Natafuta mke tutakaye-adopt watoto pamoja naye

Zinc my brother asante kwa kuligundua hilo nashukuru pia kwa maombi yako nafurahi kuona kumbe unafwatilia comments zangu asante kwa jua machungu ya moyo wangu ubarikiwe[emoji120] [emoji120]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Dah! Hongera kwa ushauri bora kabisa. Umemaliza. Aoe mwenye mtoto/watoto ili apate upendo wa dhati.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
mie naamini utakuja mpa mimba tu mkeo !KUWA NA IMANI ! sitak hata kukupa pole !huna shida sana kwakweli !kila la heri kwa kutafuta TIBA
 
Du! Imani aliyonayo mhusika nikubwa sana kumhusu Mungu, yupo sahihi sana. Nawe tena umeniongezea kitu fikirishi!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mungu akujalie hitaji la moyo wako. Maneno uliyoandika kwenye thread hii yamenitia uchungu sana nikakumbuka Kaka mmoja aliyetoa shukrani jpili iliyopita kanisani kwa kupata mtoto baada ya miaka mingi na mengi kuibuka juu ya familia yake.
Hakuna lenye mwanzo lisilo na mwisho. Wee bado ni kijana mdogo huna haja ya kukata tamaa. Najua changamoto uliyonayo na inayokusumbua ni kupata mwanamke ambaye atakubaliana na hali uliyo nayo kwani dada zetu akili zao wanazijua wenyewe. Ila nakusihi usikate tamaa maadam unatambua Mungu yupo, endelea kumuomba njia ipo nawe utafika.
 


hapana kuna wanawake weng sana wenye kuhitaj mume dizain ya huyu mkuu ! usigeneraize mambo !
 
pole sana bro ingawa mi navyo fahamu tatizo lako linatibika mbona au ndio umeshakata tamaa mkuu?
 
Pole lkn usikate tamaa,kumbuka Millen Magese aliambiwa hatoweza kubeba mimba lkn kwa Mungu hakuna kukata tamaa,maana yeye ndio muamuzi wa mwisho sasa Millen ana mtoto wa kiume alibeba mimba
Wengi tu wanapewa majibu na madr ya kukatisha tamaa lkn wenyewe wanamgeukia Mungu na wanafanikiwa
Nione PM nikupe zaidi ushauri

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mhuuuu tatizo dogo utazalisha tu usiwaze sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…