Mpigania uhuru wa pili
JF-Expert Member
- Apr 12, 2023
- 3,380
- 6,376
Kama kisemavyo-kichwa cha habari hapo juu
Majukumu yake ni kama yafuatayo
Bachelor degree na kuendelea ya course yeyote ile
NOTE: uwe unaishi Dar es Salaam na uwe huna kazi na uwe tayari kuomba kwa mda mrefu sana.
Usije dm tafadhali kwa aliyekua tayari anione kwenye email ifuatayo
bibletossup@gmail
Majukumu yake ni kama yafuatayo
- Kuomba kwa mda mrefu na kwa mzigo kwa ajili ya kutatua changamoto za watu wengine
- Kushauri beneficiary (wahitaji/wanaoombewa) kwenye changamoto zao wanazokutana nazo
- Kushirikiana na beneficiary (wahitaji/wanaoombewa) katika miradi yao
- Kufanya research juu ya jumbe tunazopata kwenye kuombea watu
Bachelor degree na kuendelea ya course yeyote ile
NOTE: uwe unaishi Dar es Salaam na uwe huna kazi na uwe tayari kuomba kwa mda mrefu sana.
Usije dm tafadhali kwa aliyekua tayari anione kwenye email ifuatayo
bibletossup@gmail