Chukua hatua mkuu[emoji23][emoji188]Kwa Mara ya kwanza sifa zinaniangukia
[emoji120]
Utadhani muoajiDada tulia anatafuta mwanaume sio comments za wadada ๐
mimi ni introvert I can't find loveโน๏ธNa wewe tangazo lako lini comrade
Aje aniibe hata MimiLabda aibe babe wa mtu humu ila single hivhivi ni uongo
Hatuna ๐ ๐Harusi tunayo hatuna ๐๐๐
Yu kanti faindi lavu akati yu clozid yua PM, hau kani yu for ezampo๐๐mimi ni introvert I can't find loveโน๏ธ
Nikipigwa na kitu kizito nitakuja kulia hapa hapaChukua hatua mkuu[emoji23][emoji188]
nna wasiwasi huyu atakuwa mwanaume kuna watu wakienda pm watagongwa vibaya sanaMwanaume nnayemuhitaji awe miaka 28 mpaka 35.
Awe na shughuli maalumu inayomuingizia kipato ili isiwe kazi tukiamua kutaka kufunga ndoa
Awe mkristo, RC itapendeza zaidi.
Mkoa wowote, akiwa dsm itapendeza zaidi.
Mrefu wa kawaida.
Asiwe na mtoto.
Awe serious na si mume wa mtu.
Kindly you are welcome.
PM.
Haya vijana,Mwanaume nnayemuhitaji awe miaka 28 mpaka 35.
Awe na shughuli maalumu inayomuingizia kipato ili isiwe kazi tukiamua kutaka kufunga ndoa
Awe mkristo, RC itapendeza zaidi.
Mkoa wowote, akiwa dsm itapendeza zaidi.
Mrefu wa kawaida.
Asiwe na mtoto.
Awe serious na si mume wa mtu.
Kindly you are welcome.
PM.
Hapo ni wanawake watatu tfauti ๐๐Sifa hizi unazo?
K manato
Tako kidogo
Miuno feni
Tuma na ya kutolea isiwe kipa umbele chako
iko wazi mbona๐ napata tabu sanaYu kanti faindi lavu akati yu clozid yua PM, hau kani yu for ezampo๐๐
Tafta hela utatongozwaiko wazi mbona๐ napata tabu sana
๐๐ kama hauna hivyo vigezo pita hiviHapo ni wanawake watatu tfauti ๐๐
nimesema love๐ sio ku-hook up hio kila mtu anafanyaTafta hela utatongozwa