Natafuta mtu mwenye geto kali Mwanza awe ananiazima

Natafuta mtu mwenye geto kali Mwanza awe ananiazima

Mimi ni kijana mwaminifu kabisa sio mwizi ila natafuta mtu wa kua ananiazima geto hata kwa masaa kwa ajili ya shughuli zangu ndogo ndogo!

Nitakua nampooza ya maji!!


NB: Wenye ushauri wa uende lodge/hotel siwataki
Ghetto lipo, na nitakuwa nakuachia for free. Ila tukubaliane, ukija na demu wako, nitakuwa naanza kumgonga Mimi.
 
Back
Top Bottom