Natafuta mpenzi kuja kuwa mume baadaye

Natafuta mpenzi kuja kuwa mume baadaye

Mwanaume nnayemuhitaji awe miaka 28 mpaka 35.
Awe na shughuli maalumu inayomuingizia kipato ili isiwe kazi tukiamua kutaka kufunga ndoa
Awe mkristo, RC itapendeza zaidi.
Mkoa wowote, akiwa dsm itapendeza zaidi.
Mrefu wa kawaida.
Asiwe na mtoto.
Awe serious na si mume wa mtu.

Kindly you are welcome.
PM.
Mpaka utakapompata giza litakuwa limeingia.
 
Mwanaume nnayemuhitaji awe miaka 28 mpaka 35.
Awe na shughuli maalumu inayomuingizia kipato ili isiwe kazi tukiamua kutaka kufunga ndoa
Awe mkristo, RC itapendeza zaidi.
Mkoa wowote, akiwa dsm itapendeza zaidi.
Mrefu wa kawaida.
Asiwe na mtoto.
Awe serious na si mume wa mtu.

Kindly you are welcome.
PM.
Una matatizo ya akili!

Hakuna mwanamme mwenye miaka kuanzia 28 kwenda juu asie na mtoto labda hana mbegu za kiume au hanithi!

Labda ungesema miaka 16 hadi 17 angalau lakini 28 HADI 35!!

Hayupo ukimpata kampime mbegu kama zipo SAWA SAWA!!
 
Nitumie picha Yako PM,Tuongee
IMG_20230524_174127.jpg
 
Back
Top Bottom