Natafuta mtaalam wa kunisaidia kupata ajira na kuniondolea gundu

Natafuta mtaalam wa kunisaidia kupata ajira na kuniondolea gundu

Bila shaka wewe hutukanwi bali unaambiwa ukweli na wewe unaona ni matusi! Hakuna mganga wa kuweza kukusaidia kwenye hili. Wangekuwepo waganga wa aina hii mitaani kusingekuwa na jobles. Huyo ''mtaalam'' mwenyewe unayedhani yupo, chunguza vizuri, utakuta na yeye alikosa ajira akaamua kujiajiri kwa kuwa ''mtaalam''.
Haya mambo yapo mkuuu usiombe yakukute... mkuu.. niliomba ajira kwa miaka 5 bila mafanikio kuna wakati unapiga intavyuu unahisi umetoboa kabisa ila wapiii, lakini nilikuja kufanikiwa ndani ya mwezi mmoja tuuu... nilishaomb ajira mpaka nika kata tamaa nikaamua kufanya shughuli nyingine kitaa.

Ila nilienda kwa mganga kujitibu matatizo ya kiafya kufika huko nikaambiwa walisha nichezea mpaka kwenye masuala ya ajira siwezi kupata kazi.. huwezi amini baada ya kupata tiba mwezi mmoja mbele nikaitwa kazini.
 
Haya mambo yapo mkuuu usiombe yakukute... mkuu.. niliomba ajira kwa miaka 5 bila mafanikio kuna wakati unapiga intavyuu unahisi umetoboa kabisa ila wapiii, lakini nilikuja kufanikiwa ndani ya mwezi mmoja tuuu... nilishaomb ajira mpaka nika kata tamaa nikaamua kufanya shughuli nyingine kitaa.

Ila nilienda kwa mganga kujitibu matatizo ya kiafya kufika huko nikaambiwa walisha nichezea mpaka kwenye masuala ya ajira siwezi kupata kazi.. huwezi amini baada ya kupata tiba mwezi mmoja mbele nikaitwa kazini.
Hili siwezi kuamini hata siku moja. Hakuna uhusiano wa wewe kupata kazi na mganga. Uliamini hivyo lakini siyo yeye alisababisha upate kazi.
 
Unajua dunia iko tayari wakati wowote ule kuumpatia mtu kitu chochote kile anachotaka.

Dunia hii haijui mtu anayo kazi au hana kazi, ila sisi watu ndio tunaona mimi ninayo kazi au sina kazi. Sasa kama dunia hailioni hilo kwanini wewe watengeneza picha ya kuwa hauna kazi. Sasa kumbe wewe ndio gundu hilo unalolisemea.

dunia iko tayari kukupa hicho ulichokitamka au kukiwazia.

Kabla hujalala sema mimi nina kazi kubwa yenye mshahara mkubwa, ukiamka sema vivyo hivyo.

Kwakutamka hayo maneno unakuwa umekwisha tengeneza kazi katika ulimwengu usioonekana ambao ndio utakuja fanya manifestation kwenye ulimwengu ambao wewe unaishi.

Mtu akikupigia simu ukiulizwa vipi kazi mjibu nina kazi kubwa yenye mshahara mkubwa,
siweke any negativity unposema hayo maneno na wala usijione hauna kazi, wewe sahau kuhusu kazi tamka hayo maneno na uiachie dunia kazi yake yaku manifest hilo jambo.

Usije ukawa unasema hayo maneno alafu, unaulizwa vipi kazi unasema huna mara hupati mara unaweza hofu mara wasiwasi kwenye kupata kazi lazima utafeli.

Ask Believe Receive
 
Kama heading inavyojieleza bado naangaika kusaka ajira. Kuna siku niweka uzi nikaukimbia watu wana maneno makali sana unaweza jiona hufai tena.

Sijachanganyikiwa kama wengine wanavyoamini mimi nipo timamu kabisa.

Kuna wakati nilizunguka uko kwa wataalam sikufanikiwa sababu naona ilikuwa uwezo wao nikakata tamaa ila nimeamua nirudi tena sina options.

Najua kuna watu wamevuka stage ya utoto wanayaelewa vizuri maisha na watanielewa kinachonisumbua

Natafuta mtaalam wa jadi mzuri ataeweza nisaidia kupata kazi na kuniondolea gundu.

Maana kwa sasa kila nachojaribu kufanya kinaishia kuharibika naomba kazi miaka 3+ natoswa siku hizi sipati hata simu ya interview nna mwaka sasa.

Ningefurahi zaidi angekuwa Dar maana pia nauli ya kwenda mbali na DSM ni changamoto kwangu ila kama anakuwa mbali sio mbaya nitapambana nimfate.

Nasubiri msaada PM.

Mtaonitukana nimewasamehe in advance.
Boss wakati unaendelea kupambania kombe kivingine upande huo unaweza kunitumia pia kopi ya Cv yako niiongezee thamani ...wadau wakikutana nayo waisome kwa lazimaa
Nicheki hapa cvdeveloper2004@gmail.com
Or 0744878761
 
Haiwezekan umemaliza zako TEKU then unaomba kazi ukawe lecturer UDSM.
 
Haiwezekan umemaliza zako TEKU then unaomba kazi ukawe lecturer UDSM.
UDSM effect, hawa watu wakianzaga kuongea hupoteza maana halisi ya usomi na elimu kisa mapenzi ya chuo flan. Do your homework kabla hujaandika neno "haiwezekani", hususani ukiwa nje ya taaluma husika. Better ask than condemn.
 
Kama heading inavyojieleza bado naangaika kusaka ajira. Kuna siku niweka uzi nikaukimbia watu wana maneno makali sana unaweza jiona hufai tena.

Sijachanganyikiwa kama wengine wanavyoamini mimi nipo timamu kabisa.

Kuna wakati nilizunguka uko kwa wataalam sikufanikiwa sababu naona ilikuwa uwezo wao nikakata tamaa ila nimeamua nirudi tena sina options.

Najua kuna watu wamevuka stage ya utoto wanayaelewa vizuri maisha na watanielewa kinachonisumbua

Natafuta mtaalam wa jadi mzuri ataeweza nisaidia kupata kazi na kuniondolea gundu.

Maana kwa sasa kila nachojaribu kufanya kinaishia kuharibika naomba kazi miaka 3+ natoswa siku hizi sipati hata simu ya interview nna mwaka sasa.

Ningefurahi zaidi angekuwa Dar maana pia nauli ya kwenda mbali na DSM ni changamoto kwangu ila kama anakuwa mbali sio mbaya nitapambana nimfate.

Nasubiri msaada PM.

Mtaonitukana nimewasamehe in advance.


Mkuu mimi elimu yangu darasa la saba natafuta mtaalamu anisaidie nataka nifanye KAZI BOT kama utampata tafadhali usisite kunijulisha🙏
 
Kama heading inavyojieleza bado naangaika kusaka ajira. Kuna siku niweka uzi nikaukimbia watu wana maneno makali sana unaweza jiona hufai tena.

Sijachanganyikiwa kama wengine wanavyoamini mimi nipo timamu kabisa.

Kuna wakati nilizunguka uko kwa wataalam sikufanikiwa sababu naona ilikuwa uwezo wao nikakata tamaa ila nimeamua nirudi tena sina options.

Najua kuna watu wamevuka stage ya utoto wanayaelewa vizuri maisha na watanielewa kinachonisumbua

Natafuta mtaalam wa jadi mzuri ataeweza nisaidia kupata kazi na kuniondolea gundu.

Maana kwa sasa kila nachojaribu kufanya kinaishia kuharibika naomba kazi miaka 3+ natoswa siku hizi sipati hata simu ya interview nna mwaka sasa.

Ningefurahi zaidi angekuwa Dar maana pia nauli ya kwenda mbali na DSM ni changamoto kwangu ila kama anakuwa mbali sio mbaya nitapambana nimfate.

Nasubiri msaada PM.

Mtaonitukana nimewasamehe in advance.
Mtaonitukana nimewasamehe in advance.[emoji419][emoji375]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom