Natafuta Mme !

anayetoa dhihakahata kabla hajakupata hakufai, maana akikupata utajuta kuzaliwa. Mwanaume ni yule mwenye kauli laini, hata kama hamaanishi anayoyasema.
Asante sana Mama kwa maneno yenye busara na hekima nyingi!
Mungu akubariki
 

Nina Miaka 42, nina mke na hana noma nikiongeza mke wa 2, my wife is very understanding and loving, she loves everybody and very polite na tuna watoto 2 and expecting a 3rd one in few month. Ninapostdoc in information management systems na ninaishi ughaibuni. Kama uko tayari kujiunga na family yangu unaweza kuwa my second significant other basi nitumie PM tujuane zaidi na kufanya mipango ya ndoa.

Looking towards your positive response.

Marwa.
 
.....NAMIMI NAJIUNGA...nina elimu nzuri ....ninayo pesa ya kula ,sina ziada...nina kilema cha kupenda ....KIZURI NI KUWA ..SINA UTANI KAZINI......HUWA SIPUMZIKI HADI NIHAKIKISHE UMEINGIA WAVUNI KUOKOTA MPIRA[GOLI]...MARA TATU AU NNE..NATUMIA KILA MBINU KUFUNGA...THAT IS MY PRINCIPAL..NDIO AT LEAST NA MIMI NITARUHUSU GOLI!!....

NAOMBA AJIRA..HIYO..UMRI WANGU NI OVER 40 HILO USIJALI...KWA WANAUME KATIKA UMRI KAMA HUO BADO ANAKUWA NA MIAKA 40 MBELE YA KUENDELA KUOA!!!
 
Basi akufanyie mtimanyongo kukupa ajira tu
 
Binti wa miaka 28 hujatongozwa mpaka uapply JF, basi wewe utakuwa ni kituko, labda unafanana kama kibwengo

...wanawake wazuri wazuri wameolewaa wamebaki manungayembe yanangaika....
 
sema vigezo wewe ooh miaka 28,awe na masters,weka gazeti hapo watu wasome
 
wewe ndo umeona hivyo sawa!
asante kwa ushauri

that is is good,

je twaweza fahamu elimu yako pia? na je unafanya kazi au ni mama wa nyumbani? na hiyo master degree je una preference iwe ni ya nini hasa ?

Nafikiri kama kweri upo serious will get one for you. tuko wengi ambo tunatafuta wachumba
 
Siwezi kuwa mke wa pili kamwe!
 
Siwezi kuwa mke wa pili kamwe!

Duu...!Dada yangu wewe nadhani hutaki mume.

Huna mume alafu unadai hutaki kua mke wa pili.........?

Pole we.... mwanakwetu!


Angalia usije ukapata la kulipa.....ukavishwa SANDA...ukaletwa MATUTAni.
 
yale mambo ya zamani ya haki ya mwanamme pekee kuwa na haki ya kutongoza,kuchumbia na kutoa mahari yamepitwa na wakati! huu ni wakati wa haki kwa wote! kulipa mali na kulipiwa mali. mbona wenzetu wahindi wamepiga hatua wanawake ndiyo wanaolipa mali. india watoto wa kiume wanasubiri offer hizo.bahati mbaya huwaangukia wale wanaotoka kwenye familia zenye neema kama vile hapa nyumbani familia za epa,bot twin towers,meremeta,tangold,richmond,dowans,radar,kiwira,pjet,japanese fcf,kigoda mention any.. huyo mdada yupo sahihi nani anataka kwenda kushind njaa. wana JF lets help our country.tamaa zinaanzia kwa mtu,familia,kikundi na kuendelea. warembo wamekuwa chanzo cha ufisadi. tunamtakia kila la heri dada yetu tukipata hints tutamtonya
 
angalau ungeanzia kwenye umri tu halafu watakopojinadi utachoose huyo mwenye master.
lakini kuna master za nyuki, kucheza ngoma -pale mlimani kuna hiyo taasisi na kuna master za St. sijui nani tu maana hivi vyuo navyo vimekuwa kama private secondary school. vingi kama utitiri na waalimu ni wa kukodi.

wewe unaonekana kabisa hauko serious.
pia elimu ni ya kutafuta. wewe uwe sehemu ya kumjenga mumeo sio aje na hizo sifa. bora tu awe mcha Mungu. unataka ukoswe hata kitu kipya ambacho utaonekana na huyo unaempenda.
ndo strong na maarufu zilijengwa hivyo sio kuzitafuta. jenga wako atapatahiyo master na hata PhD.
Utaburuzwa na hiyo master na magonjwa juu.
 
mpaka wa leo hii mama hujapata mchumba humu .. itabidi ukajaribu misikitini au kanisani maana humu hamna kitu
 
nimepata kaka yangu mmoja, ila masharti yake utayaweza?
 

Anauliza majini Bagamoyo
Anauliza ndevu Arabuni
Anauliza makofi Polisi!!!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…