glass amo
JF-Expert Member
- Aug 11, 2017
- 3,645
- 4,330
Chukua hatua mkuu[emoji23][emoji188]Kwa Mara ya kwanza sifa zinaniangukia
[emoji120]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Chukua hatua mkuu[emoji23][emoji188]Kwa Mara ya kwanza sifa zinaniangukia
[emoji120]
Utadhani muoajiDada tulia anatafuta mwanaume sio comments za wadada 😎
mimi ni introvert I can't find love☹️Na wewe tangazo lako lini comrade
Aje aniibe hata MimiLabda aibe babe wa mtu humu ila single hivhivi ni uongo
Hatuna 😅😅Harusi tunayo hatuna 😀😀😀
Yu kanti faindi lavu akati yu clozid yua PM, hau kani yu for ezampo😂😂mimi ni introvert I can't find love☹️
Nikipigwa na kitu kizito nitakuja kulia hapa hapaChukua hatua mkuu[emoji23][emoji188]
nna wasiwasi huyu atakuwa mwanaume kuna watu wakienda pm watagongwa vibaya sanaMwanaume nnayemuhitaji awe miaka 28 mpaka 35.
Awe na shughuli maalumu inayomuingizia kipato ili isiwe kazi tukiamua kutaka kufunga ndoa
Awe mkristo, RC itapendeza zaidi.
Mkoa wowote, akiwa dsm itapendeza zaidi.
Mrefu wa kawaida.
Asiwe na mtoto.
Awe serious na si mume wa mtu.
Kindly you are welcome.
PM.
Haya vijana,Mwanaume nnayemuhitaji awe miaka 28 mpaka 35.
Awe na shughuli maalumu inayomuingizia kipato ili isiwe kazi tukiamua kutaka kufunga ndoa
Awe mkristo, RC itapendeza zaidi.
Mkoa wowote, akiwa dsm itapendeza zaidi.
Mrefu wa kawaida.
Asiwe na mtoto.
Awe serious na si mume wa mtu.
Kindly you are welcome.
PM.
Hapo ni wanawake watatu tfauti 😁😁Sifa hizi unazo?
K manato
Tako kidogo
Miuno feni
Tuma na ya kutolea isiwe kipa umbele chako
iko wazi mbona😂 napata tabu sanaYu kanti faindi lavu akati yu clozid yua PM, hau kani yu for ezampo😂😂
Tafta hela utatongozwaiko wazi mbona😂 napata tabu sana
😃😀 kama hauna hivyo vigezo pita hiviHapo ni wanawake watatu tfauti 😁😁
nimesema love😂 sio ku-hook up hio kila mtu anafanyaTafta hela utatongozwa