GWAMAKA USWEGE
JF-Expert Member
- Feb 23, 2023
- 1,398
- 5,198
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa mkuu wewe unataka trulavu at 21s??nimesema love😂 sio ku-hook up hio kila mtu anafanya
Kweli kabisa kwa mfano mimi ni mstaafu mwenye nguvu za kuchakata kila kitu!Huku JF wengi wastaafu na waume za watu dada
Huko mtaani hamna?
Usitusemee bana 😅😅😅Huku JF wengi wastaafu na waume za watu dada
Huko mtaani hamna?
aah unavopenda kujifanya mdogo sasa😂😂😂😂 very boringniko 19😂 is it too early??
Wacha kumkatiaha mwenzio tamaa. Wanaume wapo au wee umekosa?Huku JF wengi wastaafu na waume za watu dada
Huko mtaani hamna?
Mimi mke wangu nani niambie?Huku JF wengi wastaafu na waume za watu dada
Huko mtaani hamna?
Asante sana hizo zote ni sifa zangu haya nawew weka sifa zako hapa kabla cjaja PMMwanaume nnayemuhitaji awe miaka 28 mpaka 35.
Awe na shughuli maalumu inayomuingizia kipato ili isiwe kazi tukiamua kutaka kufunga ndoa
Awe mkristo, RC itapendeza zaidi.
Mkoa wowote, akiwa dsm itapendeza zaidi.
Mrefu wa kawaida.
Asiwe na mtoto.
Awe serious na si mume wa mtu.
Kindly you are welcome.
PM.
Mambo PalinaYu kanti faindi lavu akati yu clozid yua PM, hau kani yu for ezampo😂😂
Kwa kweli wafupi tutafute tu hela,Dada zetu wanataka waonekane na kwa wenzao wana mabwana warefu.Hivi wafupi waliwakosea nini?
Mrefu sana hutaki😅
Hebu wahi pmHatuna 😅😅
Ni She-Male,moja kati ya sifa yake kuuAsante sana hizo zote ni sifa zangu haya nawew weka sifa zako hapa kabla cjaja PM
Mwalim wako wa inglishi alipata tabu sanaYu kanti faindi lavu akati yu clozid yua PM, hau kani yu for ezampo😂😂
Sawa kafanye assignmentnajua mkuu ni ngumu kuamini kwasababu ya muandiko wangu ila niko 19 sidanganyi 😂
Mwanaume nnayemuhitaji awe miaka 28 mpaka 35.
Awe na shughuli maalumu inayomuingizia kipato ili isiwe kazi tukiamua kutaka kufunga ndoa
Awe mkristo, RC itapendeza zaidi.
Mkoa wowote, akiwa dsm itapendeza zaidi.
Mrefu wa kawaida.
Asiwe na mtoto.
Awe serious na si mume wa mtu.
Kindly you are welcome.
PM.