Natafuta mpenzi ambae baadae awe mke

Kwahiyo huku jf tupo tulotoka wapi? Huko kwa Bwana ndio wapi nasi twende?
 
Kama katika usomaji wako wote haukuweza kupata mke basi utakuja kumpata ukiwa unaelekea kuzeeka.
Mwanaume kaweka uzi wake wanatokea wanaume wengine ndio wanawashwa na uzi wa mwanaume mwenzao.. JF imekuwa ya ajabu ajabu sana, duniani hii kila mtu ama aamuzi yake na matarajio yake. Wanaume wa miaka hii sijui tuna nini. Ndio maaana tabia za kishoga hazihishi.. Hii mada ningetarajia nione wadada wanapigana vikumbo ma maswali lukuki lakini wanaume ndio wamekoma nayo kupa m challange mwanaume mwenzao [emoji2][emoji2]
 
Mambo ni mengi sana mkuu
 
tall, chaming, loving both friends and parents, employed or have something to do , nard working
 
Kumbe hujapata npm tuyajenge huwez jua ya Mungu mengi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…