namba ya makamba,huyo mwamba ukifika kwake nenda na Hela ya kuku tu ,shukrani utaampa baadaye .
Ila uwe umeamua kabisa hana matani yule .
Ana aina mbili tu ya ndagu, ya kwanza utapewa mawe meusi mengi utaambiwa uyale kulingana na uwezo wako ,hakikisha unakula mengi ,ukila machache utajua mwenyewe.
Pili utapewa ua ukapande ulitunze na utapewa begi limejaa Hela tu ya kuanzia mengine hilo ua utajulia mbele.
Yote mawili hayo yaitaji moyo mgumu Sana ukiwa mwoga hata mwaka umalizi .
Kazi kwako Sasa ,nipe mrejesho .kila kitu kinafanyika hapa dar .
Sema kumfata mtu kumuomba namba kwa biashara yake ni jau
 
Sema kumfata mtu kumuomba namba kwa biashara yake ni jau
Unataka kufanya ndagu ngumu na kuitisha namba ya mganga bila woga unashindwa ,daah ,hayo mambo huyawezi basi .
Wote wanaoenda wanaenda na hyo mbinu hamna shortcut , Sasa ukifika kwa huyo mganga kile chumba utavumilia kile utaona ,au lile ua mfano mbeleni likigeuka utaweza kulimudu Kama namba tu na kujielezea unashindwa
 
Habar zenu wapi nitapata mtaalam anisaidie kupata kazi nipo Kwa muhindi kazi imenishinda majungu,mazingira ya kazi magumu no off days kazi masaa 14 Kwa siku
Nimejaribu kuaply kazi pengine kabla sijaacha hapa lakini sijaitwa hata Kwa interview
Nisaidieni mtaalamu au hata mbinu za kibabe nipate kazi mapema hapa niondoke nitakufa mimi
Shukrani
 
Back
Top Bottom