mambo_safi
Senior Member
- Jul 22, 2019
- 176
- 440
- Thread starter
- #41
Huyu atakuwa za kazi nyingine ya ziada! HahahahAnatafuta kazi za ndani
View attachment 2815074
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu atakuwa za kazi nyingine ya ziada! HahahahAnatafuta kazi za ndani
View attachment 2815074
Unachosema ni sahihi kabisa! Jinsia ya kike inapokuwa haijapigwa tukio la kubebeshwa mimba na kuzaa inakuwaga na swaggar na madharau na kuwa na matumaini makubwa (high expectation) kuliko uhalisia. Akishazalishwa, ndo akili zinawakaa kichwani wakati huo soko la ajira nzuri limeishawatema! Kwakweli nisingependa binti mzazi!Kwa kipindi hiki ukipata binti asiye na mtoto shukuru Mungu maana 99.9% wana watoto tena ni chini ya miaka 18 sasa ukimpa ajira mawili aje aishi na mwanae kwako labda hiyo kidogo itakuwa salama yako au amuache kwao kila baada ya siku mbili ruhusa ya wiki, mtoto mgonjwa, mama anaumwa na ndiye anakaa na mwanae, baba wa mtoto "kaniita kasema tukayamalize'" na mwisho unamkuta kanuna ukimuuliza jibu "nimemmisi mwanangu" kwa uzoefu wangu nawaza kwa sauti
Si mnawadharau,fanya kazi mwenyewe kwani huna Watoto?Awe bado ni binti ambaye hana mambo mengi na ni Mkristo! Kama atakuwa kamaliza kidato cha nne itapendeza zaidi! Ndio nasema kidato cha nne kwasababu wengi unakuta wako nyumbani hawana issue mwisho wa siku wanaenda kuuza Baa au kudanga wapate hela ya kula.
Kazi kuu itakuwa kuuza dukani! Akiamka asubuhi saa 11 na kuweka nyumba katika hali ya usafi, anaenda kuuza dukani mpaka saa 3 usiku! Duka liko hapo nyumbani ila limejitenga na nyumba. Mshahara laki moja! Ukiwa interested njoo PM! Usidanganywe na avatar yangu mimi ni 'me'
Anaruhusiwa kwenda na kurudi?Dar! Maeneo ya mbezi!
SureNakuunga mkono 💯 kuajiri ndugu wakati mwingine ni maneno kuwa unamnyanyasa! Lakini mtaa ukimnyanyasa kwa kukosa hata hela ya pedi hawapigi kelele
Asante kwa kunijari! Hapana! Nahitaji wa kukaa!Anaruhusiwa kwenda na kurudi?
Nashukuru! Hata hivyo kwa muonekano huyu sijui kama ataweza changamoto za duka!Anatafuta kazi za ndani
View attachment 2815074
Hakuna jinsiUnachosema ni sahihi kabisa! Jinsia ya kike inapokuwa haijapigwa tukio la kubebeshwa mimba na kuzaa inakuwaga na swaggar na madharau na kuwa na matumaini makubwa (high expectation) kuliko uhalisia. Akishazalishwa, ndo akili zinawakaa kichwani wakati huo soko la ajira nzuri limeishawatema! Kwakweli nisingependa binti mzazi!
Mke huyo sasa bango kusomeke natakafuta mke kidato cha nne tusaidieni maishaKwa kuanza ni laki! Huduma zoote za utu kama afya, malazi, chakula ni juu yangu.
Usinisemehe uongo! Natafuta mfanyakaziMke huyo sasa bango kusomeke natakafuta mke kidato cha nne tusaidieni maisha
Unajichanganya. Aliyehitimu kidato cha nne ni mtoto?Awe bado ni binti ambaye hana mambo mengi na ni Mkristo! Kama atakuwa kamaliza kidato cha nne itapendeza zaidi! Ndio nasema kidato cha nne kwasababu wengi unakuta wako nyumbani hawana issue mwisho wa siku wanaenda kuuza Baa au kudanga wapate hela ya kula.
Kazi kuu itakuwa kuuza dukani! Akiamka asubuhi saa 11 na kuweka nyumba katika hali ya usafi, anaenda kuuza dukani mpaka saa 3 usiku! Duka liko hapo nyumbani ila limejitenga na nyumba. Mshahara laki moja! Ukiwa interested njoo PM! Usidanganywe na avatar yangu mimi ni 'me'