Natafuta Mpenzi wa kula naye raha siku ya valentine

Natafuta Mpenzi wa kula naye raha siku ya valentine

Ndeledja maneno yako kuntu hebu ingia PM unieleze zaidi hizo raha unazoweza kunipa.wallah naweza kukuchagua wewe
 
Kongosho hao mabazazi kuna maeneo ni wazuri sana kwa kutoa raha ya siku moja.me nahitaji raha haswaaaaaaaaaaaaaaaa kwa hiyo niko tayari kumpokea bazazi yeyote
 
Kwakweli nimechoka kuwa mpweke kila mara hasa wakati huu wa msimu wa siku ya wapendanao , hivyo basi nami nahitaji mtu wa kuniliwaza katika siku hii tulivu ili moyo wangu utulie na nijihisi kuwa mwanamke kamili. Binafsi nimejaliwa sifa nyingi tu mpaka zile za ziada walizokosa wengine kwahiyo hutojutia muda wako kwangu.hakuna vigezo vyovyote cha muhimu uwe na uwezo wa kunipa raha zote za dunia hii siku ya tarehe 14.Thibitisha tafadhali

Tahadhari; hapo bold sidhani kama kuna binadamu anayeweza kutoa hizo raha za dunia kwa siku 1 na ajihisi mwanamke kamili.....Tambua sasa hajihisi kama mwanamke kamili.....Bora mimi si miongoja, ngoja nimpigie my wife aanze kupanga ruti.
 
zama PM unaanza leo kujifunza kutongoza?

wewe mwanaume wa kweli hatongozi....nilishasema women of today are worth no more than pieces of paper. sasa i will be an idiot kupoteza muda na kuanza kutongoza
 
Kwakweli nimechoka kuwa mpweke kila mara hasa wakati huu wa msimu wa siku ya wapendanao , hivyo basi nami nahitaji mtu wa kuniliwaza katika siku hii tulivu ili moyo wangu utulie na nijihisi kuwa mwanamke kamili. Binafsi nimejaliwa sifa nyingi tu mpaka zile za ziada walizokosa wengine kwahiyo hutojutia muda wako kwangu.hakuna vigezo vyovyote cha muhimu uwe na uwezo wa kunipa raha zote za dunia hii siku ya tarehe 14.Thibitisha tafadhali

Aisee, this issue is very serious.
 
wewe mwanaume wa kweli hatongozi....nilishasema women of today are worth no more than pieces of paper. sasa i will be an idiot kupoteza muda na kuanza kutongoza

:becky::becky::becky::becky: kwa hiyo unafika bei tu kama unanunua changudoa
 
Kwakweli nimechoka kuwa mpweke kila mara hasa wakati huu wa msimu wa siku ya wapendanao , hivyo basi nami nahitaji mtu wa kuniliwaza katika siku hii tulivu ili moyo wangu utulie na nijihisi kuwa mwanamke kamili. Binafsi nimejaliwa sifa nyingi tu mpaka zile za ziada walizokosa wengine kwahiyo hutojutia muda wako kwangu.hakuna vigezo vyovyote cha muhimu uwe na uwezo wa kunipa raha zote za dunia hii siku ya tarehe 14.Thibitisha tafadhali

Nipm plz, kamwe hutajutia, nitakufikisha ulimwengu wa raha pekee!!!!
ila kule hakuna binadamu ni hisia za furaha tu ndizo zinazoishi huko,
hata hivyo nasikitika sana kuwa ndani ya lisaa nitakurudisha!!
Ila usining'ang'anie nina malengo yangu!!
Pole!!
 
:becky::becky::becky::becky: kwa hiyo unafika bei tu kama unanunua changudoa

exactly. every woman has a price; wengine chips yai unachapa wengine x6 ndio unachapa so yote kwa yote ni kwamba women are nothing more than piece of paper ...wewe gegeda tuu
 
exactly. every woman has a price; wengine chips yai unachapa wengine x6 ndio unachapa so yote kwa yote ni kwamba women are nothing more than piece of paper ...wewe gegeda tuu

umewashusha mno thamani mkuu
 
mtumeeee simama shetwani apite. Usinishawishi aisee. valentine is masturdating, unless festledi originale ananipa mualiko. mamangu aliniambia nikae mbali na wavulana!
Sasa mbona umeanza kwenda kinyume na makubaliano yetu?......we have a trip to Sun City kesho.....umesahau?
Im the King of gutter politics,usikimbie tu.....
 
Back
Top Bottom