edwayne
JF-Expert Member
- Apr 5, 2013
- 8,919
- 9,797
Acha kusingizia ndumbahapana katekwa na dumba kule. shuga mama
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha kusingizia ndumbahapana katekwa na dumba kule. shuga mama
NendaTanga Lushoto halmshauri ya Bumbuli kata mbelei ulizia Mganga kipofu shda yako itakua imepata suluhuPoleni na majukumu ya kila siku, nimekuja na ID yangu hii sina haja ya kujificha.
Moja kwa moja kwenye mada, nahitaji msaada kama kuna mtu anamjua mganga wa uhakika anifanyie kazi yangu, kuna waganga huwa nasikia wanatoa watu mabusha, wanatuma majini au kumpa mtu ugonjwa nahitaji mganga wa hivyo.
Hii Dunia ina mengi, na ikifika kipindi cha vita unaambiwa usichague silaha, nahitaji jambo langu likamilike kwasababu kuna watu wanaweza kukukosea heshima mpaka wakapitiliza. Ukimya na subira ni muhimu lakini kuna watu huwa wanaona kama umezubaa.
Nikifanikiwa kazi yangu nitakupa ya shukrani sina hiyana. Watu wa mahubiri hapa sio sehemu yake.
Nawashukuruni naamini nitapata msaada wenu.
Limenionesha mbingu halafu linasema niende huko nitakua mfalmeMkuu hilo Jitu linatumia tumia zana gani kutaka kukutoa roho ?
Limepitia wapi usiku huu, mlangoni au dirishani ?
Linakudai nini ?
Fafanua Hoja
Naishi dar es Salaam. Ni miaka mitatu linanishawiahi eti nikawe mfalme mbinguni. Limenionesha mbingu na linasema niende huko siku zote nimeligomea.Unaishi wapi,
tatizo limeanza lini,
Zamani imewahi kukutokea
hali huwa inakuaje
Sijui linanidai nini ila nahisi halitaki nifanikiweMkuu hilo Jitu linatumia tumia zana gani kutaka kukutoa roho ?
Limepitia wapi usiku huu, mlangoni au dirishani ?
Linakudai nini ?
Fafanua Hoja
DuhNaishi dar es Salaam. Ni miaka mitatu linanishawiahi eti nikawe mfalme mbinguni. Limenionesha mbingu na linasema niende huko siku zote nimeligomea.
DuhNendaTanga Lushoto halmshauri ya Bumbuli kata mbelei ulizia Mganga kipofu shda yako itakua imepata suluhu
Aise hiyo ya kula mawe mbona inatisha!Umesema upo dar, nenda mnazi mmoja hapo stendi ,Kuna duka kubwa kiasi linacanvas ya coca cola , Kuna jamaa hapo aka tunamuita makavu , yule mkinga mwambie akupe namba ya makamba,huyo mwamba ukifika kwake nenda na Hela ya kuku tu ,shukrani utaampa baadaye .
Ila uwe umeamua kabisa hana matani yule .
Ana aina mbili tu ya ndagu, ya kwanza utapewa mawe meusi mengi utaambiwa uyale kulingana na uwezo wako ,hakikisha unakula mengi ,ukila machache utajua mwenyewe.
Pili utapewa ua ukapande ulitunze na utapewa begi limejaa Hela tu ya kuanzia mengine hilo ua utajulia mbele.
Yote mawili hayo yaitaji moyo mgumu Sana ukiwa mwoga hata mwaka umalizi .
Kazi kwako Sasa ,nipe mrejesho .kila kitu kinafanyika hapa dar .
Sema kumfata mtu kumuomba namba kwa biashara yake ni jauUmesema upo dar, nenda mnazi mmoja hapo stendi ,Kuna duka kubwa kiasi linacanvas ya coca cola , Kuna jamaa hapo aka tunamuita makavu , yule mkinga mwambie akupe namba ya makamba,huyo mwamba ukifika kwake nenda na Hela ya kuku tu ,shukrani utaampa baadaye .
Ila uwe umeamua kabisa hana matani yule .
Ana aina mbili tu ya ndagu, ya kwanza utapewa mawe meusi mengi utaambiwa uyale kulingana na uwezo wako ,hakikisha unakula mengi ,ukila machache utajua mwenyewe.
Pili utapewa ua ukapande ulitunze na utapewa begi limejaa Hela tu ya kuanzia mengine hilo ua utajulia mbele.
Yote mawili hayo yaitaji moyo mgumu Sana ukiwa mwoga hata mwaka umalizi .
Kazi kwako Sasa ,nipe mrejesho .kila kitu kinafanyika hapa dar .
Unataka kufanya ndagu ngumu na kuitisha namba ya mganga bila woga unashindwa ,daah ,hayo mambo huyawezi basi .Sema kumfata mtu kumuomba namba kwa biashara yake ni jau
Kila jiwe unakula ndio miaka yako Dunia hii ,ni mawe meusi madogo hata sio makubwa ,unavokula ni machungu Ila mganga anacheka kwa sauti kuu Sana ,mpaka majini mule ndani Huwa unawaskia kabisa wanakupa morale ungangane ,zote ni ndagu ngumuAise hiyo ya kula mawe mbona inatisha!
Pakoje?Dah,umenikumbusha mkuu,nilikuwepo hapo ngende majuzi tu.kweli hapafai.
Kila jiwe unakula ndio miaka yako Dunia hii ,ni mawe meusi madogo hata sio makubwa ,unavokula ni machungu Ila mganga anacheka kwa sauti kuu Sana ,mpaka majini mule ndani Huwa unawaskia kabisa wanakupa morale ungangane ,zote ni ndagu ngumu