Mildotty
JF-Expert Member
- Jun 29, 2016
- 278
- 198
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]kudate mtandaon tu ama[emoji1787]JAMANI MM NATAFUTA MTU WA KUDATE NAE
AWE NA SHEP NA SURA NZURI AJE KWA PM
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]kudate mtandaon tu ama[emoji1787]JAMANI MM NATAFUTA MTU WA KUDATE NAE
AWE NA SHEP NA SURA NZURI AJE KWA PM
Kuhusu miaka tunaweza tuka bargain mkuu. Una miaka mingapi ?miaka tu imeninyima mume jaman lol
Ushakuwa booked mkuu ?Nawewe unatafuta ? Vigezo vyako ni vipi nijue kama naqualify
Ushakuwa booked ado?Utapata tu,
Dah, bado mkuu, vipi waweza kuwa wewe eeh, ila since May last year hujapata tu? MmhUshakuwa booked mkuu ?
Bado mkuu. Nadhani waweza kuwa wewe. Vipi nije tuyajenge?Dah, bado mkuu, vipi waweza kuwa wewe eeh, ila since May last year hujapata tu? Mmh
Mmmh, ulishapata bwana sitaki kumpandisha cheo mkeo mimi[emoji3] [emoji3] aanze kuitwa bimkubwa kisa mimiBado mkuu. Nadhani waweza kuwa wewe. Vipi nije tuyajenge?
Mbona unakuwa na hofu kubwa sana mkuu.Mmmh, ulishapata bwana sitaki kumpandisha cheo mkeo mimi[emoji3] [emoji3] aanze kuitwa bimkubwa kisa mimi
Kwahiyo huku jf tupo tulotoka wapi? Huko kwa Bwana ndio wapi nasi twende?Mkuu ushauri wangu kwako usijiite wewe ni mkristo,sema wewe ni mtu mwenye jina la kikristo,usituaibishe .Mkristo anayejitambua anajua anapohitaji mke au mume afanye nini.Wewe utakuwa mkristo jina,usihofu muko wengi wakrito majina.Hukuwahi kusoma biblia yako kwamba "mke mwema anatoka kwa Bwana"?Hapa jf ndiyo kwa Bwana?
Watu wangu wanaangamizwa kwa kusoma maarifa.
When you say you are a christian ,mean it.
Hili jibu mbona linapingana na swali lako la awali?
Mambo ni mengi sana mkuuKwahiyo huku jf tupo tulotoka wapi? Huko kwa Bwana ndio wapi nasi twende?
Mwanaume kaweka uzi wake wanatokea wanaume wengine ndio wanawashwa na uzi wa mwanaume mwenzao.. JF imekuwa ya ajabu ajabu sana, duniani hii kila mtu ama aamuzi yake na matarajio yake. Wanaume wa miaka hii sijui tuna nini. Ndio maaana tabia za kishoga hazihishi.. Hii mada ningetarajia nione wadada wanapigana vikumbo ma maswali lukuki lakini wanaume ndio wamekoma nayo kupa m challange mwanaume mwenzao [emoji2][emoji2]Kama katika usomaji wako wote haukuweza kupata mke basi utakuja kumpata ukiwa unaelekea kuzeeka.
Mambo ni mengi sana mkuuMwanaume kaweka uzi wake wanatokea wanaume wengine ndio wanawashwa na uzi wa mwanaume mwenzao.. JF imekuwa ya ajabu ajabu sana, duniani hii kila mtu ama aamuzi yake na matarajio yake. Wanaume wa miaka hii sijui tuna nini. Ndio maaana tabia za kishoga hazihishi.. Hii mada ningetarajia nione wadada wanapigana vikumbo ma maswali lukuki lakini wanaume ndio wamekoma nayo kupa m challange mwanaume mwenzao [emoji2][emoji2]
Tujulishe Jinsia yako mkuutall, chaming, loving both friends and parents, employed or have something to do , nard working
Ndio mkùu. Una mdogo mwenye uhitaji ?Bado unatafuta?
Umeshaandaa matofali ya kujengea ?Kumbe hujapata npm tuyajenge huwez jua ya Mungu mengi