Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
2Unataka wangapi
Kuna scientific research za kuandikaSA degree inahusikaje mfano sijaelewa??
Huku kuna-matumizi makubwa ya akili kuliko hata hio miujizaKumbe wale wa,"Apostle kuna muujiza huku". huwa ni ajira?
Wenye degree huwa ni wapigaji wa sadaka wasio na hofu ya Mungu.ELIMU
Bachelor degree na kuendelea ya course yeyote ile
Hakuna sadaka na sio kanisaWenye degree huwa ni wapigaji wa sadaka wasio na hofu ya Mungu.
Huo mwaliko wako sio uvuvio wa Roho Mtakatifu.
Hujui kuwa Yesu alikuwaga na mtunza hazina miongoni mwa hao kumi na wawili?Hakuna sadaka na sio kanisa
Hata Yesu alikua na wanafunzi 12
Yesu aliokota mpaka wavuvi akawafanya vichwa vya kanisa.Kama kisemavyo-kichwa cha habari hapo juu
Majukumu yake ni kama yafuatayo
ELIMU
- Kuomba kwa mda mrefu na kwa mzigo kwa ajili ya kutatua changamoto za watu wengine
- Kushauri beneficiary (wahitaji/wanaoombewa) kwenye changamoto zao wanazokutana nazo
- Kushirikiana na beneficiary (wahitaji/wanaoombewa) katika miradi yao
- Kufanya research juu ya jumbe tunazopata kwenye kuombea watu
Bachelor degree na kuendelea ya course yeyote ile
NOTE: uwe unaishi Dar es Salaam na uwe huna kazi na uwe tayari kuomba kwa mda mrefu sana.
Usije dm tafadhali kwa aliyekua tayari anione kwenye email ifuatayo
bibletossup@gmail
Wale wanafunzi wa Yesu walikuwaga na degree hivi[emoji848]?Kuna scientific research za kuandika
Sasa huo utaalamu atafanyaje kwa kuwa na bachelor 'yoyote'? Mtu ana bachelor ya civil engineering in railways construction inahusiana nini na maombi?Hio kazi sio kuomba tu na kuna kazi za kitaalamu za kufanya kwa muombaji
Jipendekezeni kwa freemason huyo😂😂😂 mkaliwe damu zenuKama kisemavyo-kichwa cha habari hapo juu
Majukumu yake ni kama yafuatayo
ELIMU
- Kuomba kwa mda mrefu na kwa mzigo kwa ajili ya kutatua changamoto za watu wengine
- Kushauri beneficiary (wahitaji/wanaoombewa) kwenye changamoto zao wanazokutana nazo
- Kushirikiana na beneficiary (wahitaji/wanaoombewa) katika miradi yao
- Kufanya research juu ya jumbe tunazopata kwenye kuombea watu
Bachelor degree na kuendelea ya course yeyote ile
NOTE: uwe unaishi Dar es Salaam na uwe huna kazi na uwe tayari kuomba kwa mda mrefu sana.
Usije dm tafadhali kwa aliyekua tayari anione kwenye email ifuatayo
bibletossup@gmail
Zingatia maokoto mkuu akiombewa mtu anatoa sadakaMkuu, maombi hayo hayafanyi kazi.
Mambo ya Yesu ni illusion tu.
Hupaswi kupoteza muda wako katika mambo hayo.
Ni kheri ukafanye kazi kwa bidii tu ukawasaidua kifedha watu unaotaka kuwasaidia.
Ila nakupongeza kwasababu uko katika nafasi ya juu katika viwango vya utu na ubinadamu.
Duh!Kuna scientific research za kuandika
Maisha ya kipindi kile ni sawa na sahiviWale wanafunzi wa Yesu walikuwaga na degree hivi[emoji848]?
Kila kazi ina-mashartiYesu aliokota mpaka wavuvi akawafanya vichwa vya kanisa.
Wewe unatafuta wasomi ili ukamikishe divine tasks.
Mungu wako kiboko kweli kweli
Wewe Yesu humjui bali unamsikia tu. Ndio maana kirahisi tu umeandika kwamba mambo ya Yesu ni Illusion tu. Hata hivyo mleta mada ana Mizaha ya level ya PhD. Kondoo machinjioniMkuu, maombi hayo hayafanyi kazi.
Mambo ya Yesu ni illusion tu.
Hupaswi kupoteza muda wako katika mambo hayo.
Ni kheri ukafanye kazi kwa bidii tu ukawasaidua kifedha watu unaotaka kuwasaidia.
Ila nakupongeza kwasababu uko katika nafasi ya juu katika viwango vya utu na ubinadamu.
Huyu ni Kivuruge wa kiimani kama vivuruge wengine. Hawa ndio wanaofanya Ukristo utukanwe!Hujui kuwa Yesu alikuwaga na mtunza hazina miongoni mwa hao kumi na wawili?
Weka wazi umepewa na nani hilo wazo la kuanzisha team kama hiyo.
Maana haupo wazi kama ni mhemko wa Kuhubiri ama na uvuvio kutoka kwa ROHO MTAKATIFU.
Funguka mpendwa
Dunia inahitaji sayansi, AI na kufanya kazi sio maombi, ukinuonyesha sehemu Bskheresa alikaa akaomba na kupiga Dua akaweza kuitengeneza Azam, kununua boti za mabilioni, au nionyeshe Dr Mengi alipokaa akaomba akaweza kuitengeneza IPP media ikatoa ajira kibao,au maombi gani Diamond na majizo walifanya wakaweza kutengeneza wasafi na EFM,Kama kisemavyo-kichwa cha habari hapo juu
Majukumu yake ni kama yafuatayo
ELIMU
- Kuomba kwa mda mrefu na kwa mzigo kwa ajili ya kutatua changamoto za watu wengine
- Kushauri beneficiary (wahitaji/wanaoombewa) kwenye changamoto zao wanazokutana nazo
- Kushirikiana na beneficiary (wahitaji/wanaoombewa) katika miradi yao
- Kufanya research juu ya jumbe tunazopata kwenye kuombea watu
Bachelor degree na kuendelea ya course yeyote ile
NOTE: uwe unaishi Dar es Salaam na uwe huna kazi na uwe tayari kuomba kwa mda mrefu sana.
Usije dm tafadhali kwa aliyekua tayari anione kwenye email ifuatayo
bibletossup@gmail