Natafuta mpenzi wa kike mtu mzima

Natafuta mpenzi wa kike mtu mzima

Acheni kumsakama! Mbona 55 ni kijana tu!
Kama anajiangalia na kujipenda, akipiga pamba zake haki ya nani hakosi demu!
Kudos mtu mzima utapata tu HAKI YA NANI WEWE BADO YANKI KABISAAAAA
💪💪💪
 
55....!!! what happened...anyway sometime kuoa sio lazima. kula ndiolazima. kama una uwezo wa kupata maziwa sio lazima kufuga ng'ombe
 
Back
Top Bottom