Natafuta mtu mwenye geto kali Mwanza awe ananiazima

Natafuta mtu mwenye geto kali Mwanza awe ananiazima

Mimi ni kijana mwaminifu kabisa sio mwizi ila natafuta mtu wa kua ananiazima geto hata kwa masaa kwa ajili ya shughuli zangu ndogo ndogo!

Nitakua nampooza ya maji!!


NB: Wenye ushauri wa uende lodge/hotel siwataki
😂😂😂😂 Daaaah, wee ni kijana wa hovyo aisee. By the way, hilo jina lako linanikumbusha hao bacteria aisee walinitesa kama mwaka mzima. Waligeuka kuwa sugu nikimeza antibiotics zinadunda! Mpaka nilipofanya urine culture, wakagundulika hao, aisee nilikuwa nimeshateseka vya kutosha. Staphylococcus Aureus 🙌🙌
 
😂😂😂😂 Daaaah, wee ni kijana wa hovyo aisee. By the way, hilo jina lako linanikumbusha hao bacteria aisee walinitesa kama mwaka mzima. Waligeuka kuwa sugu nikimeza antibiotics zinadunda! Mpaka nilipofanya urine culture, wakagundulika hao, aisee nilikuwa nimeshateseka vya kutosha. Staphylococcus Aureus 🙌🙌
mkuu naomba niku pm unataarifa muhimu sana
 
Nina geto Kali sana sana manner ya CCM kirumba,na huwa sikai sana maana mimi ni mtu wa kusafiri sana thamani ya vitu vyote vilivyomo si chini ya m10, ni vigezo vp vitafanya nikuamini?
 
Nina geto Kali sana sana manner ya CCM kirumba,na huwa sikai sana maana mimi ni mtu wa kusafiri sana thamani ya vitu vyote vilivyomo si chini ya m10, ni vigezo vp vitafanya nikuamini?
mwaminifu,,
nina gar na nyumba so siwezi kukimbia wala kuhama
 
Zipo muda sana miaka mingi tu huenda unaishi nyuma ya wakati. Mimi nikienda mji nisiokuwa na makazi kama nakaa zaidi ya week nachukuaga airbnb... sometimes hata hapa hapa nilipo naweza chukua airbnb kali kwa siku moja tu
kwa siku moja ni sh ngap
 
Zipo muda sana miaka mingi tu huenda unaishi nyuma ya wakati. Mimi nikienda mji nisiokuwa na makazi kama nakaa zaidi ya week nachukuaga airbnb... sometimes hata hapa hapa nilipo naweza chukua airbnb kali kwa siku moja tu
kweli mkuu niko nyuma ya muda sana!
ila watamxania wengj pia hawako exposed
siku moja n sh ngap
 
Back
Top Bottom