Brian Spilner
JF-Expert Member
- Aug 7, 2016
- 1,915
- 5,750
Habari gani.😁😁😁😁😁🤣🤣🤣
Umenitext mahali flan tangu August 12.
Ila uwanja wako wa kupokea ujumbe umeufunga, desired reply haikufikii
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Habari gani.😁😁😁😁😁🤣🤣🤣
Mbona uwanja upo wazi mkuuHabari gani.
Umenitext mahali flan tangu August 12.
Ila uwanja wako wa kupokea ujumbe umeufunga, desired reply haikufikii
We ni mganga wa kienyeji konki?Karibu
ES unatafuta mganga konki?We ni mganga wa kienyeji konki?
Ndio bro.....unae???ES unatafuta mganga konki?
***** this is point of no return 😂😂😂Mshana nishamsoma ana huruma sihitaji huruma hapa nahitaji kazi ikamilike sio lisala za kumuachia Mungu sitaki hizo
Wa mapenzi bro, unae?? 😹...
Mganga wa nini mkuu ?
Nimekuwa naona katika kioo kuwa Yuko binti mwenye shida ya mahusiano hasa kusumbuliwa na wa ubani wake .Wa mapenzi bro, unae?? 😹
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 nakujaa pm na simu nakupigia.....Nimekuwa naona katika kioo kuwa Yuko binti mwenye shida ya mahusiano hasa kusumbuliwa na wa ubani wake .
Tafadhali ,hakika ni wewe njoo PM ,dawa zako kabla hazijaoza na pia usisahau sifanyi kazi ijumaa na jumatano
Nakusubiri wahi kabla jua halijazama maana mababu likizama wanapumzika. 😀😀🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 nakujaa pm na simu nakupigia.....
mpakaa sasa tupe mrejeshoooPoleni na majukumu ya kila siku, nimekuja na ID yangu hii sina haja ya kujificha.
Moja kwa moja kwenye mada, nahitaji msaada kama kuna mtu anamjua mganga wa uhakika anifanyie kazi yangu, kuna waganga huwa nasikia wanatoa watu mabusha, wanatuma majini au kumpa mtu ugonjwa nahitaji mganga wa hivyo.
Hii Dunia ina mengi, na ikifika kipindi cha vita unaambiwa usichague silaha, nahitaji jambo langu likamilike kwasababu kuna watu wanaweza kukukosea heshima mpaka wakapitiliza. Ukimya na subira ni muhimu lakini kuna watu huwa wanaona kama umezubaa.
Nikifanikiwa kazi yangu nitakupa ya shukrani sina hiyana. Watu wa mahubiri hapa sio sehemu yake.
Nawashukuruni naamini nitapata msaada wenu.
Nadhani aliishia kutapeliwa