Natafuta mme wa kunioa, nipo serious

Natafuta mme wa kunioa, nipo serious

Status
Not open for further replies.
hali ya uchumi inakabaaa.. sana. nitampeleka hapo zanzibar kuna hotel nzuri apigwe na upepo wa bahari😅😅😅
😆 Mpeleke bahari safi nishawahi mpeleka Bagamoyo baharini watu wanavua samaki maeneo hayo njia nzima ni harufu ya shombo la samaki

Ile harufu ilitoka baada ya kujisugulia na white vinegar.
it's nice thing to do man. Wish you best. .
 
Hivi serious unafika 30's years huna hata boyfriend, me Dada yangu kaolewa ana miaka 19 wakati ndio amemaliza tu diploma yake anasubir degree na kwa mtazamo Wang mapenz ni mazoea sio kitu cha siku moja ndio maan hata mzungu anampenda mwafrika kutokana na ucheshi na ndio maana waafrika wacheshi wanapataga burudani sana kulelewa.
 
Nimekaa hapa nasubilia kuolewa kuna mtu kaja kaniambia hivi , wewe umekaa hapa ukute mmeo amesha is tayar kawahiwa na mtu mwingine kwahiyo cha kufanya akijisogeza mme wa mtu nawe jisogeze ukute ndio mmeo huyo[emoji849][emoji849] kwahiyo mpaka sahiv nimekaa hapa nje natafakar haya maneno[emoji848][emoji848][emoji848]
 
Nimekaa hapa nasubilia kuolewa kuna mtu kaja kaniambia hivi , wewe umekaa hapa ukute mmeo amesha is tayar kawahiwa na mtu mwingine kwahiyo cha kufanya akijisogeza mme wa mtu nawe jisogeze ukute ndio mmeo huyo[emoji849][emoji849] kwahiyo mpaka sahiv nimekaa hapa nje natafakar haya maneno[emoji848][emoji848][emoji848]
kuna ukweli hapo....
 
Nimekaa hapa nasubilia kuolewa kuna mtu kaja kaniambia hivi , wewe umekaa hapa ukute mmeo amesha is tayar kawahiwa na mtu mwingine kwahiyo cha kufanya akijisogeza mme wa mtu nawe jisogeze ukute ndio mmeo huyo[emoji849][emoji849] kwahiyo mpaka sahiv nimekaa hapa nje natafakar haya maneno[emoji848][emoji848][emoji848]
Endelea kung'atwa na mbu
 
Natafuta mwanaume ambaye atakuwa tayar kunioa
Mimi ni mwanamke age 31
Muislim
Naishi Dar
Nina mtoto mmoja
Nafanya kazi nimeajiriwa nipo serikalini
Nina mtoto mmoja tu
Natafuta mwanaume atakayekuwa serious tuanzishe familia
Kuolewa mke wa pili nipo tayar


Sifa za mwanaume
Age 33-45
Awe anajishughulisha
Awe serious
Mengine tutazungumza
Ooh 1-0 kabla mechi haijaanz kila la kheri
 
hapo kwenye nina mtoto mmoja umesisitizia mara mbili. Ukipata mwanaume ambaye hapendi kiumbe cha Mungu achana nae hakufai kabisa. .

Natamani niwe na wake hata wanne. Ingekuwa vyema kanisa likahalalisha ndoa zaidi ya mke mmoja😀
Inasikitisha jinsia yako ,
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom