Natafuta mtaalam wa kunisaidia kupata ajira na kuniondolea gundu

Natafuta mtaalam wa kunisaidia kupata ajira na kuniondolea gundu

Mkuu pole sana na masahibu yote unayopitia. Sijui kama utaupenda ushauri wangu, ila acha nikuambie kitu.

Waganga utapoteza pesa, kuendelea kujiwekea nuksi. Nachokushauri kwa Imani yako, mrudie Mungu omba toba/msamaha kwa kuamini binadamu, ndiye anayeweza kukutatulia shida zako.

Baada ya hapo mwamini yeye, kama ameweza kukuumba hashindwi jambo dogo kama kukupatia kazi na kutoa hiyo mikosi unayohisi.

Hayo ni mapito na majaribu ya dunia, kila mtu anapitia kwa aina yake. Mwisho wa siku Imani yako itakuokoa.

*Kuna kitu nitakutumia pm ufanye, utaleta mrejesho.
Kama cha kujenga naomba unitumie na mimi mkuu kama hautajali
 
Nimesoma mpaka chuo kikuu.

Degree : Education
Masters: Public administration

Short courses
Risk Management
Community Engagement
SPSS
Samahani sikukatishi tamaa, lakini inakuaje mwalimu unakosa kazi, mimi binafsi ni mwanafunzi wa chuo lakini natafutwa sana na wanafunzi kuwafundisha masomo yao especially advance na sisomei ualimu, sasa wewe inakuaje unakosa kazi wakati wengine sio walimu na tunafuatwa na watu ili kuwafundisha? anyway popote ulipo huwezi kosa wanafunzi wenye changamoto kwenye masomo uliyosomea pita nyumba kwa nyumba onana na wazazi waelewe uwezo wako then wazazi wachache watatkukatisha tamaa lakini wachache watakuelewa na watakupa nafasi ya kuwatatulia matatizo watoto wao kwenye masomo husika ukipata hata watu watano ukawanyia vizuri basi hiyo chain utakayoletewa hutaamini na ndo utakuwa mwanzo wako wa kupiga hela.

Pia nadhani hujajikubali na kuamua kuanza upya, unategemea kuendelea ulipo ishia na masters yako kiukweli hiyo itakunyanyasa kama suala la ajira limekua gumu basi rahisisha kwa kufanya kile kilicho ndani ya uwezo wako kulingana na resources ulizo nazo(maarifa yako).
 
Samahani sikukatishi tamaa, lakini inakuaje mwalimu unakosa kazi, mimi binafsi ni mwanafunzi wa chuo lakini natafutwa sana na wanafunzi kuwafundisha masomo yao especially advance na sisomei ualimu, sasa wewe inakuaje unakosa kazi wakati wengine sio walimu na tunafuatwa na watu ili kuwafundisha? anyway popote ulipo huwezi kosa wanafunzi wenye changamoto kwenye masomo uliyosomea pita nyumba kwa nyumba onana na wazazi waelewe uwezo wako then wazazi wachache watatkukatisha tamaa lakini wachache watakuelewa na watakupa nafasi ya kuwatatulia matatizo watoto wao kwenye masomo husika ukipata hata watu watano ukawanyia vizuri basi hiyo chain utakayoletewa hutaamini na ndo utakuwa mwanzo wako wa kupiga hela.

Pia nadhani hujajikubali na kuamua kuanza upya, unategemea kuendelea ulipo ishia na masters yako kiukweli hiyo itakunyanyasa kama suala la ajira limekua gumu basi rahisisha kwa kufanya kile kilicho ndani ya uwezo wako kulingana na resources ulizo nazo(maarifa yako).
Hongera kwa kutafutwa mkuu. 👏

Nakuanzia sasa nitajikubali ushauri wako nimeuelewa.
 
Mkuu pole sana na masahibu yote unayopitia. Sijui kama utaupenda ushauri wangu, ila acha nikuambie kitu.

Waganga utapoteza pesa, kuendelea kujiwekea nuksi. Nachokushauri kwa Imani yako, mrudie Mungu omba toba/msamaha kwa kuamini binadamu, ndiye anayeweza kukutatulia shida zako.

Baada ya hapo mwamini yeye, kama ameweza kukuumba hashindwi jambo dogo kama kukupatia kazi na kutoa hiyo mikosi unayohisi.

Hayo ni mapito na majaribu ya dunia, kila mtu anapitia kwa aina yake. Mwisho wa siku Imani yako itakuokoa.

*Kuna kitu nitakutumia pm ufanye, utaleta mrejesho.
Nittumie na mimi
 
Samahani sikukatishi tamaa, lakini inakuaje mwalimu unakosa kazi, mimi binafsi ni mwanafunzi wa chuo lakini natafutwa sana na wanafunzi kuwafundisha masomo yao especially advance na sisomei ualimu, sasa wewe inakuaje unakosa kazi wakati wengine sio walimu na tunafuatwa na watu ili kuwafundisha? anyway popote ulipo huwezi kosa wanafunzi wenye changamoto kwenye masomo uliyosomea pita nyumba kwa nyumba onana na wazazi waelewe uwezo wako then wazazi wachache watatkukatisha tamaa lakini wachache watakuelewa na watakupa nafasi ya kuwatatulia matatizo watoto wao kwenye masomo husika ukipata hata watu watano ukawanyia vizuri basi hiyo chain utakayoletewa hutaamini na ndo utakuwa mwanzo wako wa kupiga hela.

Pia nadhani hujajikubali na kuamua kuanza upya, unategemea kuendelea ulipo ishia na masters yako kiukweli hiyo itakunyanyasa kama suala la ajira limekua gumu basi rahisisha kwa kufanya kile kilicho ndani ya uwezo wako kulingana na resources ulizo nazo(maarifa yako).
Watu wanaitaji kazi za kwenda wanaume tuna vipengele vingi asa tukifikisha 35+
 
Back
Top Bottom