Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😆 Mpeleke bahari safi nishawahi mpeleka Bagamoyo baharini watu wanavua samaki maeneo hayo njia nzima ni harufu ya shombo la samakihali ya uchumi inakabaaa.. sana. nitampeleka hapo zanzibar kuna hotel nzuri apigwe na upepo wa bahari😅😅😅
kuna ukweli hapo....Nimekaa hapa nasubilia kuolewa kuna mtu kaja kaniambia hivi , wewe umekaa hapa ukute mmeo amesha is tayar kawahiwa na mtu mwingine kwahiyo cha kufanya akijisogeza mme wa mtu nawe jisogeze ukute ndio mmeo huyo[emoji849][emoji849] kwahiyo mpaka sahiv nimekaa hapa nje natafakar haya maneno[emoji848][emoji848][emoji848]
Endelea kung'atwa na mbuNimekaa hapa nasubilia kuolewa kuna mtu kaja kaniambia hivi , wewe umekaa hapa ukute mmeo amesha is tayar kawahiwa na mtu mwingine kwahiyo cha kufanya akijisogeza mme wa mtu nawe jisogeze ukute ndio mmeo huyo[emoji849][emoji849] kwahiyo mpaka sahiv nimekaa hapa nje natafakar haya maneno[emoji848][emoji848][emoji848]
[emoji849][emoji849]Endelea kung'atwa na mbu
Changamka sio unakaa nje kama sanamu jiongeze apo nje ulipokaa jilipue mazima, kaa mmkao wa kutega mtu fanya mambo moto apo nje utapata kama hauto zubaa[emoji849][emoji849]
Kwakweli naweza opoa chuma eeChangamka sio unakaa nje kama sanamu jiongeze apo nje ulipokaa jilipue mazima, kaa mmkao wa kutega mtu fanya mambo moto apo nje utapata kama hauto zubaa
Ahhh, sasa we jiongeze mwanamke unatakiwa kujua kuwinda vzuri, we huoni kwamba simba jike siku zote yy ndo mwindaji na huwa anachagua vinono vilinona na ww ndo inabd iwe ivo chagua vilivo nono we mtego watu waingie mtegoniKwakweli naweza opoa chuma ee
Ooh 1-0 kabla mechi haijaanz kila la kheriNatafuta mwanaume ambaye atakuwa tayar kunioa
Mimi ni mwanamke age 31
Muislim
Naishi Dar
Nina mtoto mmoja
Nafanya kazi nimeajiriwa nipo serikalini
Nina mtoto mmoja tu
Natafuta mwanaume atakayekuwa serious tuanzishe familia
Kuolewa mke wa pili nipo tayar
Sifa za mwanaume
Age 33-45
Awe anajishughulisha
Awe serious
Mengine tutazungumza
Inasikitisha jinsia yako ,hapo kwenye nina mtoto mmoja umesisitizia mara mbili. Ukipata mwanaume ambaye hapendi kiumbe cha Mungu achana nae hakufai kabisa. .
Natamani niwe na wake hata wanne. Ingekuwa vyema kanisa likahalalisha ndoa zaidi ya mke mmoja😀
Ehhh, mjenga barabara tenaIla kweli yaani hapa nifanya mpango niopoe hata mchina anayejenga barabara anipeleke hata china[emoji16]
Unapenda kutafuta league na watu mtandaoni bila sababu au sioInasikitisha jinsia yako ,
Waliosoma Quba wameelewaEhhh, mjenga barabara tena
Ahh, [emoji28][emoji28]Waliosoma Quba wameelewa
Sasa mtu mpka anakuja humu kutafuta unategemea sura itakuwaje?Je, yaliyomo yamo?? Nikimaanisha una tako?? Maana mwanamke bila ya tako ni msela mwenzetu tu.
Ungetupiamo na kapicha maana tunaweza kuja kichwa kichwa inbox kumbe una sura kama Bambo