Natafuta mtu atakayeshirikiana na mimi kwenye kazi ya maombi ya kuombea watu

Natafuta mtu atakayeshirikiana na mimi kwenye kazi ya maombi ya kuombea watu

Hakuna sadaka na sio kanisa
Hata Yesu alikua na wanafunzi 12
Hujui kuwa Yesu alikuwaga na mtunza hazina miongoni mwa hao kumi na wawili?

Weka wazi umepewa na nani hilo wazo la kuanzisha team kama hiyo.

Maana haupo wazi kama ni mhemko wa Kuhubiri ama na uvuvio kutoka kwa ROHO MTAKATIFU.

Funguka mpendwa
 
Kama kisemavyo-kichwa cha habari hapo juu
Majukumu yake ni kama yafuatayo
  • Kuomba kwa mda mrefu na kwa mzigo kwa ajili ya kutatua changamoto za watu wengine
  • Kushauri beneficiary (wahitaji/wanaoombewa) kwenye changamoto zao wanazokutana nazo
  • Kushirikiana na beneficiary (wahitaji/wanaoombewa) katika miradi yao
  • Kufanya research juu ya jumbe tunazopata kwenye kuombea watu
ELIMU
Bachelor degree na kuendelea ya course yeyote ile

NOTE: uwe unaishi Dar es Salaam na uwe huna kazi na uwe tayari kuomba kwa mda mrefu sana.
Usije dm tafadhali kwa aliyekua tayari anione kwenye email ifuatayo
bibletossup@gmail
Yesu aliokota mpaka wavuvi akawafanya vichwa vya kanisa.

Wewe unatafuta wasomi ili ukamikishe divine tasks.

Mungu wako kiboko kweli kweli
 
Kama kisemavyo-kichwa cha habari hapo juu
Majukumu yake ni kama yafuatayo
  • Kuomba kwa mda mrefu na kwa mzigo kwa ajili ya kutatua changamoto za watu wengine
  • Kushauri beneficiary (wahitaji/wanaoombewa) kwenye changamoto zao wanazokutana nazo
  • Kushirikiana na beneficiary (wahitaji/wanaoombewa) katika miradi yao
  • Kufanya research juu ya jumbe tunazopata kwenye kuombea watu
ELIMU
Bachelor degree na kuendelea ya course yeyote ile

NOTE: uwe unaishi Dar es Salaam na uwe huna kazi na uwe tayari kuomba kwa mda mrefu sana.
Usije dm tafadhali kwa aliyekua tayari anione kwenye email ifuatayo
bibletossup@gmail
Jipendekezeni kwa freemason huyo😂😂😂 mkaliwe damu zenu
 
Mkuu, maombi hayo hayafanyi kazi.

Mambo ya Yesu ni illusion tu.

Hupaswi kupoteza muda wako katika mambo hayo.

Ni kheri ukafanye kazi kwa bidii tu ukawasaidua kifedha watu unaotaka kuwasaidia.

Ila nakupongeza kwasababu uko katika nafasi ya juu katika viwango vya utu na ubinadamu.
Zingatia maokoto mkuu akiombewa mtu anatoa sadaka
 
Mkuu, maombi hayo hayafanyi kazi.

Mambo ya Yesu ni illusion tu.

Hupaswi kupoteza muda wako katika mambo hayo.

Ni kheri ukafanye kazi kwa bidii tu ukawasaidua kifedha watu unaotaka kuwasaidia.

Ila nakupongeza kwasababu uko katika nafasi ya juu katika viwango vya utu na ubinadamu.
Wewe Yesu humjui bali unamsikia tu. Ndio maana kirahisi tu umeandika kwamba mambo ya Yesu ni Illusion tu. Hata hivyo mleta mada ana Mizaha ya level ya PhD. Kondoo machinjioni
 
Hujui kuwa Yesu alikuwaga na mtunza hazina miongoni mwa hao kumi na wawili?

Weka wazi umepewa na nani hilo wazo la kuanzisha team kama hiyo.

Maana haupo wazi kama ni mhemko wa Kuhubiri ama na uvuvio kutoka kwa ROHO MTAKATIFU.

Funguka mpendwa
Huyu ni Kivuruge wa kiimani kama vivuruge wengine. Hawa ndio wanaofanya Ukristo utukanwe!
 
Kama kisemavyo-kichwa cha habari hapo juu
Majukumu yake ni kama yafuatayo
  • Kuomba kwa mda mrefu na kwa mzigo kwa ajili ya kutatua changamoto za watu wengine
  • Kushauri beneficiary (wahitaji/wanaoombewa) kwenye changamoto zao wanazokutana nazo
  • Kushirikiana na beneficiary (wahitaji/wanaoombewa) katika miradi yao
  • Kufanya research juu ya jumbe tunazopata kwenye kuombea watu
ELIMU
Bachelor degree na kuendelea ya course yeyote ile

NOTE: uwe unaishi Dar es Salaam na uwe huna kazi na uwe tayari kuomba kwa mda mrefu sana.
Usije dm tafadhali kwa aliyekua tayari anione kwenye email ifuatayo
bibletossup@gmail
Dunia inahitaji sayansi, AI na kufanya kazi sio maombi, ukinuonyesha sehemu Bskheresa alikaa akaomba na kupiga Dua akaweza kuitengeneza Azam, kununua boti za mabilioni, au nionyeshe Dr Mengi alipokaa akaomba akaweza kuitengeneza IPP media ikatoa ajira kibao,au maombi gani Diamond na majizo walifanya wakaweza kutengeneza wasafi na EFM,
Watu hawana changamoto za kiroho! Kikubwa kwao ni kipato, fedha! Na fedha haziji kwa maombi! Kama zingekuwa zinakuja kwa maombi, kwa nini hapo kanisani, wachungqji wasipige Dua tu bila waumin vikapu vijae midola!!
Sasa hv kuhubili imekuwa ajira kwa kila kijana "mvaa suti"
 
Back
Top Bottom