Natafuta msichana wa kazi za ndani! Jamani wanapatikana wapi?

Unachosema ni sahihi kabisa! Jinsia ya kike inapokuwa haijapigwa tukio la kubebeshwa mimba na kuzaa inakuwaga na swaggar na madharau na kuwa na matumaini makubwa (high expectation) kuliko uhalisia. Akishazalishwa, ndo akili zinawakaa kichwani wakati huo soko la ajira nzuri limeishawatema! Kwakweli nisingependa binti mzazi!
 
Si mnawadharau,fanya kazi mwenyewe kwani huna Watoto?
 
Hakuna jinsi
 
Unajichanganya. Aliyehitimu kidato cha nne ni mtoto?

Sent from my Infinix X688B using JamiiForums mobile app
 
Huyu mdada ulimpata au bado?? Kama bado njoo PM
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…