Natafuta mme wa kunioa, nipo serious

Natafuta mme wa kunioa, nipo serious

Status
Not open for further replies.
Amen. Ni mtihani sana hasa kwa mwanamke inawatesa sana. Mie nilikuwa naishi na mke wa kaka yangu pia matulio yalifata ndani ya siku mbili watoto watatu walipotea. Yote ni maisha tiba huwa ni kupokea na kukubalia limetokea na hatuwezi kubadirisha kitu.
Yeah mke wangu hakuwa sawa ilipita mda mpaka akae sawa. Hiki kipindi alikuwa analia tu mwenyewe ilibidi nimepe moyo sana

Kuna siku alinifanyia vituko mwishowe nikawa nacheka tu. Ananibembeleza nimtie mimba nyingine wakati doctor alishahuri at least ipite six months kabla hajashika mimba. Kwa kweli baada ya miezi sita tu akashika mimba tukapata mtoto mwingine wa kike😊

Mungu atawabariki mtapata watoto wengi sana hichi ni kipindi cha mpito tu. .
 
Natafuta mwanaume ambaye atakuwa tayar kunioa
Mimi ni mwanamke age 31
Muislim
Naishi Dar
Nina mtoto mmoja
Nafanya kazi nimeajiriwa nipo serikalini
Nina mtoto mmoja tu
Natafuta mwanaume atakayekuwa serious tuanzishe familia
Kuolewa mke wa pili nipo tayar


Sifa za mwanaume
Age 33-45
Awe anajishughulisha
Awe serious
Mengine tutazungumza
Mashallah
We ungenifaa kweli kuwa Mathna wangu,
lakini mfukoni hakupo vizuri, naamini
usingejuta maisha yako yote.
 
Yeah mke wangu hakuwa sawa ilipita mda mpaka akae sawa. Hiki kipindi alikuwa analia tu mwenyewe ilibidi nimepe moyo sana

Kuna siku alinifanyia vituko mwishowe nikawa nacheka tu. Ananibembeleza nimtie mimba nyingine wakati doctor alishahuri at least ipite six months kabla hajashika mimba. Kwa kweli baada ya miezi sita tu akashika mimba tukapata mtoto mwingine wa kike😊

Mungu atawabariki mtapata watoto wengi sana hichi ni kipindi cha mpito tu. .
Ni kweli, ila ni hadi miezi sita.. kwa ushauri wa wataalamu wa afyaa.. ni kweli kama binadamu mapito kawaida kabisa
 
Natafuta mwanaume ambaye atakuwa tayar kunioa
Mimi ni mwanamke age 31
Muislim
Naishi Dar
Nina mtoto mmoja
Nafanya kazi nimeajiriwa nipo serikalini
Nina mtoto mmoja tu
Natafuta mwanaume atakayekuwa serious tuanzishe familia
Kuolewa mke wa pili nipo tayar


Sifa za mwanaume
Age 33-45
Awe anajishughulisha
Awe serious
Mengine tutazungumza
God be with you! Ila sio lazima kila mwanamke aolewe na kila mwanaume aoe.

Sent from my SM-A013G using JamiiForums mobile app
 
Natafuta mwanaume ambaye atakuwa tayar kunioa
Mimi ni mwanamke age 31
Muislim
Naishi Dar
Nina mtoto mmoja
Nafanya kazi nimeajiriwa nipo serikalini
Nina mtoto mmoja tu
Natafuta mwanaume atakayekuwa serious tuanzishe familia
Kuolewa mke wa pili nipo tayar


Sifa za mwanaume
Age 33-45
Awe anajishughulisha
Awe serious
Mengine tutazungumza
Na mm natafuta mke, njoo pm tuyajenge
 
Natafuta mwanaume ambaye atakuwa tayar kunioa
Mimi ni mwanamke age 31
Muislim
Naishi Dar
Nina mtoto mmoja
Nafanya kazi nimeajiriwa nipo serikalini
Nina mtoto mmoja tu
Natafuta mwanaume atakayekuwa serious tuanzishe familia
Kuolewa mke wa pili nipo tayar


Sifa za mwanaume
Age 33-45
Awe anajishughulisha
Awe serious
Mengine tutazungumza
Hapo kwenye age umekosea! Wapo walio na miaka hamsini na kuendelea kuwa na mtoto sio issues! Jipange utafanikiwa.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom