Natafuta mtu anayeweza kuwekeza kwa mtaji wa milioni 50 na kupata faida ya hadi milioni 70

Mateli kama nyinyi nawaambiaga muende benk mkakope maana mabenki wana tafuta kukopesha biashara zinazilipa kama hizo
 
Hahhaaa utanikuta..naukumbuka ule mpango mkakati wa kuzuru kaburiπŸ˜€πŸ˜€
Yaan Jf wakigoma mie nitafanya mpango na wadau wachache hata Mia hvi kwa niaba ya JF tukazuru na kutembelea hiyo bustani ya wanyama pori chato maana siku hizi wanaiita hivyo lakini t- shart zote lazima ziwe na chata ya Jf na bendera Fulani hivi wewe utakuja kutupokelea tinde
 
Hahhaaa utanikuta..naukumbuka ule mpango mkakati wa kuzuru kaburiπŸ˜€πŸ˜€
Wangari mtoto wa kisukuma mzima?
Muanzisha mada ametiririka ukweli.
Tatizo watz kila kitu tunawaza kupigwa.
Mimi kuna dogo alikataa fursa ya bure ya kuwa right hand man wa mzoefu wa madini ili apate kujifunza. Sasa hivi analialia. Angechota uzoefu. Maana huyo mwamba nguli hasa mnyamwezi wa Unyanyembe. Siku hizi yupo zake Uswisi.
 
Inaonekana unaielewa sana hii busness
 
Nipo mzee baba...aliogopa nn sasa? Kama hujawah kusikia figures kubwa kubwa lazima huku ushangae..hahaa! Majitu yanakula kimya kjmya kule aise tena ss hv list wa matajiri itashoot...maana jemadari amekwenda...ss hv zitasafirishwa balaa
 
πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€ mm nimo kwa hiyo list...mie ntawapokea mkuu hata hapo tinde si mbaya!
 
to be honest wew ni mmoja wa wanawake 10 ndani ya jf ambao i wish nikutane nao japo dakika 10 tu maishani mwangu
 
Maelezo ya mkuu hapo juu yameelezea mradi timilifu bila kuorodhesha changamoto zinazoweza kutokea kwenye huo mradi, maana kama ni kweli hiyo kitu inafaida hivyo naamini kundi kubwa la wawekezaji lingeshajazana huko kama kawaida yetu ya kuigana kwenye maswala ya ujasiliamali.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…