Natafuta mganga wa kienyeji konki

Natafuta mganga wa kienyeji konki




Alikuwa akichoka kutembea anaomba damu ya paka aigide kimtindo.
Alikuwa mpigaji tu. Hapa kuna michezo wana fanyiana uhuni
 
Nimemkumbuka huyu jamaa nimeishia kucheka tu. Alitumia elimu kubwa aliyonayo ya uchawi kutapeli. Angeishia kuelimisha watu.
Nlikutana nae baht nzur nilimshtukia [emoji23]
Hii thread ya kutafuta mganga konki, angekuwepo angekula vichwa sana
 
Mkuu hapa watakudanganya waganga wapo na wengi humu wanaendaga, si wanawake wala wanaume ila siri zao.!!
Njoo nikupeleke Kigoma nguruka uko ukaoshwe utoe nuksi wateja watamiminika mpk ushangae.

Naombeni ulinzi wa comment yangu 🤣
Niandikie ujumbe PM. Kuna ishu nataka kukuuliza.
 
Poleni na majukumu ya kila siku, nimekuja na ID yangu hii sina haja ya kujificha.

Moja kwa moja kwenye mada, nahitaji msaada kama kuna mtu anamjua mganga wa uhakika anifanyie kazi yangu, kuna waganga huwa nasikia wanatoa watu mabusha, wanatuma majini au kumpa mtu ugonjwa nahitaji mganga wa hivyo.

Hii Dunia ina mengi, na ikifika kipindi cha vita unaambiwa usichague silaha, nahitaji jambo langu likamilike kwasababu kuna watu wanaweza kukukosea heshima mpaka wakapitiliza. Ukimya na subira ni muhimu lakini kuna watu huwa wanaona kama umezubaa.

Nikifanikiwa kazi yangu nitakupa ya shukrani sina hiyana. Watu wa mahubiri hapa sio sehemu yake.

Nawashukuruni naamini nitapata msaada wenu.
Mkuu kazi hii wanaijuwa vizuri wabunge, mashehe na wachuniaji. Washirikishe mbunge wako au Mchungaji na shehe aliye karibu nawę, utatoboa tu. Hawa watu ni washirikina sana.
 
Dah mganga na chupi 50 kweli mnganga kiboko. Wapi wanatoa mafunzo ya uganga niende na mie niwe nakula mbususu za wake za watu?
Alafu kumbe hii fantasy ya kubaki na chupi za mrembo uliye mgegeda tunayo wengi🤣🤣🤣🤣
😁😁😁😁😁🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom