that is what i beliave!and what makes you scared!
as you know mme mwema anatoka kwa BWANA MUNGU!
Sasa kama Mume bora anatoka kwa BWANA MUNGU wewe unakuja JF kumtafuta? Subiri huko huko bwana Mungu akuletee...! Weee hauko serious kabisa...! Kuna masters za kununua skuizi....!
Nenda pale chuo kikuu Mlimani na Mzumbe utawapata wanaume wengi tu wenye masters...! Kuna mpaka wenye masters na PhD za kila aina...! Ukikosa hapo nenda pale Ofisi za Higher Education Acreditaion Council pia hapo utapata wanaume wengi tu hadi maprofesa...!
Lakini kwa namna hii, wewe hautafuti mume, wewe unatafuta mwanataaluma...!
Swali langu ni kwamba utazibitisha vipi mtu anamasters? Ni kigezo gani ukiwa kama wewe utakitumia kupima masters ya huyo mume unaemtafuta?
Baby dont worry, Naona watu wanakukatisha tamaa, usijali , nitumie CV yako mi niko Tayari ikiwezekana na Picha, halafu fafanua kuhusu mwanaume mzuri , una maana gani (you mean it matters on Height, Colour/complexion, weight and eyes- give specifications), pia fafanua ni masters gani unazotaka na je lazima uwe na ajira, kwa kuwa mtu unaweza kuwa na PHD au Masters lakini ni jobless, Pia unamsimamo gani kuhusu Dini, pombe na sigara? please respond as soon as you can!,ma email is msambatavango@hotmail.com, nimejaribu kutuma ujumbe ktk email yako lakini imegoma kwenda.
Pole sana dadaake,lakini si mbaya,alishajisemea kayumba yote maisha.Bahati mbaya mie nimeshaoa kwani naona umekwama mtu.lakini si hoja sana kwa sababu mie ni muislam na tunaruhusiwa kuwa na mke zaidi ya mmoja bado kuna nafasi tatu zi tupu.All in all,kama dada yangu na kwa jinsi navyowafahamu wanaume sisi,hii njia uliyotumia kama kweli uko sirias,unahitaji unamakini wa hali ya juu sana vinginevyo ni lazima tujiandae kukubembeleza.Mie nina rafiki yangu anawapona sana watoto wa watu kwa staili kama hii yako,anaandika gazetini anatafuta mchumba,waliokwama kama wewe wanajitokeza na baada ya kuwaamisha kwamba kweli atamuoa kila mmoja kwa wakati wake(kwani ujitokeza wengi wakati mwingine ajali utaka kutokea),basi anaanza kuwapona mmoja mmoja,hivi niko nakuombea Mungu usije kukutana nae utaumia.TAKE CARE MY SISTER.
wewe ndo umeona hivyo sawa!
asante kwa ushauri
wapendwa wana JF
mimi ni binti mwenye umri wa miaka 28!
Napenda kuwasilisha ombi langu la kutafuta mme
sifa za ninaemtaka
awe na umri wa kuanzia miaka 25-na kuendelea!
elimu kuanzia masters na kupanda juu!
any one interested ani PM mengine tutafahamiana zaidi
wapendwa wana JF
mimi ni binti mwenye umri wa miaka 28!
Napenda kuwasilisha ombi langu la kutafuta mme
sifa za ninaemtaka
awe na umri wa kuanzia miaka 25-na kuendelea!
elimu kuanzia masters na kupanda juu!
any one interested ani PM mengine tutafahamiana zaidi
Dada NG'WALU, naomba kuuliza je ulishawahi kumjua mwanamume au ndyo nitakuwa wa kwanza nikifanikiwa? mi ninasifa unazotaka na sijawahi kumjua mwanamke, sema basi pls, I am itching 4 that opportunity!