Ngurukia
JF-Expert Member
- Feb 25, 2023
- 4,407
- 16,942
Sasa mtu mpka anakuja humu kutafuta unategemea sura itakuwaje?
Kula chuma hicho.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa mtu mpka anakuja humu kutafuta unategemea sura itakuwaje?
Hebu tuache bhana sura nn hata mbuzi anayo😀😀Sasa mtu mpka anakuja humu kutafuta unategemea sura itakuwaje?
Tangazo limejitosheleza kabisa
We umeolewa?God be with you! Ila sio lazima kila mwanamke aolewe na kila mwanaume aoe.
Sent from my SM-A013G using JamiiForums mobile app
😂😂😂😂😂😂😂😂 hii hapana kwa kweli.View attachment 2630777
Kula chuma hicho.
[emoji51][emoji51][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hii hapana kwa kweli.
Ila hajasema kama ulikuwa umeolewa au la!!! Au hilo tutazungumza kama ulivyosema!!Natafuta mwanaume ambaye atakuwa tayari kunioa
Mimi ni mwanamke age 31
Muislamu
Naishi Dar
Nina mtoto mmoja
Nafanya kazi nimeajiriwa nipo serikalini
Nina mtoto mmoja tu
Natafuta mwanaume atakayekuwa serious tuanzishe familia
Kuolewa mke wa pili nipo tayari
Sifa za mwanaume
Age 33-45
Awe anajishughulisha
Awe serious
Mengine tutazungumza
Naona unataka kwenda kulelewa kimasikharaMashallah
We ungenifaa kweli kuwa Mathna wangu,
lakini mfukoni hakupo vizuri, naamini
usingejuta maisha yako yote.
Ila hajasema baba wa mtoto yupo au hayupo?Hapo kwenye nina mtoto mmoja umesisitizia mara mbili.
mkuu, hadi wewe ?Ila hajasema baba wa mtoto yupo au hayupo?
[emoji3][emoji3][emoji3] dahHebu tuache bhana sura nn hata mbuzi anayo[emoji3][emoji3]
Inshallah utapata hitaji la moyo wakoNatafuta mwanaume ambaye atakuwa tayari kunioa
Mimi ni mwanamke age 31
Muislamu
Naishi Dar
Nina mtoto mmoja
Nafanya kazi nimeajiriwa nipo serikalini
Nina mtoto mmoja tu
Natafuta mwanaume atakayekuwa serious tuanzishe familia
Kuolewa mke wa pili nipo tayari
Sifa za mwanaume
Age 33-45
Awe anajishughulisha
Awe serious
Mengine tutazungumza
Namuheshimu sana ndugu yangu Half american , namuachia goma ilo 😅
Nimefika tayari, vipi anahitaji ushauri? 🙈🙈
Anaomba umuoe haraka sanaNimefika tayari, vipi anahitaji ushauri? 🙈🙈
Safi mammy ngoja nije pm. Sie christian by name not by faith sii tunaruhusiwa kuapply?Natafuta mwanaume ambaye atakuwa tayari kunioa
Mimi ni mwanamke age 31
Muislamu
Naishi Dar
Nina mtoto mmoja
Nafanya kazi nimeajiriwa nipo serikalini
Nina mtoto mmoja tu
Natafuta mwanaume atakayekuwa serious tuanzishe familia
Kuolewa mke wa pili nipo tayari
Sifa za mwanaume
Age 33-45
Awe anajishughulisha
Awe serious
Mengine tutazungumza
Mimi bado nipo nipo Sana mkuuNamuheshimu sana ndugu yangu Half american , namuachia goma ilo 😅
Mzeya unataka changamkia fursaMambo ndio haya sasa.. mke wa pili.. 🤗🤗🤗