Colonel McCoy
JF-Expert Member
- Aug 15, 2023
- 305
- 584
Fanya kazi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lakini hakuchagua Elimu zao....Hakuna sadaka na sio kanisa
Hata Yesu alikua na wanafunzi 12
Kusali siyo kazi bali ni wito.Kila kazi ina-masharti
Aliyeweka post ana lake lengo maana tayari ameshaonesha kuwa mungu wake anabaguaMUNGU anachagua kusikiliza maombi ya mwenye Elimu na asiye na Elimu? Sijaona mantiki ya kigezo Cha elimu
Maombi yana nguvu,hata corona ilikimbizwa na maombiMkuu, maombi hayo hayafanyi kazi.
Mambo ya Yesu ni illusion tu.
Hupaswi kupoteza muda wako katika mambo hayo.
Ni kheri ukafanye kazi kwa bidii tu ukawasaidua kifedha watu unaotaka kuwasaidia.
Ila nakupongeza kwasababu uko katika nafasi ya juu katika viwango vya utu na ubinadamu.
Kwa namna alivyoanza nina uhakika wanaoombewa wanaenda kupigwa hela kwa jina la sadaka.Maombi yana nguvu,hata corona ilikimbizwa na maombi
Ni mpumbavu wa masuala ya Imani ndo anayeweza kuweka masharti kwa wanaopaswa kumsogelea MunguMaombi na kiwango Cha Elimu inakaaje hii
Yupo nje na wito mkuu wa Yesu.Huyu ni Kivuruge wa kiimani kama vivuruge wengine. Hawa ndio wanaofanya Ukristo utukanwe!
Onyesha hio mizaha kwenye uziWewe Yesu humjui bali unamsikia tu. Ndio maana kirahisi tu umeandika kwamba mambo ya Yesu ni Illusion tu. Hata hivyo mleta mada ana Mizaha ya level ya PhD. Kondoo machinjioni
Onyesha kosa la kudhalilisha ukristo kwenye uzi wanguHuyu ni Kivuruge wa kiimani kama vivuruge wengine. Hawa ndio wanaofanya Ukristo utukanwe!
Onyesha kosa la uzi kiimaniYupo nje na wito mkuu wa Yesu.
Itakuwa katumwa na mharibifu.
Kitendo cha kutangaza tu kwa namna ulivyotangaza na kwa namna ulivyoweka na hivyo vigezo vya "Kuomba kwa muda mrefu" n.k ni Mzaha tosha. Unajiweka kwenye nafasi ya kucontrol Huduma za Roho kimwili.Onyesha hio mizaha kwenye uzi
Kuomba mda mrefu ni mzaha hiki ni kituko cha mwakaKitendo cha kutangaza tu kwa namna ulivyotangaza na kwa namna ulivyoweka na hivyo vigezo vya "Kuomba kwa muda mrefu" n.k ni Mzaha tosha. Unajiweka kwenye nafasi ya kucontrol Huduma za Roho kimwili.
Niishie hapo
Hayo ni maonesho kuhadaa watu waone hapa kweli kuna "waombaji". Sikio la Mungu sio zito!Kuomba mda mrefu ni mzaha hiki ni kituko cha mwaka
Kwa kawaida kabisa Mungu hutumia mtu yeyote amtakae katika kufikisha ujumbe wake.Onyesha kosa la uzi kiimani