Tayana-wog
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 24,844
- 29,126
Haya nimesoma Uzi na nimejibu ss!Nikaangalia anayeweza kubeba mzigo wa maombi nikaona una qualify mama mtumishi 😅
Mmh!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haya nimesoma Uzi na nimejibu ss!Nikaangalia anayeweza kubeba mzigo wa maombi nikaona una qualify mama mtumishi 😅
Yes yesMkuu, kwa nini umeweka kiwango cha elimu ilhali maombi hayahitaji hivyo vitu? Msingi wq swali ni kuwa waombaji wapo ila wengine hawana hiyo elimu iliyowekwa
Sijajua Kwa Nini elimu imehusisishwa badala ya neema🤦Yes yes
Na kuomba it's not a professional thing.
Ni Neema ya Mungu tu
NimemuulizaSijajua Kwa Nini elimu imehusisishwa badala ya neema🤦
YesUlishasoma habari ya gideon alipokua anachagua watu wa kwenda kupigana vita angalia mchujo alioufanya ni Mungu huyu huyu ndo aliyemwambia watu ni weni awapunguze
Ni kweli nduguMashetani na waabudu mashetani humu yapo mengi tu wala wasikurudishe nyuma wala kukuvunja moyo. Mungu bado amejisazia watu maelfu wenye shauku ya kumtafuta katika roho na kweli.
Jmn ,naomba urudi , uendelee kukiwasha, mavuno ni mengi watenda kazi ni wachache....usitupilie mbali wokovu banaMimi ningeku join mkuu tena bila malipo ni vile tu siku hiz maisha yalishanivuruga nikatupilia mbali wokovu ila nilikua nakiwasha sana enzi zangu neema ya mungu ilikua sana upande wangu
Mazuri sanaKwann mkuu? Hutaki maombi ya mida mrefu au?
Humu Kuna Kila aina ya watu usishangae snNdo nashangaa yaani kuomba imekua ni jambo la ajabu
Wewe dogo kama nimekujua hivi.Kama kisemavyo-kichwa cha habari hapo juu
Majukumu yake ni kama yafuatayo
ELIMU
- Kuomba kwa mda mrefu na kwa mzigo kwa ajili ya kutatua changamoto za watu wengine
- Kushauri beneficiary (wahitaji/wanaoombewa) kwenye changamoto zao wanazokutana nazo
- Kushirikiana na beneficiary (wahitaji/wanaoombewa) katika miradi yao
- Kufanya research juu ya jumbe tunazopata kwenye kuombea watu
Bachelor degree na kuendelea ya course yeyote ile
NOTE: uwe unaishi Dar es Salaam na uwe huna kazi na uwe tayari kuomba kwa mda mrefu sana.
Usije dm tafadhali kwa aliyekua tayari anione kwenye email ifuatayo
bibletossup@gmail
Ss hapa masharti yanatakiwa kwanza utii wa neno la Mungu na sauti yake Ili kupewa mikakati ya kutekeleza kazi, sio vigezo km vya elim ndugu!Kila kazi ina-masharti
Kazi isiyokua na masharti hiyo siyo kazi
Acha tu mkuu. Maisha haya yanatubadili pasipo kupendaJmn ,naomba urudi , uendelee kukiwasha, mavuno ni mengi watenda kazi ni wachache....usitupilie mbali wokovu bana
Sawa,pamoja na yote usiache wokovuAcha tu mkuu. Maisha haya yanatubadili pasipo kupenda
Na wewe udhuria siku moja ndo utajua Ni ajira au ukweli?Kumbe wale wa,"Apostle kuna muujiza huku". huwa ni ajira?
[emoji16][emoji16], baada angesema waliosomea teorojia Jordan au sauti, ye yoyote, mimecheka kwa sauti.Sasa huo utaalamu atafanyaje kwa kuwa na bachelor 'yoyote'? Mtu ana bachelor ya civil engineering in railways construction inahusiana nini na maombi?
Sasa hivi ume kuwa bandidu ewe mrusi wa mchongo 🤣🤣 Ivan StepanovMimi ningeku join mkuu tena bila malipo ni vile tu siku hiz maisha yalishanivuruga nikatupilia mbali wokovu ila nilikua nakiwasha sana enzi zangu neema ya mungu ilikua sana upande wangu
Acha tu aisee..maisha haya bwana yana mambo mengi sana😅Sasa hivi ume kuwa bandidu ewe mrusi wa mchongo 🤣🤣 Ivan Stepanov
Mi naamini utarudi tu sbb ndani yako Iko mbegu tayari mkuu!Acha tu aisee..maisha haya bwana yana mambo mengi sana😅