Natafuta mtu atakayeshirikiana na mimi kwenye kazi ya maombi ya kuombea watu

Natafuta mtu atakayeshirikiana na mimi kwenye kazi ya maombi ya kuombea watu

Kwa kawaida kabisa Mungu hutumia mtu yeyote amtakae katika kufikisha ujumbe wake.

Uzi una sharti la "mwenye degree" Kwa maana ya kwamba hilo sharti ni la mwenye "maono".

Labda kungekuwa na ufafanuzi kamili ungeeleweka hata kama ungesema unakusanya team ya kukosoa wahubiri wasio na degree yeyote ungeeleweka tu.
Ulishasoma habari ya gideon alipokua anachagua watu wa kwenda kupigana vita angalia mchujo alioufanya ni Mungu huyu huyu ndo aliyemwambia watu ni weni awapunguze
 
Ulishasoma habari ya gideon alipokua anachagua watu wa kwenda kupigana vita angalia mchujo alioufanya ni Mungu huyu huyu ndo aliyemwambia watu ni weni awapunguze
Gideon alikuwa na jeshi la kutumia upanga, vivyo hivyo na adui zao walitumia upanga.

Huo mfano wa Gideon hauendani na matukio ya New Testament, hapa hatupigani kwa upanga ili kumshinda adui, bali tunapigana kwa kutumia silaha za kiroho.

Sijaelewa umeingiaje kwa Gideon mtu wa silaha za kimwili wakati hoja ni kupeleka injili kwa wote ambapo silaha za mwili hazitumiki.
 
Daah.....
Bonge la dili hili
Ukipiga kitu cha arusha naomba mpaka nazima
Malipo yangu ya siku boss
50,000/=
Degree nnayo
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Dunia simama nishuke, nataka kuchimba dawa.
 
Kama kisemavyo-kichwa cha habari hapo juu
Majukumu yake ni kama yafuatayo
  • Kuomba kwa mda mrefu na kwa mzigo kwa ajili ya kutatua changamoto za watu wengine
  • Kushauri beneficiary (wahitaji/wanaoombewa) kwenye changamoto zao wanazokutana nazo
  • Kushirikiana na beneficiary (wahitaji/wanaoombewa) katika miradi yao
  • Kufanya research juu ya jumbe tunazopata kwenye kuombea watu
ELIMU
Bachelor degree na kuendelea ya course yeyote ile

NOTE: uwe unaishi Dar es Salaam na uwe huna kazi na uwe tayari kuomba kwa mda mrefu sana.
Usije dm tafadhali kwa aliyekua tayari anione kwenye email ifuatayo
bibletossup@gmail
Eeee Mungu mwaka haujaisha huu nione mwanao nibadilike hizi nafasi ilibidi nizipate mimi ili niwakomboe wengine kama huyu chaneee
 
Kuomba mda mrefu ni mzaha hiki ni kituko cha mwaka
Kusema natafuta watu wa kuomba mda mrefu ni kosa aiseee 😂😂😂😂😂
Kweli shetani yuko kazini
Mashetani na waabudu mashetani humu yapo mengi tu wala wasikurudishe nyuma wala kukuvunja moyo. Mungu bado amejisazia watu maelfu wenye shauku ya kumtafuta katika roho na kweli.
 
Kama kisemavyo-kichwa cha habari hapo juu
Majukumu yake ni kama yafuatayo
  • Kuomba kwa mda mrefu na kwa mzigo kwa ajili ya kutatua changamoto za watu wengine
  • Kushauri beneficiary (wahitaji/wanaoombewa) kwenye changamoto zao wanazokutana nazo
  • Kushirikiana na beneficiary (wahitaji/wanaoombewa) katika miradi yao
  • Kufanya research juu ya jumbe tunazopata kwenye kuombea watu
ELIMU
Bachelor degree na kuendelea ya course yeyote ile

NOTE: uwe unaishi Dar es Salaam na uwe huna kazi na uwe tayari kuomba kwa mda mrefu sana.
Usije dm tafadhali kwa aliyekua tayari anione kwenye email ifuatayo
bibletossup@gmail
Kwingine sijaona shida
Ila kwenye degree,mmh!
Ya nn Sasa mtumishi hiyo?
Samahani lkn!
Ila, ushauri,
we unajua sio Kila mahali Kwa Kila mtu,lazm nawe uombe ,umuulize Mungu amekupa nani wa kwenda nao na huduma yako!
muhimu sana ,Yesu aliomba masaa 12 kupata mitume 12 ,na yuda msaliti alikuwemo!
kuwa makini Kuna wengine wataletwa Ili kuua maono yako!
Joannah
 
Kuombea watu ndo kumtania Mungu
I think hivyo vigezo ndo tatizo!
Hasa Cha elimu!
Mungu akiamua kumtumia mtu humtumia yyt bila kujali stts yake!
Japokuwa elimu ni nzuri kwenye huduma, km za mambo ya cancelling, physiology...pia huduma km za kichungaji Kwa ss wanataka hiko kigezo Cha elimu lkn ya theology....
Kwa sbb sio Kila kitu kinahitaji maombi wakati mwingine ,ushauri tu nk,mtu anakuwa sawa
Joannah
 
Back
Top Bottom