kina kirefu
JF-Expert Member
- Dec 14, 2018
- 15,188
- 18,583
Kwa umri wako wewe
Mwenye miaka 45 unamuonea
Mwenye miaka 45 unamuonea
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yeah mke wangu hakuwa sawa ilipita mda mpaka akae sawa. Hiki kipindi alikuwa analia tu mwenyewe ilibidi nimepe moyo sanaAmen. Ni mtihani sana hasa kwa mwanamke inawatesa sana. Mie nilikuwa naishi na mke wa kaka yangu pia matulio yalifata ndani ya siku mbili watoto watatu walipotea. Yote ni maisha tiba huwa ni kupokea na kukubalia limetokea na hatuwezi kubadirisha kitu.
MashallahNatafuta mwanaume ambaye atakuwa tayar kunioa
Mimi ni mwanamke age 31
Muislim
Naishi Dar
Nina mtoto mmoja
Nafanya kazi nimeajiriwa nipo serikalini
Nina mtoto mmoja tu
Natafuta mwanaume atakayekuwa serious tuanzishe familia
Kuolewa mke wa pili nipo tayar
Sifa za mwanaume
Age 33-45
Awe anajishughulisha
Awe serious
Mengine tutazungumza
Ni kweli, ila ni hadi miezi sita.. kwa ushauri wa wataalamu wa afyaa.. ni kweli kama binadamu mapito kawaida kabisaYeah mke wangu hakuwa sawa ilipita mda mpaka akae sawa. Hiki kipindi alikuwa analia tu mwenyewe ilibidi nimepe moyo sana
Kuna siku alinifanyia vituko mwishowe nikawa nacheka tu. Ananibembeleza nimtie mimba nyingine wakati doctor alishahuri at least ipite six months kabla hajashika mimba. Kwa kweli baada ya miezi sita tu akashika mimba tukapata mtoto mwingine wa kike😊
Mungu atawabariki mtapata watoto wengi sana hichi ni kipindi cha mpito tu. .
Jitahidi uwe karibu na mwenzako ndugu. Umnunulie na vizawadi 😀ni kweli, ila ni hadi miezi sita.. kwa ushauri wa wataalamu wa afyaa.. ni kweli kama binadamu mapito kawaida kabisa
God be with you! Ila sio lazima kila mwanamke aolewe na kila mwanaume aoe.Natafuta mwanaume ambaye atakuwa tayar kunioa
Mimi ni mwanamke age 31
Muislim
Naishi Dar
Nina mtoto mmoja
Nafanya kazi nimeajiriwa nipo serikalini
Nina mtoto mmoja tu
Natafuta mwanaume atakayekuwa serious tuanzishe familia
Kuolewa mke wa pili nipo tayar
Sifa za mwanaume
Age 33-45
Awe anajishughulisha
Awe serious
Mengine tutazungumza
Na mm natafuta mke, njoo pm tuyajengeNatafuta mwanaume ambaye atakuwa tayar kunioa
Mimi ni mwanamke age 31
Muislim
Naishi Dar
Nina mtoto mmoja
Nafanya kazi nimeajiriwa nipo serikalini
Nina mtoto mmoja tu
Natafuta mwanaume atakayekuwa serious tuanzishe familia
Kuolewa mke wa pili nipo tayar
Sifa za mwanaume
Age 33-45
Awe anajishughulisha
Awe serious
Mengine tutazungumza
Aha aha aha we jamaa sio mzima!Je, yaliyomo yamo?? Nikimaanisha una tako?? Maana mwanamke bila ya tako ni msela mwenzetu tu.
Ungetupiamo na kapicha maana tunaweza kuja kichwa kichwa inbox kumbe una sura kama Bambo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Miaka 31 kasema sio 60.Utomb@ne ujanani uje utusumbue saizi akuoe huyo aliyekuzalisha!
Nasubiri akae sawa, nimtoe kidogo vacation hata ka wiki hivi 😅😅Jitahidi uwe karibu na mwenzako ndugu. Umnunulie na vizawadi 😀
You ask her anataka kwenda wapi. I bought her a pet fish hakupenda kabisa🤣Nasubiri akae sawa, nimtoe kidogo vacation hata ka wiki hivi 😅😅
Hali ya uchumi inakabaaa.. sana. Nitampeleka hapo Zanzibar kuna hotel nzuri apigwe na upepo wa bahari😅😅😅You ask her anataka kwenda wapi. I bought her a pet fish hakupenda kabisa🤣
Hapo kwenye age umekosea! Wapo walio na miaka hamsini na kuendelea kuwa na mtoto sio issues! Jipange utafanikiwa.Natafuta mwanaume ambaye atakuwa tayar kunioa
Mimi ni mwanamke age 31
Muislim
Naishi Dar
Nina mtoto mmoja
Nafanya kazi nimeajiriwa nipo serikalini
Nina mtoto mmoja tu
Natafuta mwanaume atakayekuwa serious tuanzishe familia
Kuolewa mke wa pili nipo tayar
Sifa za mwanaume
Age 33-45
Awe anajishughulisha
Awe serious
Mengine tutazungumza
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimesoma comment yao nimejikuta nasikia sauti ya Mzee Kachala.