Natafuta mtu mwenye geto kali Mwanza awe ananiazima

Natafuta mtu mwenye geto kali Mwanza awe ananiazima

kwa siku moja ni sh ngap
Inategemea na nyumba yenyewe vitu vilivyomo location na mengine. zipo za dollar 15 hadi za dollar hata 150 kwa siku. Kuna moja niliichukua dodoma kwa muda wa mwezi back in 2021 hiyo nililipa kama lak 3.8 ilikuwaga simple sana ilikuwa ni master ina kitanda na mashuka na kila kitu na TV na na kijiko kidooogo sana. Hiyo ndio aribnb ambayo nadhani ilikuwa cheap kuliko zote nilizowahi kutana nazo maana 3.8 kwa mwez ni cheap sana.
 
Inategemea na nyumba yenyewe vitu vilivyomo location na mengine. zipo za dollar 15 hadi za dollar hata 150 kwa siku. Kuna moja niliichukua dodoma kwa muda wa mwezi back in 2021 hiyo nililipa kama lak 3.8 ilikuwaga simple sana ilikuwa ni master ina kitanda na mashuka na kila kitu na TV na na kijiko kidooogo sana. Hiyo ndio aribnb ambayo nadhani ilikuwa cheap kuliko zote nilizowahi kutana nazo maana 3.8 kwa mwez ni cheap sana.
heeeh ndo apartment zenyewe cyo
 
Njoo jioni mitaa ya kijiweni(malimbe road), uje na iyo pc utakayo ileta nione kama atafaa kuingia geto
 
Hee unakuta kila kitu nyingine unakuta haa mtu wa kukupa huduma ukitaka. Nyingine zinakuwa nyumba ya mtu anaamua kutoa chumba asichotumia kukipangisha lakini mimi siajwahi chukua hizo za kwenda kuishi na mtu
mna andikishana mikataba
 
wabongo tutachelewa sana kimaendeleo Mtu anaomba gheto hajatamka kama anaenda kufanya zinaa nyinyi tayari mmeshamtwisha mzigo wa dhambi sasa yupi kati yenu na huyu muwaza ngono kabla.Watu wana michongo kibao ndugu zangu mjini hapa msikae kiboya mnawaza ngono tu..
 
wabongo tutachelewa sana kimaendeleo Mtu anaomba gheto hajatamka kama anaenda kufanya zinaa nyinyi tayari mmeshamtwisha mzigo wa dhambi sasa yupi kati yenu na huyu muwaza ngono kabla.Watu wana michongo kibao ndugu zangu mjini hapa msikae kiboya mnawaza ngono tu..
Bora ww umesema nawaelekeza vilaza wa hapa wao wanawaza zinaaa ni kazi kweli
 
Kwanini wewe mwenyewe usianzishe biashara na Airbnb na upambe vyumba na kutumia ukitaka na wakati mwingine unakodisha kwa bei kali?
 
Kunakuwa na nllinzi hivyo huwezi ondoka na kitu. Yes si unafanya booking kwenye app manwasiliana unafuata procedures japo kama kawaida mbongo anaweza hata asikusainishe chochote
aah hilki kitu kipya nimejifunza
 
Back
Top Bottom