Mpigania uhuru wa pili
JF-Expert Member
- Apr 12, 2023
- 3,380
- 6,376
Kuombea watu ndo kumtania MunguJamani...embu tuache kumtania Mungu kiasi hicho.
Utapeli kuna sehemu mtu kaambiwa atoe fedha na kama kuna unashihidi wa utapeli basi uweke huku kila mtu auoneIla jamani. Utapeli sasa. Baada ya ngono. Mnawaombea kina dada na mama zao,mnawagegeda huko huko
Mkuu, kwa nini umeweka kiwango cha elimu ilhali maombi hayahitaji hivyo vitu? Msingi wq swali ni kuwa waombaji wapo ila wengine hawana hiyo elimu iliyowekwaKama kisemavyo-kichwa cha habari hapo juu
Majukumu yake ni kama yafuatayo
ELIMU
- Kuomba kwa mda mrefu na kwa mzigo kwa ajili ya kutatua changamoto za watu wengine
- Kushauri beneficiary (wahitaji) kwenye changamoto zao katika yesu kristo
- Kushirikiana na beneficiary katika miradi yao
- Kufanya research juu ya jumbe tunazopata kwenye kuombea watu
Bachelor degree na kuendelea ya course yeyote ile
NOTE: uwe unaishi Dar es Salaam na uwe huna kazi na uwe tayari kuomba kwa mda mrefu sana.
Usije dm tafadhali kwa aliyekua tayari anione kwenye email ifuatayo
bibletossup@gmail
Mkuu, maombi hayo hayafanyi kazi.Kama kisemavyo-kichwa cha habari hapo juu
Majukumu yake ni kama yafuatayo
ELIMU
- Kuomba kwa mda mrefu na kwa mzigo kwa ajili ya kutatua changamoto za watu wengine
- Kushauri beneficiary (wahitaji) kwenye changamoto zao katika yesu kristo
- Kushirikiana na beneficiary katika miradi yao
- Kufanya research juu ya jumbe tunazopata kwenye kuombea watu
Bachelor degree na kuendelea ya course yeyote ile
NOTE: uwe unaishi Dar es Salaam na uwe huna kazi na uwe tayari kuomba kwa mda mrefu sana.
Usije dm tafadhali kwa aliyekua tayari anione kwenye email ifuatayo
bibletossup@gmail
Kwangu yanafanya kaziMkuu, maombi hayo hayafanyi kazi.
Mambo ya Yesu ni illusion tu.
Hupaswi kupoteza muda wako katika mambo hayo.
Ni kheri ukafanye kazi kwa bidii tu ukawasaidua kifedha watu unaotaka kuwasaidia.
Ila nakupongeza kwasababu uko katika nafasi ya juu katika viwango vya utu na ubinadamu.
Anzisha wewe usisubirie wengine waanzisheBadala utafute mtu mkaanzishe kiwanda muajiri watu
Hio kazi sio kuomba tu na kuna kazi za kitaalamu za kufanya kwa muombajiMkuu, kwa nini umeweka kiwango cha elimu ilhali maombi hayahitaji hivyo vitu? Msingi wq swali ni kuwa waombaji wapo ila wengine hawana hiyo elimu iliyowekwa
Mshahara upo ila sijauweka kwa sababu watu wengi wataangalia mshahara na sio kazi yenyewe ya kuombamshahara hujaandika mkuu tutaomba hata siku nzima
Maisha ni kuchaguaDah kwahy mm mwenye diploma ya ualimu bado naendelea kukosa ajira ht kwenye kazi za kuombea watu 😂